Mwanajeshi mstaafu wa Ujerumani na nia mbaya dhidi ya Tanzania

David James McAllister, aliyezaliwa January 12 mwaka 1971, ni mtu wa kutiliwa mashaka makubwa anayehudumu katika Bunge la Ulaya (European Parliament) kutokea Ujerumani.

McAllsiter ambaye ana doa kubwa la kuwa mbaguzi wa rangi ana mtetezi mkubwa wa ndoa za jinsi moja (Ushoga) ameonekana kwenye macho ya wachache hapa Tanzania, kupitia video yake wakati akizungumza hoja za uongo zenye lengo ya kuichafua Tanzania.

Pamoja na kwamba hoja zake zilipingwa vikali ndani ya Bunge la Ulaya baada ya kuwepo kwa wabunge wanaofahamu sifa njema za Tanzania, wajuzi wa Diplomasia wanaweka ‘alert’ juu ya McAllister kulingana na historia yake.

Moja kubwa ni kwamba Dvaid MacAllister ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ujerumani, ambalo kihistoria lilijaa ubabe na uonevu dhidi ya mataifa mengi ya Afrika, bila kusahau ujuzi wao wa kutengeneza migogoro katika mataifa ya Afrika kwa maslahi ya vyama vyao.

David MacAllsiter ambaye pia ni mjuzi wa sheria, ni mfano wa Wanajeshi wa mataifa ya kibeberu ambao wametumika kuleta uchonganishi katika nchi nyingi za Afrika, baadae wakaingiza mauaji, mapinduzi ya haramu, machafuko makubwa ya kisiasa, kisha wakateka na kuiba mali.

Katika kufanya hivyo, Wanajeshi wenye hila mbaya kama McAllister, hutumia wanasiasa wa upinzani katika Mataifa ya Afrika ambao mara nyingi wanakuwa wamekosa madaraka. Hujenga nao ukaribu ili wawe chambo ya kuleta uharibifu katika nchi zao.

Ni jambo la kutia shaka, pale ambapo David ameanza kuitupia macho Tanzania. Aanataka nini Tanzania? Ametumwa na nani na watanufaikaje iwapo Tanzania itatatetereka?

Hata hivyo, jambo jema Kwa Tanzania na baya kwa David McAllister, ni kwamba hoja zake za uongo dhidi ya Tanzania, zilipatiwa majibu ya haraka ndani ya Bunge la Ulaya, na sifa njema za Tanzania na kazi njema inayofanywa na Rais Samia Suluhu zikaelezwa ndani ya Bunge hilo.

View attachment 2030928
Unampakaza kwa kumpakaza kwa kuwachomeni sindano ya moto sio, yaweza kuwa dawa msimpuuzeni🤔.
 
David James McAllister, aliyezaliwa January 12 mwaka 1971, ni mtu wa kutiliwa mashaka makubwa anayehudumu katika Bunge la Ulaya (European Parliament) kutokea Ujerumani.

McAllsiter ambaye ana doa kubwa la kuwa mbaguzi wa rangi ana mtetezi mkubwa wa ndoa za jinsi moja (Ushoga) ameonekana kwenye macho ya wachache hapa Tanzania, kupitia video yake wakati akizungumza hoja za uongo zenye lengo ya kuichafua Tanzania.

Pamoja na kwamba hoja zake zilipingwa vikali ndani ya Bunge la Ulaya baada ya kuwepo kwa wabunge wanaofahamu sifa njema za Tanzania, wajuzi wa Diplomasia wanaweka ‘alert’ juu ya McAllister kulingana na historia yake.

Moja kubwa ni kwamba Dvaid MacAllister ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ujerumani, ambalo kihistoria lilijaa ubabe na uonevu dhidi ya mataifa mengi ya Afrika, bila kusahau ujuzi wao wa kutengeneza migogoro katika mataifa ya Afrika kwa maslahi ya vyama vyao.

David MacAllsiter ambaye pia ni mjuzi wa sheria, ni mfano wa Wanajeshi wa mataifa ya kibeberu ambao wametumika kuleta uchonganishi katika nchi nyingi za Afrika, baadae wakaingiza mauaji, mapinduzi ya haramu, machafuko makubwa ya kisiasa, kisha wakateka na kuiba mali.

Katika kufanya hivyo, Wanajeshi wenye hila mbaya kama McAllister, hutumia wanasiasa wa upinzani katika Mataifa ya Afrika ambao mara nyingi wanakuwa wamekosa madaraka. Hujenga nao ukaribu ili wawe chambo ya kuleta uharibifu katika nchi zao.

Ni jambo la kutia shaka, pale ambapo David ameanza kuitupia macho Tanzania. Aanataka nini Tanzania? Ametumwa na nani na watanufaikaje iwapo Tanzania itatatetereka?

Hata hivyo, jambo jema Kwa Tanzania na baya kwa David McAllister, ni kwamba hoja zake za uongo dhidi ya Tanzania, zilipatiwa majibu ya haraka ndani ya Bunge la Ulaya, na sifa njema za Tanzania na kazi njema inayofanywa na Rais Samia Suluhu zikaelezwa ndani ya Bunge hilo.

View attachment 2030928
Mbona umeandika kwa kumchafua? Kwani ungeabdika kwa kupinga alichokisema kuhusu Tanzania usingeeleweka? Unadhani kwa kumchafua itaondoa alichokisema kama ni kweli alisema? Itetee nchi yetu kwa kupinga wasemayo bila kubambika makosa kwa wakosoaji wetu.
 
David James McAllister, aliyezaliwa January 12 mwaka 1971, ni mtu wa kutiliwa mashaka makubwa anayehudumu katika Bunge la Ulaya (European Parliament) kutokea Ujerumani.

McAllsiter ambaye ana doa kubwa la kuwa mbaguzi wa rangi ana mtetezi mkubwa wa ndoa za jinsi moja (Ushoga) ameonekana kwenye macho ya wachache hapa Tanzania, kupitia video yake wakati akizungumza hoja za uongo zenye lengo ya kuichafua Tanzania.

Pamoja na kwamba hoja zake zilipingwa vikali ndani ya Bunge la Ulaya baada ya kuwepo kwa wabunge wanaofahamu sifa njema za Tanzania, wajuzi wa Diplomasia wanaweka ‘alert’ juu ya McAllister kulingana na historia yake.

Moja kubwa ni kwamba Dvaid MacAllister ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ujerumani, ambalo kihistoria lilijaa ubabe na uonevu dhidi ya mataifa mengi ya Afrika, bila kusahau ujuzi wao wa kutengeneza migogoro katika mataifa ya Afrika kwa maslahi ya vyama vyao.

David MacAllsiter ambaye pia ni mjuzi wa sheria, ni mfano wa Wanajeshi wa mataifa ya kibeberu ambao wametumika kuleta uchonganishi katika nchi nyingi za Afrika, baadae wakaingiza mauaji, mapinduzi ya haramu, machafuko makubwa ya kisiasa, kisha wakateka na kuiba mali.

Katika kufanya hivyo, Wanajeshi wenye hila mbaya kama McAllister, hutumia wanasiasa wa upinzani katika Mataifa ya Afrika ambao mara nyingi wanakuwa wamekosa madaraka. Hujenga nao ukaribu ili wawe chambo ya kuleta uharibifu katika nchi zao.

Ni jambo la kutia shaka, pale ambapo David ameanza kuitupia macho Tanzania. Aanataka nini Tanzania? Ametumwa na nani na watanufaikaje iwapo Tanzania itatatetereka?

Hata hivyo, jambo jema Kwa Tanzania na baya kwa David McAllister, ni kwamba hoja zake za uongo dhidi ya Tanzania, zilipatiwa majibu ya haraka ndani ya Bunge la Ulaya, na sifa njema za Tanzania na kazi njema inayofanywa na Rais Samia Suluhu zikaelezwa ndani ya Bunge hilo.

View attachment 2030928
Nyie si ni mabingwa wa kuteka watu, nendeni na huyo mkamteke na kumpoteza kama mlivyompoteza Ben Saanane,nyambaf zenu nyie
 
Nyerere alipinduliwa Na wanajeshi Na waliomrudisha madarakani ni waingereza , kuanzia hapo alikuwa kibaraka wao tu
ya Waingereza? Waingereza??? Je wewe mzee sana anayeamini bado London ni kitovu cha Dunia? Jamani!
 
Aisee huyo jamaa kumbe nimemzidi miaka 10. Nilijua ni age mate. Dah! Kweli tushazeeka.
David James McAllister, aliyezaliwa January 12 mwaka 1971, ni mtu wa kutiliwa mashaka makubwa anayehudumu katika Bunge la Ulaya (European Parliament) kutokea Ujerumani.

McAllsiter ambaye ana doa kubwa la kuwa mbaguzi wa rangi ana mtetezi mkubwa wa ndoa za jinsi moja (Ushoga) ameonekana kwenye macho ya wachache hapa Tanzania, kupitia video yake wakati akizungumza hoja za uongo zenye lengo ya kuichafua Tanzania.

Pamoja na kwamba hoja zake zilipingwa vikali ndani ya Bunge la Ulaya baada ya kuwepo kwa wabunge wanaofahamu sifa njema za Tanzania, wajuzi wa Diplomasia wanaweka ‘alert’ juu ya McAllister kulingana na historia yake.

Moja kubwa ni kwamba Dvaid MacAllister ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ujerumani, ambalo kihistoria lilijaa ubabe na uonevu dhidi ya mataifa mengi ya Afrika, bila kusahau ujuzi wao wa kutengeneza migogoro katika mataifa ya Afrika kwa maslahi ya vyama vyao.

David MacAllsiter ambaye pia ni mjuzi wa sheria, ni mfano wa Wanajeshi wa mataifa ya kibeberu ambao wametumika kuleta uchonganishi katika nchi nyingi za Afrika, baadae wakaingiza mauaji, mapinduzi ya haramu, machafuko makubwa ya kisiasa, kisha wakateka na kuiba mali.

Katika kufanya hivyo, Wanajeshi wenye hila mbaya kama McAllister, hutumia wanasiasa wa upinzani katika Mataifa ya Afrika ambao mara nyingi wanakuwa wamekosa madaraka. Hujenga nao ukaribu ili wawe chambo ya kuleta uharibifu katika nchi zao.

Ni jambo la kutia shaka, pale ambapo David ameanza kuitupia macho Tanzania. Aanataka nini Tanzania? Ametumwa na nani na watanufaikaje iwapo Tanzania itatatetereka?

Hata hivyo, jambo jema Kwa Tanzania na baya kwa David McAllister, ni kwamba hoja zake za uongo dhidi ya Tanzania, zilipatiwa majibu ya haraka ndani ya Bunge la Ulaya, na sifa njema za Tanzania na kazi njema inayofanywa na Rais Samia Suluhu zikaelezwa ndani ya Bunge hilo.

View attachment 2030928
 
David James McAllister, aliyezaliwa January 12 mwaka 1971, ni mtu wa kutiliwa mashaka makubwa anayehudumu katika Bunge la Ulaya (European Parliament) kutokea Ujerumani.

McAllsiter ambaye ana doa kubwa la kuwa mbaguzi wa rangi ana mtetezi mkubwa wa ndoa za jinsi moja (Ushoga) ameonekana kwenye macho ya wachache hapa Tanzania, kupitia video yake wakati akizungumza hoja za uongo zenye lengo ya kuichafua Tanzania.

Pamoja na kwamba hoja zake zilipingwa vikali ndani ya Bunge la Ulaya baada ya kuwepo kwa wabunge wanaofahamu sifa njema za Tanzania, wajuzi wa Diplomasia wanaweka ‘alert’ juu ya McAllister kulingana na historia yake.

Moja kubwa ni kwamba Dvaid MacAllister ni mwanajeshi mstaafu wa Jeshi la Ujerumani, ambalo kihistoria lilijaa ubabe na uonevu dhidi ya mataifa mengi ya Afrika, bila kusahau ujuzi wao wa kutengeneza migogoro katika mataifa ya Afrika kwa maslahi ya vyama vyao.

David MacAllsiter ambaye pia ni mjuzi wa sheria, ni mfano wa Wanajeshi wa mataifa ya kibeberu ambao wametumika kuleta uchonganishi katika nchi nyingi za Afrika, baadae wakaingiza mauaji, mapinduzi ya haramu, machafuko makubwa ya kisiasa, kisha wakateka na kuiba mali.

Katika kufanya hivyo, Wanajeshi wenye hila mbaya kama McAllister, hutumia wanasiasa wa upinzani katika Mataifa ya Afrika ambao mara nyingi wanakuwa wamekosa madaraka. Hujenga nao ukaribu ili wawe chambo ya kuleta uharibifu katika nchi zao.

Ni jambo la kutia shaka, pale ambapo David ameanza kuitupia macho Tanzania. Aanataka nini Tanzania? Ametumwa na nani na watanufaikaje iwapo Tanzania itatatetereka?

Hata hivyo, jambo jema Kwa Tanzania na baya kwa David McAllister, ni kwamba hoja zake za uongo dhidi ya Tanzania, zilipatiwa majibu ya haraka ndani ya Bunge la Ulaya, na sifa njema za Tanzania na kazi njema inayofanywa na Rais Samia Suluhu zikaelezwa ndani ya Bunge hilo.

View attachment 2030928
McAllister aliposema vyama vya upinzani Tanzania vinaonewa kwa viongozi wake kuwekwa ndani na kuzuiliwa kufanya siasa, kwako ni HABARI ya uongo inayolichafua Taifa? Una kiwango duni sana cha kuchambua Mambo.
 
Mzungu hajawai kuwa rafiki kwa nyani , sio propaganda za Magufuri au Polepole , hao wazungu ndo wameichafua dunia , angalia walivyotaka kuichafua Ethiopia ( ila mungu mkubwa ) hao hao wazungu wameichafua Central Africa , Drc , Rwanda ( 1994) , Nigeria ( ilishikwa ndege ya kifaransa ina silaha na vyakula vikielekea misitu ya Sambisa walipo boko haram sijui Buhari alimalizaje lile sakata ) Libya sio siri unaelewa , Syria ( tunaona ufadhili wa mabeberu wa wazi wazi kwa Wakurdi na IS na kuwachonganisha ) Bro kwa kumaliza hapo kenye mwaka huu lile janga la Laikipia inasemekana kuwa walishoka bundukiza wale wafugaji kumbe ni wawindaji ( wale watalii kutoka ulaya , unajiuliza silaha zilifikaje mikoni mwa watu wasiojua hata kuvaa Gucci ) kiufupi ukisikia taarifa juu ya wazungu bro usichanganye na siasa , maana wazungu wanafanya hayo mambo na hupenda kuwatumia watu wenye njaa ya maisha ili kuwatumia kutafuta ushawiahi baina yetu kisha ndo wanaunda sintofahamu
Mzungu hajawahi kuwa rafiki wa Muafrika wakati wewe uliyeathrika na ukimwi kakuletea ARV uishi. Unataka urafiki gani?
 
ya Waingereza? Waingereza??? Je wewe mzee sana anayeamini bado London ni kitovu cha Dunia? Jamani!

Mimi naamini Mzungu hawezi ku risk askari wake kwa ajili ya kukuweka wewe mtu mweusi madarakani seuze wazungu wenzake. Nyerere alirudishwa madarakani na waingereza ili kutumiwa tu, Na lengo kubwa ni kuikalia Zanzibar kwa mabavu na kunyonya almasi za mwadui

Nyerere alikuwa kibaraka mkubwa wa Waingereza
 
Mimi naamini Mzungu hawezi ku risk askari wake kwa ajili ya kukuweka wewe mtu mweusi madarakani seuze wazungu wenzake. Nyerere alirudishwa madarakani na waingereza ili kutumiwa tu, Na lengo kubwa ni kuikalia Zanzibar kwa mabavu na kunyonya almasi za mwadui

Nyerere alikuwa kibaraka mkubwa wa Waingereza
Mpendwa tayari mwaka 1964 Uingereza haukuwa na umuhimu tena. Waliondoka kwenye makoloni kwa sababu hawakuwa na uwezo wowote kuyashika. Mwaka 1964 waliingia kwa sababu 1 maana wakati ule bado walikuwa na kituo huko Aden. na walijua vizuri wanajeshi wasi maana hao walikuwa jeshi la kikoloni maana vikosi vilivyoasi viliwahi kuwa jeshi la Kiingereza "King's African Rifles" hadi 1961 .
Marekani waliwaambia waingie kwa sababu walihofia Warusi (ukisoma magazeti ya siku zile utaiona waziwazi, waliogopa hasa watu wa chama cha Umma).
Almasi? Almasi gani? Ni siku hizi tu kwamba madini ya Tanzania zinaanza kuwa na maana. Zamani ilikuwa bure, Waingereza wenye walifunga migodi ya dhahabu Lupatigatinga kabla ya uhuru, kwa sababu kwa tejkinolojia (na bei) ya siku zile ilikuwa hasara tu.
 
Mpendwa tayari mwaka 1964 Uingereza haukuwa na umuhimu tena. Waliondoka kwenye makoloni kwa sababu hawakuwa na uwezo wowote kuyashika. Mwaka 1964 waliingia kwa sababu 1 maana wakati ule bado walikuwa na kituo huko Aden. na walijua vizuri wanajeshi wasi maana hao walikuwa jeshi la kikoloni maana vikosi vilivyoasi viliwahi kuwa jeshi la Kiingereza "King's African Rifles" hadi 1961 .
Marekani waliwaambia waingie kwa sababu walihofia Warusi (ukisoma magazeti ya siku zile utaiona waziwazi, waliogopa hasa watu wa chama cha Umma).
Almasi? Almasi gani? Ni siku hizi tu kwamba madini ya Tanzania zinaanza kuwa na maana. Zamani ilikuwa bure, Waingereza wenye walifunga migodi ya dhahabu Lupatigatinga kabla ya uhuru, kwa sababu kwa tejkinolojia (na bei) ya siku zile ilikuwa hasara tu.

Sijui ulizaliwa mwaka gani , hivi huelewi kuwa Nyerere alipinduliwa Na wanajeshi? Na waliokuja kumweka madarakani ni waingereza? Hivi Huo ulikuwa Ni udugu Kati ya wazanaki Na wazungu waingereza? Au ni wajomba zake
 
Back
Top Bottom