Najiapizaga kabisa, ila ndio najikuta huruma ishaniingia na ndio basi tena.
Nishawahi kumlipia mwanafunzi anayeishi katika mazingira magumu ada baada ya kurudishwa akawa analia sana, kipindi hicho ndio nimeajiriwa alafu ndio ilikuwa pesa pekee niliyobakiwa nayo na sina means nyingine yoyote ya kupata pesa na siwezi kuomba. Huo ni mfano mmoja tu.
Huruma hadi kwenye kuomba hela?![]()
![]()
![]()
Tatizo ukiwa na huruma afu ukajipa excuse ya kutokutoa, nafsi yako inabaki kuumia, kujilaumu na kujutia. Especially inapotokea mtu uliyetoa excuse kumsaidia akapatwa na mabaya, utajihukumujeNajiapizaga kabisa, ila ndio najikuta huruma ishaniingia na ndio basi tena.
Nishawahi kumlipia mwanafunzi anayeishi katika mazingira magumu ada baada ya kurudishwa akawa analia sana, kipindi hicho ndio nimeajiriwa alafu ndio ilikuwa pesa pekee niliyobakiwa nayo na sina means nyingine yoyote ya kupata pesa na siwezi kuomba. Huo ni mfano mmoja tu.
lol! hahahahaha daughter kumbuka huyo ni mama yako 🙂🙂🙂 anaweza akamwaga radhi 🙂🙂 Nimecheka lol!

Hahaaaaa!! Hili naomba nisiliongelee maana nitapoteza ule msimamoHuruma hadi kwenye kuomba hela?![]()
![]()
![]()

Najiapizaga kabisa, ila ndio najikuta huruma ishaniingia na ndio basi tena.
Nishawahi kumlipia mwanafunzi anayeishi katika mazingira magumu ada baada ya kurudishwa akawa analia sana, kipindi hicho ndio nimeajiriwa alafu ndio ilikuwa pesa pekee niliyobakiwa nayo na sina means nyingine yoyote ya kupata pesa na siwezi kuomba. Huo ni mfano mmoja tu.
Haha me mbona nakujua vizuri, haya shikilia msimamoHahaaaaa!! Hili naomba nisiliongelee maana nitapoteza ule msimamo![]()
![]()
Kazini wananiitaga mama huruma,maana wanafunzi wa hivyo nishasaidia sana, tatizo linakuja pale ambapo mtu anaamua kutake advantage ndio naumiaa najiapiza sirudii tena ila najikuta nisharudia tena!! Khaaah! Hiyo roho mbaya itabidi unifundishe maana inanigharimu mno.Hmmmm! hapo umenigusa aisee dah! Hongera kwa kuwa na moyo kama huo wa kutoa cha mwisho ulichonacho ili kumsaidia mtu ambaye wala huna nasaba naye.
Huyu binti yangu anatafuta radhi tu, na kwakuwa anajua siwezi kumpa as nampenda sna, nae anatake advantage, kaone kakichwa kake kama ka baba yake.lol! hahahahaha daughter kumbuka huyo ni mama yako 🙂🙂🙂 anaweza akamwaga radhi 🙂🙂 Nimecheka lol!
Ndio hapo sasa, mie nashindwaga kabisa, kama naweza yaani nafsi inanisuta najikuta ndio nishajitosa.Tatizo ukiwa na huruma afu ukajipa excuse ya kutokutoa, nafsi yako inabaki kuumia, kujilaumu na kujutia. Especially inapotokea mtu uliyetoa excuse kumsaidia akapatwa na mabaya, utajihukumuje
Simple like that!!!![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Ada yangu ya twisheni imepotea baba ataenda kunipiga nyumbani, mwl atoto naomba unikopeshe Tsh10,000 halafu nitamuomba mama nitakurudishia
Baki tu hivyo hivyo, ndo wito wako kusaidia wengine. Kuna vitu kuvibadilisha ni kazi mno, ingawa kuna watu pia watatake advantage of huruma yako. Wasaidie anywayNdio hapo sasa, mie nashindwaga kabisa, kama naweza yaani nafsi inanisuta najikuta ndio nishajitosa.
Sijui hata nifanyeje niondokane na hili.
Hahaaaa!!! Msimamo ukifa nimepoteza identity, hapana aisee!Haha me mbona nakujua vizuri, haya shikilia msimamo
Hahaaaa!!! Msimamo ukifa nimepoteza identity, hapana aisee!
. Sawa mama ake dota bonus

Mbona!!..wewe si umesema una huruma, mbona hutaki kunihurumiaSimple like that!!!
Ni kazi sana kubadilika kuwa mtu tofauti. Nenda tu hivyo hivyo siku lilikukuta kubwa, utakuwa tu kauzu bila hata ya kuomba ushauri.Nasubiri BAK anifundishe niwe the opposite, nishalizwa sana.