Mie kila mwanamke mzuri nataka awe wangu!sijui hata nifanyeje...Bwana Yesu asifiwe wapendwa,
Kama tunavyojua kwamba kila binadamu anaeishi chini ya jua ana mapungufu (No one is perfect under the sun). Mapungufu yetu au weakness zetu zinatusababishia hasara nyingi kuliko faida
Kwa upande wangu weakness inayonitesa zaidi ni Haya. Imenikosesha marafiki na fursa mbalimbali za maendeleo.
Mwana JF share weakness yako na madhara yake.
tunafanana udhaifu na huwa nashindwa mtu kila mara namfuatilia anilipe deni,udhaifu wangu ni moyo wa kusaidia pamoja kuamini mtu kwa haraka, ingawaje mda mwingine inanigharimu sana
Ok mswatiMie kila mwanamke mzuri nataka awe wangu!sijui hata nifanyeje...
Kaka huo ni ushujaa bana sio weakness. ....tupe weakness yakoNapenda sana ndogo!
Wewe mtu una tabia zangu 100%. Hio short temper imeni-cost sana.1.Mimi napenda kweli na siwezagi kumfichia hisia mwanamke ambaye she keeping it 1 hunnit. I do turn to be super romantic and they always take it as an advantage.
2.Sipendi uswahili hasa kwa mtu asieweza kutimiza ahadi zake, excuses zisizo na mwisho. Mtu asie na msimamo na mzito kuelewa ni ngumu sana mi kuivana nae.
3.Nina short temper, yani kukuchenjia ni dakika 0 mazee ila ni mwepesi sana kusamehe na huwa siwezagi kuweka kinyongo moyoni.Nakupa kavu na hasira ikiisha tu hapo hapo maisha yanaendelea.
4.Sijawahi na sina guts za kumpiga mwanamke licha ya kuwa nina hasira za karibu mno pindi nikikwazika.
I forgot to add Babes and Bikinis. Thanks for reminding meBooty![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Huruma, inanicost sana.
Hahaaaaa!!! Hivi kumbe unaweza kujifunza kuwa na roho mbaya!! Hebu nipe hints.Pole kuwa na roho mbaya japo kidogo lakini angalia nayo isikugharimu kama inavyokugharimu huruma. Kama unaweza kufafanua huruma kwenye mambo yapi?
Najiapizaga kabisa, ila ndio najikuta huruma ishaniingia na ndio basi tena.Opposite ya huruma atoto, pale unapotaka kufanya kitu kwa huruma zako geuza kibao na uweke roho mbaya lol!