Mwana JF share weakness yako

Mwana JF share weakness yako

Mimi wa kwangu ,,,Ni kuwa simwamini mwanamke duniani na Sijawahi kumpenda kwa Dhati yaani hii hata Mama yangu huwa simwanini kabisa kwa hiyo na amini wanawake wote ni Nyang'au tu,,Jiulize kama mama yangu mzazi nilikuwa sipendi kwake pind nipo mdogo ,,Baada ya kukuwa ndo nikampunguzia mashart naenda kwake ILa siwezi maliza 2 days Huuu udhaifu mke wangu kaugundua nashukuru mungu na mimi nimeanza kuugundua so naamini ni wanawake tu ndo madaktari wangu
So mama yako huamini kama ndiye alikuzaa au?
 
Yaani hata sijui nikwambieje,thats my bigest weakness na inanitesa 6yrs in marriage with 2 lovely kids, inanikwaza maana namkwaza mume wangu,i hate sex than anything,napenda rmance
I dont know how to get rid of this
May be you should try food which increases libido.good examples are afrodidiacs.
 
Mi nilishauriwa kwenda hospital nikaenda daktari akataka nisex nae eti ndo ajue shida ni kuandaliwa au ni kitu kingine nikaamua kuondoka na sitaki kwenda tena hospital natafuta mwanaume mwenye upungufu wa nguvu za kiume naamini nikimpata tutaendana na hatutasumbuana
Duh! Yaani kweli daktari kakufanyia hivyo.
 
Ukimya fulani hivi ambao naona huwa unaniumiza tu hadi najiona falah, sometimes naona poa kukaa kimya kila kitu kinakaa Sawa, sometimes naona ukimya unaniumiza sana nahitaji kuongea ila siongei.....
Sijui ni udomo zege nashindwa hata kujielewa ila sipendi hii hali
Mkuu nilikuwa nafahamu kua udomo zege upo kwenye kutongaza tu
 
Mimi weakness yangu ni kuangalia porno,duh i need the some intervention to overcome it.
 
1: Napenda kuongea ukweli, kitendo hiki kimenifanya nisiwe na marafiki na pia nichukiwe na wengi coz watu wengi hawapendi kuambiwa ukweli, yani siwezi kufumbia macho jambo.

2: napenda mtu awe on time, nakuja saa 5 njoo, umechelewa hua siwezi kusubiri ajabu mimi napenda kusubiriwa, teh teh.

3: hua siruhusu Moyo wangu ukatawala Akili yangu,
Hali hii hufanya nisimuamini mtu yeyote.
 
1:Huruma.
2:Kupenda kuliko pitiliza nkiwa katika mahusiano.
3:Hali ya kujali wengine zaidi.
 
Udhaifu wangu yaan nikimfumania mpnz wang tu pale pale upendo unakata hata afanye nn cwez tena kumpa mapenz kama zaman
Nilidhani huwezi mpa mapenzi tena! Ila inauma sana!
 
Castle lager....an nkiiona had kaz haiwez kwenda...one of ma biggest weakness
 
Back
Top Bottom