Profesa ntare nkobe
JF-Expert Member
- Feb 5, 2018
- 6,957
- 8,073
Utafanikiwa kwa akili ulizozaliwa nazo sio chuo
Hiyo ni kweli kabisaNaongeza na hili..
Kuna tofauti kubwa kati ya maisha ya chuo na life ya huku kitaa.
Huku mtaani kusukuma Guta ni jambo la kawaida, hata kama una Phd yko kichwani.
Tunawakumbusha wadogo zote mara zote kukumbushana sio jambo baya hata kidogo sawa na matangazo ya Condom yanarudiwa kila mahali hadi sehemu ya ujenziHii mada likewise mnapenda kuirudia.
Chuoni mambo yanakuwa mob Boss yaani fasta tu kabla hujatoa hela bank unakuta umebaki na kama 20 iliyo huru haina matumizi ya chuo hahahahahaKwa nini laki tano ya Chuo ni ndogo?
Hakika umesahau asimdharau mtu kama vifutu wengineNamba 17 na hiyo ya kusali ndio vya muhimu kuliko vyote
sure ila kama atakuwa mcha MUNGU kweli kweli otherwise nafasi inakuwaga ni ndogo sanaNa uwezekano wa kufunga ndoa wakati anasoma upo.
Hii ni kwa wadogo zetu wanaotokea ndalambo huku kwetu sumbawanga mpakani na zambia na congoKwa watoto wa mjini aya ni maisha yetu ya kila siku. tunafanya kubadili mazingira tu
Chuoni mambo yanakuwa mob Boss yaani fasta tu kabla hujatoa hela bank unakuta umebaki na kama 20 iliyo huru haina matumizi ya chuo hahahahaha