Mwali: Mmiliki wa DOWANS ni huyu!

Mwali: Mmiliki wa DOWANS ni huyu!

Status
Not open for further replies.
Huyu Advocate Ringo Tenga, mbona anaachwa tu wala hapewi msukosuko kuulizwa who is behind Dowans?

Lakin hii ndiyo imekuwa style ya tassisi zetu za kipelelezi ambazo nazo zinaendeshwa na mafisadi -- kwa maana ya wanazoziongoza. Kwa mfano Hosea alishindwa kabisa kum-confront Kimei na kumuuliza yale mabilioni ya Kagoda yaliyolipwa cash over the counter kutoka matawi ya benki yake yalilipwa kwa nani?

UJAONA MWISHONI

KIKWETE NI MHUSIKA UJIO WA DOWAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAANS?
 
Double standard iko kwenye usemi wako wa Miarfika ndivyo ilivyo kwasababu siyo wakati wote iko applied,hauwezi kusema ndivyo tulivyo just at certain times

Ni wapi nimesema Ndivyo Tulivyo na ni wapi nikajikanganya na kusema Sivyo Tulivyo?

Huko nyuma nimeshasema, anayebisha na abishe, anayekataa na akatae, anayenidharau na anidharau, ukweli ni kwamba Miafrika Ndivyo Tulivyo!


Watu kubandika nakala za mikataba and what not hapa haiondoi ukweli. Sikuamka tu siku moja na kusema you know what, sisi Miafrika Ndivyo Tulivyo! Nimefikia hitimisho langu kulingana na mambo mengi.

Kwa hiyo kama ulikuwa hujui msimamo wangu kuhusu Miafrika ni kwamba sijaubadilisha. Miafrika Ndivyo Tulivyo! Kasirika, nitukane, nidharau, ninunie, or whatever the hell that floats your boat, I simply don't care. I just speak the truth. Now run and tell 'em that...
 
Mwanakijiji

Kazi nzuri. Dowans Tanzania ilisajiliwa kabla ya huo mwezi ambao huyo jamaa wa Oman alikuwa admitted as director. Hivyo, tupeni majina ya founder directors wa Dowans, hapo ndipo tutaunasa uhusiano wa karibu na Rostam Aziz.

Mliwahi kabla hawahafuta nyayo zao? Kumbuka hawa ndio waliosajili Richmond kwa upande wa Tanzania lakini ilipoanza kuwa moto wakatuma yule mtumishi wa BRELA kunyofoa nyaraka na kumhonga nyumba. Matokeo yake taifa limeshindwa kupatiwa ushahidi wa uhusiano wa Richmond na familia ya Lowassa na Kikwete.

Isije tukazugwa tena kwenye Dowans

Asha
 
Wale nasikia wanaitwa Law Associates - kuna kaka wawili: Ringo na Cuthbert.

Ndo hao hao, maana kama mnakumbuka wakati issue ya Richmond imeanza kuleta maswali Ringo Tenga wa Law associates alijitokeza hadharani akasema wananchi tumedanganywa kuhusu Richmond na ilikuwa kampuni halali tu. Kwa kuwa yeye ni mwanasheria anajua namna ya kukwepa mambo, ndo maana kaunda hii nyingine ili kutoharibu jina la ile ya Law associates wakati kama huu ambapo mambo yamebumburuka. Na huyu huyu ndo mwanasheria wa Benki kuu, patamu hapo. Wizi mtupu na vigogo hasa wako nyuma ya haya yote ya Richmond, Dowans na EPA.
 
Gotdamnit!! The president is losing control of the country....


What control are you talking about? The guy didn't have any control from the beginning how do you expect him to control the control which I bet he doesn't know its meaning.
 
Wajemeni,
Huyu jamaa si ndio aliwahi kuwa na kampuni ya uwindaji ikaleta utata saana na wenyeji huko Arusha? baadae akatoa zawadi ya ndenge mbili kwa JWTZ?
Kama ndiye yeye sirikali yetu yote imeoza.
 
My friend, huyu JK ni one term president, hakuna mjadala!

Not in Tanzania. Before you realize during his second term some people will start demanding the constituion be changed to seven years instead of five.
 
Kama mmeongea naye hiyo itakuwa poa sana. Nimepata taabu sana kuamini mawasiliano ya email aliyofanya Al Adawi na Gazeti la Tanzania Daima la jana jumapili (15 Machi 2009). Wasi wasi wangu ni kuwa email anaweza kuandika mtu yeyote na kuwatumia.

Hiyo email itakuwa imeandikwa na ZITTO KABWE
 
Mwanakijiji

Kazi nzuri. Dowans Tanzania ilisajiliwa kabla ya huo mwezi ambao huyo jamaa wa Oman alikuwa admitted as director. Hivyo, tupeni majina ya founder directors wa Dowans, hapo ndipo tutaunasa uhusiano wa karibu na Rostam Aziz.

Mliwahi kabla hawahafuta nyayo zao? Kumbuka hawa ndio waliosajili Richmond kwa upande wa Tanzania lakini ilipoanza kuwa moto wakatuma yule mtumishi wa BRELA kunyofoa nyaraka na kumhonga nyumba. Matokeo yake taifa limeshindwa kupatiwa ushahidi wa uhusiano wa Richmond na familia ya Lowassa na Kikwete.

Isije tukazugwa tena kwenye Dowans

Asha

Asha umenikuna! Tulichooneshwa ni ukurasa wa mbele wa MOA ya Dowans Tanzania Ltd iliyosajiliwa tarehe 16/12/06 na form ya "Appointment of Director/ Secretary" iliyosajiliwa miezi miwili baadaye tarehe 22/02/07. Tuoneshwe ukurasa wa MOA na AOA wenye sahihi za shareholders ili tuwajue shareholders wa mwanzo. Kwa jinsi tulivyoletewa, hakuna ushahidi kuwa Sulaiman Mohamed Yahya Adawi ni mmiliki wa kampuni hiyo zaidi ya kuwa Director au Secretary!
 
Asha umenikuna! Tulichooneshwa ni ukurasa wa mbele wa MOA ya Dowans Tanzania Ltd iliyosajiliwa tarehe 16/12/06 na form ya "Appointment of Director/ Secretary" iliyosajiliwa miezi miwili baadaye tarehe 22/02/07. Tuoneshwe ukurasa wa MOA na AOA wenye sahihi za shareholders ili tuwajue shareholders wa mwanzo. Kwa jinsi tulivyoletewa, hakuna ushahidi kuwa Sulaiman Mohamed Yahya Adawi ni mmiliki wa kampuni hiyo zaidi ya kuwa Director au Secretary!

Pole pole kaka, watu hawalali, LAKINI jueni ni HATARI sana. Hakuna malipo. Malipo yako upande wa pili. Malipo yetu makubwa ni kwa WAJUKUU zetu maana hata watoto wetu naona kama nao wamepofuliwa macho, zina hakika kama wataona UCHAFU huu wa sasa. Watoto leo wanasema "baba nataka niwe FISADI ili niwe na gari zuri" hii ina maana UFISADI sasa ni jambo JEMA.

Mungu yupo pamoja na wanaoitakia mema Tanzania. HALI INATISHA SANA NDUGU ZANGU. Watu wamesahau kabisa kwamba DUNIANI HAPA TUNAPITA TU na kila kitu tutakiacha na HAKIKA HAKUNA ATAKAYEBAKI
 
Pole pole kaka, watu hawalali, LAKINI jueni ni HATARI sana. Hakuna malipo. Malipo yako upande wa pili. Malipo yetu makubwa ni kwa WAJUKUU zetu maana hata watoto wetu naona kama nao wamepofuliwa macho, zina hakika kama wataona UCHAFU huu wa sasa. Watoto leo wanasema "baba nataka niwe FISADI ili niwe na gari zuri" hii ina maana UFISADI sasa ni jambo JEMA.

Mungu yupo pamoja na wanaoitakia mema Tanzania. HALI INATISHA SANA NDUGU ZANGU. Watu wamesahau kabisa kwamba DUNIANI HAPA TUNAPITA TU na kila kitu tutakiacha na HAKIKA HAKUNA ATAKAYEBAKI

Halisi unaleta kilecture cha nini bana? Hakuna cha kujibu kwa sasa, basi; sio kosa.
 
Hao dowans now wanapishana kwa waganga wa kienyeji bagamoyo.......waturoge watz.......lkn mambo yako wazi....

.....napenda kuuliza zito alikuwa/hajui dowans inamilikiwa na nani?
 
Is it possible to collect public opinion on the matter? I think it is time to form public opinion with statistic. Thus far, it seems like people are disatsfied however, there is no action to be taken. I think if the public opinion is formed with facts, no leader will ignore that.

First, we can have a small poll asking citizen if they want the government to buy downs equipments or not? Let's get citizens opinion establish fact for action. We can push, REDET to do that! Why not! It is the only poll institution at national level to measure public opinion on political issues. If they refuse we attack it legitimacy, which is in question anyway. REDET should be pressured to take public poll on dowans – it is not a request it is the right thing to do to serve the interest of the public now.

Second, I am not sure how cheche is distribute, but it call be used to collect public opinion.

Third, I am not sure what allies can be built with TV station – but it is about time to have airtime to specifically seek public opinion on the matter. Jenerali on Monday and Je tutafika could be platform. You could organize the vipindi not only to discuss the matter rather to call public opinion on the matter, where it could be organized in a way that citizen could call in and give their opinion on the matter, while we organize people to go around in different bars to get viewers opinion.

Fourth, we could talk we cellular network to provide a hotline to collect public opinion.

Lastly, we organize a peace walk to ask the government to take an action following the public opinion.

Petu,
Nashukuru sana kwa maoni yako. Lakin kubwa sana kwa kuanzia, hapa JF tayari tuna ukumbi mkubwa sana, naona inabidi tuwe na dodoso rahisi la kupata maoni ya wanachama wa JF juu ya masuala muhimu ya kitaifa. Kila member awe na nafasi ya kura moja na kuwe na kipindi maalumu kama ni siku 4 au wiki na matokeo yake yawe yanatoka kwenye JF yenyewe pamoja na vyombo vya habari mfano TV radio au magazeti. Hili pia litasukuma ari ya wananchi kupata mwamko zaidi. WanaJF hebu tulifikirie hili tuanze nalo maramoja wakati tukijaribu pia kuzihamasisha taasisi nyingine kama REDET nad NGO mbalimbali zinazojishughulisha na elimu ya urai.

Nono
 
.....napenda kuuliza zito alikuwa/hajui dowans inamilikiwa na nani?

Alinyweshwa cool aid moja kali, kalewa kiasi kwamba siku za karibuni akiona maswali jamii ya ulilouliza hapo, analog out asap.
 
kabisaa NN na mama......
....hii ishu ya dowans inanipa hasira sana.....
.....kingine kama hao wezi serikalini wakiamua kununua tu kwa kibri chao hata wananchi tukipiga kelele vipi tuchukue hatua gani? lazima tuwe na altenative wakuu
 
kabisaa NN na mama......
....hii ishu ya dowans inanipa hasira sana.....
.....kingine kama hao wezi serikalini wakiamua kununua tu kwa kibri chao hata wananchi tukipiga kelele vipi tuchukue hatua gani? lazima tuwe na altenative wakuu

There is no alternative Yo Yo. CCM needs to go. We should boot them out of power next year. That's the only way these politicians will know that we mean business and not bizness
 
There is no alternative Yo Yo. CCM needs to go. We should boot them out of power next year. That's the only way these politicians will know that we mean business and not bizness
thats right.....but nani anafaa tukimtoa ccm?
 
leo nimefikiriaaa weee nikaona kumbe wakina savimbi,laurent nkunda,samuel doe,Afonso Dhlakama na wengine walikuwa sawa.....may be......
 
Mimi bado nai"study" hii mihuri miwili ya Ringo & Associates - kwa nini ni tofauti kiasi hicho. Kimoja kiligongwa Decemba, 2006 na kingine Februari, 2007. Kimoja ni cha kuchonga mitaani na kingine kimetengenezwa kitaalamu zaidi, why ??
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom