Mwali: Mmiliki wa DOWANS ni huyu!

Mwali: Mmiliki wa DOWANS ni huyu!

Status
Not open for further replies.
thats right.....but nani anafaa tukimtoa ccm?

Hilo sio tatizo....CCM hawakuteuliwa na Mungu hadi tukose wakutufaa kutuongoza. Nina imani wapo wengi tu. Shoot...I could have done better job than Kikwete the other day at that panel....
 
Mimi bado nai"study" hii mihuri miwili ya Ringo & Associates - kwa nini ni tofauti kiasi hicho. Kimoja kiligongwa Decemba, 2006 na kingine Februari, 2007. Kimoja ni cha kuchonga mitaani na kingine kimetengenezwa kitaalamu zaidi, why ??

Ni kweli kabisa manake kimoja kinaonyesha anuani yao kwa uwazi kabisa jinsi unavyoweza kuwapata (anuani ya mtaa na la jengo) wakati hii nyingine imeishia sanduku la barua. Sasa swali la kujiuliza je kati ya hii mihuru miwili ni upi ulio sahihi na ambao unatumika na huyu wakili
 
The scanned document doesn't say much....could we get more pages if there are any?

Mkuu you are right. BUt why would the same lawyer surface on every fishy deal? why is he always there? Kagoda, Dowans etc etc does this say anything about him?
 
Duh,.... Ama kweli sisi Miafrika jamani!...sasa huyu jamaa Mohammed Sulaiman kaweza vipi kusajiri shirika yeye peke yake kama mmiliki wakati sii raia au sheria zimebadilika!
 
Mimi Kinachonishangaza kuwa information kutoka serikalini kuhusu DOWANS and RICHMONDULI haijatolewa mpaka hii leo - nina wasiwasi kwamba hayo makaratasi ya BRELA yasije yakawa yanapikwa ili kumtaja mtu fulani halafu huyo mtu awe ndio BANGOSILO ili wengine waendelee kula. It takes a hell of time to get these things out - isije ikawa makaratasi yanatengenzwa kuonyesha 'A' is a shareholder!!!!!!!!!!

I am at a loss

Mkandara haya mambo yanachanganya kweli,ndio maana nimepitia hii thread na nimekuta member huyu "Maskini Mimi" ambaye slogan yake inasema "Lakini tutafika" Kweli najiuliza maswali mengi sana...Hivi tutafika? Kama alivyosema halisi hapo nyuma...Nadhani inabidi tujitolee muhanga kwaajili ya next generation,kwasababu mabadiliko yatakuwa magumu sana na kwasababu hiyo jitihada za ziada zinahitajika...Hatuwezi kusema biashara ya unga for instance ni mbaya na wakati mizungu ya unga inavyopeta kila mtu anataka kuwa zungu especially vijana wanaokua...Sasa ni the same kama alivyosema Halisi...Hata watoto wanadhani ufisadi ni jambo zuri kwani maisha ni mswanu,yani mtoto anaweza akawa anasoma huku akiwa anataka kuwa fisadi when he/she grows up. Ni lazima tubadili,lazima watoto wasikie fisadi liko jela ama limehukumiwa kifo nk...Hapo nd'o utakuwa mwanzo. Other than that mkuu kizazi kijacho kitajiuliza na sisi tunataka mabadiliko ili wasije kujiuliza kuwa tulifanya nini baada ya babu zetu kugombea uhuru.
 
Petu,
Nashukuru sana kwa maoni yako. Lakin kubwa sana kwa kuanzia, hapa JF tayari tuna ukumbi mkubwa sana, naona inabidi tuwe na dodoso rahisi la kupata maoni ya wanachama wa JF juu ya masuala muhimu ya kitaifa. Kila member awe na nafasi ya kura moja na kuwe na kipindi maalumu kama ni siku 4 au wiki na matokeo yake yawe yanatoka kwenye JF yenyewe pamoja na vyombo vya habari mfano TV radio au magazeti. Hili pia litasukuma ari ya wananchi kupata mwamko zaidi. WanaJF hebu tulifikirie hili tuanze nalo maramoja wakati tukijaribu pia kuzihamasisha taasisi nyingine kama REDET nad NGO mbalimbali zinazojishughulisha na elimu ya urai.

Nono

Mwanzo mzuri. However, i am not sure how to go about opening an opion poll hapa jamii forum. Wasimamizi wa forum watuambiea halafu tuamue issue gani tuifanyie maamuzi. Mimi nadhani swala la kwanza ni ambalo mwanakijiji katupa dodoso kwamba serikali imeshaamua kununu mitambo na itainunua tu no matter what. We should start with that first - tuulize maswali mawili marahisi kabisa.

1. Tatizo la umeme ni sugu tanzania, na serikali inaona ni vyema wanunue mitambo ya dowans. Je serikali wanunue mitambo hiyo ama hapana?

Ndio ------------- hapana------------------

2. Kunatishio kwamba serikali isiponunua mitambo hiyo nchi yeto inaweza kukosa umeme kwa kitambo fulani. Je hiyo ni sababu tosha ya kuifanya serikali inunue mitambo ambayo inahusishwa na rushwa?

Ndio________________ hapana___________________

we could create all different sort of questions.
 
Mwanzo mzuri. However, i am not sure how to go about opening an opion poll hapa jamii forum. Wasimamizi wa forum watuambiea halafu tuamue issue gani tuifanyie maamuzi. Mimi nadhani swala la kwanza ni ambalo mwanakijiji katupa dodoso kwamba serikali imeshaamua kununu mitambo na itainunua tu no matter what. We should start with that first - tuulize maswali mawili marahisi kabisa.
Whaat?..
 
Hilo sio tatizo....CCM hawakuteuliwa na Mungu hadi tukose wakutufaa kutuongoza. Nina imani wapo wengi tu. Shoot...I could have done better job than Kikwete the other day at that panel....

Nyani my friend, I think you could have definitely done a better job, but then Jk doesn't have a standard
but on a more serious note, nakereka sana ninaposikia hoja eti tumchague JK maana hamna chaguo bora zaidi... whaaaat??? Mi nasema hivi kheri hata tumchague Mrema au Mtikila kuliko kuendelea na ufisadi huu ambao unatuangamiza. Tunachekacheka hapa na kufanya kama vile we are helpless, watanzania si mabwege and we have to prove it. Election time is the only time when a citizen can punish bad leaders let's make sure we tell CCM and its terrible leadership that it should go and stand in the corner and put on a dunce hat! Tuwape nafasi wengine, maana sidhani kama kuna mtu anaweza kuchemka kiasi alichochemka JK! He is worse than any opposition leader so far.
 
Taifa la kesho hujengwa leo, wazazi wanaweza kutoa mwelekeo wa maisha ya baadaye ya watoto maana yake taifa. Wale walio wazazi wanafanya nini??
Kuchagua viongozi wazuri, waaminifu na wenye uwezo kutahakikisha uzuri wa kizazi kijacho, hivi tufanyavyo sidhani???
 
Mkandara, refer to pg 12 of this thread, the second post from the bottom, mwanakijiji argues the following.

Haijalishi habari au ukweli wowote ambao tutaufunua; haijalishi kuwa kampuni ya Dowans iliingia kilaghai (kama tutavyoonesha) ikitumia mtindo wa Richmond (kujisema inahusiana na kampuni kubwa ya kimataifa); haijalishi uchunguzi au kamati yoyote.. mitambo ya Dowans itanunuliwa na serikali na mazungumzo yanaendelea kufanikisha hilo.

Vyovyote vile itakavyokuwa serikali itanunua mitambo ya Dowans inspite and despite of whatever is revealed. Hii ndiyo sababu ya Ngeleja kusema wanataka mjadala huu ufungwe ili Tanesco wafanye maamuzi yao bila kuingiliwa. Kimsingi, Al-Awadi ameshaingia hasara ya kuyaleta kwani ahadi ilikuwa ni mwisho wa muda (ile miaka miwili) serikali itanunua majenereta hayo. This now seems to be in limbo..

Early, i was tempted to ask him to prove it, however, i questioned myself what's the point? Do i just want to know or do something about it? My head is spinning!
 
Mkandara haya mambo yanachanganya kweli,ndio maana nimepitia hii thread na nimekuta member huyu "Maskini Mimi" ambaye slogan yake inasema "Lakini tutafika" Kweli najiuliza maswali mengi sana...Hivi tutafika? Kama alivyosema halisi hapo nyuma...Nadhani inabidi tujitolee muhanga kwaajili ya next generation,kwasababu mabadiliko yatakuwa magumu sana na kwasababu hiyo jitihada za ziada zinahitajika...Hatuwezi kusema biashara ya unga for instance ni mbaya na wakati mizungu ya unga inavyopeta kila mtu anataka kuwa zungu especially vijana wanaokua...Sasa ni the same kama alivyosema Halisi...Hata watoto wanadhani ufisadi ni jambo zuri kwani maisha ni mswanu,yani mtoto anaweza akawa anasoma huku akiwa anataka kuwa fisadi when he/she grows up. Ni lazima tubadili,lazima watoto wasikie fisadi liko jela ama limehukumiwa kifo nk...Hapo nd'o utakuwa mwanzo. Other than that mkuu kizazi kijacho kitajiuliza na sisi tunataka mabadiliko ili wasije kujiuliza kuwa tulifanya nini baada ya babu zetu kugombea uhuru.

Tukatae zile fomula mbili za amani na utulivu
 
Nchi imefikishwa mahali ambapo ni lazima watu wachache wajitoe mhanga ili kuinusuru. Ninalilia maisha magumu watakayoishi kizazi cha Tz. Tutaishia kuwa ombaomba ndani ya nchi yetu huku wageni wakituweka katika maisha yale ya Afrika Kusini wakati wa Apartheid.

Hata kwa mtu aliye mbumbumbu kiasi gani huwezi kumwambia eti kampuni ina shareholder mmoja tena mgeni. Sheria za kusajili makampuni hapa BRELA zipo, ilikuwaje huyo bwana wa Oman asajiliwe hapa??? Na kumtumia mwanasheria yule yulea ambaye anatumika kusaini documents za kifisadi???

Huyu Mheshimiwa Rais na washauri wake vipi??? Kuna utata!!!!

I cry for my once a beautful country Tanzania, which has now turned a centre for dead deals. Hivi yule jamaa aliua innocent people kule nchi ile wiki iliyopita kwa nini inakuwa hivyo wasiue maharamia mafisadi. Kwenye kitabu cha riwaya ya Kuli nanukuu "YANA MWISHO HAYA".
 
Nchi imefikishwa mahali ambapo ni lazima watu wachache wajitoe mhanga ili kuinusuru. Ninalilia maisha magumu watakayoishi kizazi cha Tz. Tutaishia kuwa ombaomba ndani ya nchi yetu huku wageni wakituweka katika maisha yale ya Afrika Kusini wakati wa Apartheid.

Hata kwa mtu aliye mbumbumbu kiasi gani huwezi kumwambia eti kampuni ina shareholder mmoja tena mgeni. Sheria za kusajili makampuni hapa BRELA zipo, ilikuwaje huyo bwana wa Oman asajiliwe hapa??? Na kumtumia mwanasheria yule yulea ambaye anatumika kusaini documents za kifisadi???

Huyu Mheshimiwa Rais na washauri wake vipi??? Kuna utata!!!!

I cry for my once a beautful country Tanzania, which has now turned a centre for dead deals. Hivi yule jamaa aliua innocent people kule nchi ile wiki iliyopita kwa nini inakuwa hivyo wasiue maharamia mafisadi. Kwenye kitabu cha riwaya ya Kuli nanukuu "YANA MWISHO HAYA".

Sheria zetu zinafanyakazi kimdebwedo debwedo! Na hapo ndo ninapoona hoja ya Zitto na ile ya Mwanakijiji kwamba mitambo ya Dowans lazima inunuliwe. Sheria zinawabawana wajinga wajinga na si wanjanja wa mjini. Natamani Ditto (RIP) angekuwepo leo. Angeweza kutueleza vizuri tofauti kati ya watoto wa mjini na wale wa kuja ambao bado wana tongo tongo kwenye macho. Nadhani Mkwere na washikaji wake wanamwomba Mungu wao hizo tongo tongo zizibe macho kabisa tusione na wanatafuta dawa ya kumalizia na masikio ili mabwege tusione ndani. Watawahi??
 
Tunachekacheka hapa na kufanya kama vile we are helpless, watanzania si mabwege and we have to prove it. Election time is the only time when a citizen can punish bad leaders let's make sure we tell CCM and its terrible leadership that it should go and stand in the corner and put on a dunce hat!

I admire the optimism and faith in your message but CCM have worked waTanzania out. They know what makes them tick and more importantly what it takes to win elections. Ukweli ni kwamba sisi ni Mabwege. Kampeni za 2010 zimeshaanza and I expect by June next year all will have been forgiven and forgotten. Watch this space
 
I admire the optimism and faith in your message but CCM have worked waTanzania out. They know what makes them tick and more importantly what it takes to win elections. Ukweli ni kwamba sisi ni Mabwege. Kampeni za 2010 zimeshaanza and I expect by June next year all will have been forgiven and forgotten. Watch this space

Huu ni ukweli kabisa, hizi ni mbinu tu za CCM kwa ajili ya uchaguzi mkuu hapo 2010
 
Hivi ni uzuri gani au ufanisi upi mkubwa uliomfanya JK kukataa Dr Idrissa kujiuzuru pale alipotaka kufanya hivyo? je JK alikuwa aanajua kuwa akija mtu mwingine pale TANESCO watashindwa kupanga hivi wanavyopanga leo? Idrissa na scandal ya Rada bado Rais wetu anamwamini kiasi hicho Idrissa kuja na kututisha kichwa mchungwa? sawa lakini mungu si Athumani!
 
Duh,.... Ama kweli sisi Miafrika jamani!...sasa huyu jamaa Mohammed Sulaiman kaweza vipi kusajiri shirika yeye peke yake kama mmiliki wakati sii raia au sheria zimebadilika!
Ninavyojua sio kosa foreigner kuwa director isipokuwa nafikiri minimum number of directors ni two (2), kama ni hivyo basi huyo director mwingine ni nani?. Kama nimekosea naweza kusahihishwa.
 
Nyani, utamu wa pilau unaanza kwa harufu!!

from The Citizen Feb 8, 2008 "December 17, 2006: Richmond Development Company approaches South African based company, Dowans Holdings, to cut a deal in a desperate effort by Richmond to hang on to the lucrative $172.5million emergency power supply contract."

Pay attention to the dates...

Bwana eeeh tupeni vitu kamili kamili hatutaki mapuzzle yenu!!!!!!!!!
 
Duh,.... Ama kweli sisi Miafrika jamani!...sasa huyu jamaa Mohammed Sulaiman kaweza vipi kusajiri shirika yeye peke yake kama mmiliki wakati sii raia au sheria zimebadilika!

Sheira haijabadilika kwani mpaka leo hakuna mgeni anayeweza kumiliki kampuni kwa zaidi ya asilimia 49, ndio maana wamemkatalia RA kuuza hisa zake kwa majority shareholder kwani watakwenda kinyume na sheria.

Huyu jamaa hapa ameingizwa kuokoa deal tumsubiri tusikie ataongea nini na mwanakijiji, maana kama walimruhusu na kusajiri kampuni inayomilikiwa na mgeni kwa more than 49% then watakuwa walivunja sheria hata hao BRELA wanatakiwa wawajibishwe.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom