Mwakyembe: Sikumsema Roma, Watanzania wanadandia mada

Wangemuuliza.
Unfortunately waandishi wetu wengi ni wale wenye elimu za "hapa na pale" na bila shaka hawakuwa na confidence ya kumuuliza huyo mwenye degree nne nne.

Waandishi wetu sio wadadisi. Unaweza kuwaambia kitu cha uongo (say, JPM amelazwa Muhimbili) na wao harakaharaka watakimbia na kuandika "JPM amelazwa Muhimbili". Yaani uwezo wa kuprobe na kucross check haupo.
 
Yaani vyama vya upinzani nchi hii wanapotosha jambo ili kuichafua serikali.

Mkuu wa mkoa Katavi, kasema waganga wa jadi watumie ushawishi wao kuwahamasisha watu kujiandikisha.

UPINZANI
Yaani CCM wameamua kutumia waganga kuwaloga watu ili waende kujiandikisha

MIJITU MIJINGA MIJINGA HII
Hii fungua thread yake inayojitegemea.
 
Siku tukiacha kujadili mambo mepesi mepesi ndipo tutakuwa tumeanza kuyafikia maendeleo tunayoyataka.
 
"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?"

Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
Anadhani wengi wamesoma bila ya kubakia na akili kama yeye.
 
"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?"

Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
Mmmh! Kwa nunuu hii Mwakyembe hapa hachomoi, alikuwa anamsema Roma. Labda aseme ameogopa hewa ilivyochafuka inaweza kupelekea mawimbi makali dhidi yake
 

1574006454633.jpeg
 
Waziri mwenye dhamana ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dr. Mwakyembe amekanusha vilivyo taarifa zinazosambaa kumhusisha na ukosoaji wa wimbo mpya wa Roma Mkatoliki, akisema Watanzania wanapenda kupandanisha mada kwani alichokuwa anazungumzia ni tofauti kabisa na kuwa Roma ni miongoni mwa wasanii wasomi Tanzania.

Source: Global tv online.
Hana lolote huyo
 
Waziri mwenye dhamana ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dr. Mwakyembe amekanusha vilivyo taarifa zinazosambaa kumhusisha na ukosoaji wa wimbo mpya wa Roma Mkatoliki, akisema Watanzania wanapenda kupandanisha mada kwani alichokuwa anazungumzia ni tofauti kabisa na kuwa Roma ni miongoni mwa wasanii wasomi Tanzania.

Source: Global tv online.
Kama Mheshimiwa alikana nukuu iliyochukuliwa ktk "thesis' yake, atashindwa vipi kukanusha juu ya kauli yake? Ameona "reactions" juu ya watu ndipo anaanza kuleta miyeyusho.
 
"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?"

Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!



!
!
Halafu Wanakuja Wapumbavu Fulani Wanakwambia Sisiemu Haijafanya Lolote
 
"Kama msanii unang'ang'ana kuimba siasa na kukosoa serikali basi amua kuachana na muziki uanzishe chama cha siasa. Lakini kama unataka kupata maslahi kwenye muziki, basi nyimbo hizo hazilipi. Haiingii akilini nina shahada nne halafu msanii ambaye hajaenda hata shule anatunga nyimbo za kunikosoa. Wewe na darasa la nne lako sijui la 7 utanionya mimi mwenye degree nne na nimefundisha vyuo vikuu mbalimbali?"

Dr.Harisson Mwakyembe (PhD), Waziri wa Habari, Sanaa na Michezo.!
🤣🤣🤣 labda alikua anamchamba gigi mane kwenye ule wimbo wake wa nampa papa.
 
Back
Top Bottom