Mwakyembe: Sikumsema Roma, Watanzania wanadandia mada

Waziri mwenye dhamana ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dr. Mwakyembe amekanusha vilivyo taarifa zinazosambaa kumhusisha na ukosoaji wa wimbo mpya wa Roma Mkatoliki, akisema Watanzania wanapenda kupandanisha mada kwani alichokuwa anazungumzia ni tofauti kabisa na kuwa Roma ni miongoni mwa wasanii wasomi Tanzania.

Source: Global tv online.
Huu wimbo mbona siusikii ukipigwa kabisa redioni? Au vituo vinaogopa kuupiga? Tumefikia pabaya sana!!
 
Degree zake ni zile rahisi rahisi kuzipata, huitwa penguin miaka hiyo pale Mlimani.

Ni bora Mwakyembe angetupa matumizi ya Thesis zake katika jamii, huo ndo umuhimu wa alicho tengeneza katika usomi.
Mbona alishapingana na Thesis yake mwenyewe! Huyu alikua muumini wa serikali tatu lakini alipopata madaraka ya kisiasa akapiga booonge la U turn!😀😀😀
 
Degree zake ni zile rahisi rahisi kuzipata, huitwa penguin miaka hiyo pale Mlimani.

Ni bora Mwakyembe angetupa matumizi ya Thesis zake katika jamii, huo ndo umuhimu wa alicho tengeneza katika usomi.
Degrees za wana CCM zote hujifuta automatic pindi wakijitoa fahamu kufanya kazi za CCM kwa mfumo wa cyprian Musiba na Le mutuz, pale alipo Mwakyembe kichwani kasalia na Elimu ya darasa la nne la Mkoloni ndiyo maana bado kakingereza bado anakaongea kidogo hajakasahau.
 
Waziri mwenye dhamana ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dr. Mwakyembe amekanusha vilivyo taarifa zinazosambaa kumhusisha na ukosoaji wa wimbo mpya wa Roma Mkatoliki, akisema Watanzania wanapenda kupandanisha mada kwani alichokuwa anazungumzia ni tofauti kabisa na kuwa Roma ni miongoni mwa wasanii wasomi Tanzania.

Source: Global tv online.
Wabongo wanapenda sana kuongea mambo wasiyoyajua, ni tatizo lile lile la elimu duni.
 
Mbona alishapingana na Thesis yake mwenyewe! Huyu alikua muumini wa serikali tatu lakini alipopata madaraka ya kisiasa akapiga booonge la U turn!😀😀😀
Ina maana Thesis zake ni za hovyo hovyo tu.
Zinabadilika na mtu anayebadilika kama uoepo na bendera.

Mwakyembe hawezi jivunia hizo degree 4 kwani pamoja na kutimsaidia yeye binafsi kitaakam, hakuna mahali zikatumika katika jamii.
 
Unachea nguvu ya umma umebeep wananchi wamekupigia mpe salamu jiwe maana yeye ndiye kabaki bila mshipa wa aibu.

PhD zenu watu wakizihoji mnawapotea wakati ni fake.

Ni masikitiko makubwa waziri tena mwenye PhD kuongea bila kufanya utafiti wa kutosha.
Anajitetea baada ya kuona negative response toka kwa wananchi juu ya alichokisema. Sishangai hata yule wa jalalani alishawahi to kauli tena kwenye chombo kikubwa cha habari duniani kuwa "He disappeared and died long time ago" alafu akaja kuikana kauli yake mwenyewe eti alinukuliwa vibaya

Sent from my Infinix X572 using JamiiForums mobile app
 
Siku tukiacha kujadili mambo mepesi mepesi ndipo tutakuwa tumeanza kuyafikia maendeleo tunayoyataka.

Hopeless, haya sio mambo mepesi, kiongozi unayeishi kwa kodi za watu, wengine mpaka wamefungiwa biashara zao na kunyaganywa Mali zao, huwezi kurudi kinyumenyume na kuongea nonsense kama za huyo mnyakyusa
 
Waziri mwenye dhamana ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Dr. Mwakyembe amekanusha vilivyo taarifa zinazosambaa kumhusisha na ukosoaji wa wimbo mpya wa Roma Mkatoliki, akisema Watanzania wanapenda kupandanisha mada kwani alichokuwa anazungumzia ni tofauti kabisa na kuwa Roma ni miongoni mwa wasanii wasomi Tanzania.

Chanzo: Global tv online.

Pia soma

Daah inafurahisha sana. Anyway ugimbi bwana una raha zake.
 
BAsi sawa.
Ila mwakyembe aelewe kwamba yeye alisoma HKL ila Roma alisoma PGM na akaenda kupiga Computer Science pale UDSM.
Mangwini ni shida sana. Pale UDSM wakati ule FOE (Faculty of Engineering) ikiwa FOE kweli kweli ndiyo maana tulikuwa tunatumia nguvu kuwatawala mangwini. Mfano:

Mwaka 2000 ngwini na walimu wao walipigwa kwenye madarasa ya FOE pale A21

Pia ilikuwa tukiamua rais wa chuo atoke FOE ilikuwa hivyo. Mgombea yeyote ambaye hakuungwa mkono na FOE alikuwa hashindi e.g. Tulipora ushindi wa Dr. Bashiru Ally (Katibu mkuu wa sasa wa CCM) hadi akalia

Maandamano au migomo ya chuo ilikuwa haifanikiwa bila FOE kushiriki.

Sasa maisha baada ya chuo ni balaa. Mangwini wakapata nafasi za juu katika uongozi wa nchi, sasa wanajikakamua ili kufunika/ficha inferiority complex zao kwa kujitangaza kuwa wana akili sana na kubeza wengine. Ungekuwa na akili sana usingesoma hechikeielo. Nghatele fijo! Jifunze unyenyekevu.
 
Back
Top Bottom