mmbangifingi
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 2,839
- 567
Vijengwe vyoo kila baada ya kilomita kadhaa au kila miji iliyopo katika barabara kuu.
Kweli hili ni jambo mtambuka,,nani atakuwa anavihudumia sasa hivyo vyoo,,maana hivi tu vilivyopo baadhi ya stand, vya halmashauri nadhani ambavyo wanachaji hela kujisaidia haja ndogo ama kubwa vinatisha kwa uchafu