Bongo Pix Blog
JF-Expert Member
- Sep 13, 2011
- 213
- 33
kupiga marufuku bila kuweka njia mbadala haisaidii, nchi za wenzetu kuna facilities muhimu kwa "kuchimba dawa", kupumzika kwa muda na kupata mlo ktk njia kuu karibu kila 50km, hivyo huna sababu za kugongwa na nyoka machakani.
Mh Mwakyembe kama kweli umemaanisha (maana mara nyingi uwa ni siasa tu), jenga kwanza hizo facilities huko njiani ndo ije kauli ya "marufuku kuchimba dawa", kinyume cha hapo ni ngumu kumesa.
Mh Mwakyembe kama kweli umemaanisha (maana mara nyingi uwa ni siasa tu), jenga kwanza hizo facilities huko njiani ndo ije kauli ya "marufuku kuchimba dawa", kinyume cha hapo ni ngumu kumesa.