''ABIRIA NI MARUFUKU KUCHIMBA DAWA NJIANI'', Mwakyembe alipuka bungeni.
Waziri wa uchukuzi ametoa agizo bungeni jioni hii kwamba kuanzia tarehe 1 sept 2012,Ni Marufuku kwa mabasi kusimama njiani kwenye vichaka ili abiria wakachimbe dawa,akidai inavunja heshima na utu wa Mtanzania kwa Mama mtu mzima kuchuchumaa hapa akichimba dawa na kijana mdogo naye hapa akichimba dawa.
Ni mambo mazuri aliyowaandalia watanzania na ukweli alio usema bungeni