Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,514
Duh kaka yangu mwakyembe heshima yake inazidi kuporomoka,ameshauriana na wenzake adhari za hili au karopoka tu? Kwa mazingira gani ya porini mtu asijisaidie! Tabu hawa watu wa mashangingi wanajisahau sana maana wao umbali mrefu wanakwea pipa wanasahau sisi tunatoka Dar hadi Karagwe kwa basi!
daaaah nimeamini sumu aliyopewa mwakwembe ni mbaya sana!