mh. dr. harison mwakyembe ametoa tamko kuwa sasa hivi gari lolote la abiria litakalo onekana limesimama njiani kwa ajili ya abilia wake kuchimba dawa (kujisadia) litachukuliwa hatua za kisheria.
Hakuna pori Ushirombo! Kuna vijiji Hadi kufika Nyakanazi Kama Kaniha, Lunzewe etc etc
Mwakyembe hivi wewe unaweza kusafiri kilometa 1600 bila kujisaidia labda uwe unakula saruji...anza kwanza na askari wa wanyamapori hao ndio wanaongoza kujisaidia maporini.
Mazee unajua hata na mimi nimelifikiria hili.
Hivi katika mambo yooote yaliyo matatizo katika Wizara yake, hili ndio kaona la kipaumbele?
Au ilikuwa vipi mpaka hili likaibuka?
Waweke vituo maalumu kwa ajili ya shughuli hiyo njiani!! watu wanakaa kidogo kujisitiri hii ya mkoa hadi mkoa ukute mtu kala makande jana yake yamemkalia vibaya, hiyo safari mbona nitashuka njiani. Kwa upande mwingine, waboreshe train haraka ndo watoe hayo matamko!!
mh. dr. harison mwakyembe ametoa tamko kuwa sasa hivi gari lolote la abiria litakalo onekana limesimama njiani kwa ajili ya abilia wake kuchimba dawa (kujisadia) litachukuliwa hatua za kisheria.
mh. dr. harison mwakyembe ametoa tamko kuwa sasa hivi gari lolote la abiria litakalo onekana limesimama njiani kwa ajili ya abilia wake kuchimba dawa (kujisadia) litachukuliwa hatua za kisheria.
dili hilo hayo maeneo yanayotumika kuchimba dawa huwa sehemu kubwa ni misitu je ni mali ya serikali kama inawezekana watoe maeneo wajasiriamali wajenge vyoo vya kulipia