Mwaka sasa unaisha lakini Serikali haijamalizia hata mradi mkubwa mmoja

sambulugu

JF-Expert Member
Jun 1, 2021
3,941
7,382
Kwa uchunguzi wangu miradi mingi ya ujenzi ya serkali iko nyuma sana tokea utawala huu wa mama Samia uingie! Natoa mifano ifatayo!
Ujenzi wa barabara ya Kumara mpaka kibaha ulikuwa umekamilika kwa zaidi ya asilimia 94 lakini mpaka sasa hakuna umaliziaji wa barabara hiyo.

Ujenziwa daraja mahususi la mto wami ukipita maeneo hayo unaona kabisa mwenendo wake wa ujenzi unasuasua sana.

Ujenzi wa barabara za mitaa hususani Dar kama umesimama kidogo mwendo kasi ya Mbagala wanajitahidi kujikongoja na pia ujenzi wa fly over za chang'ombe na uhasibu uko na kasi ndogo sana.

Ujenzi wa daraja la Busisi nao uko chini na majuzi tumeona watu wakihujumu pia tumemuona Mbarawa akiwa huko ila hali pia si shwari, Ujenzi wa meli ya MV Mwanza nao polepole sana.

Ujenzi wa terminal airport ya mwanza umaliziaji haufanyiki!
na mikoa mingine pia kasi ya ujenzi sio nzuri.

Hata barabara ya kuunganisha tabora kigoma naona mkandarasi anaruruka tu vipande kadhaa havijakamilika!

Upande wa Kakonko kuja kasulu napo changamoto Nyanza Roads Construction huko chini sana.

Lakini yote hayo sio tatizo ila serkali bado inatuamimisha kuwa inakusanya kodi zaidi ya kipindi cha awamu ya tano ikiwemo na tozo katika miamala!

Bila kuwepo kwa fedha za UVICO ambazo zinaifanya serkali ionekane kuna kitu inafanya kwa ujenzi wa madarasa na zahanati hakuna kitu kingine cha maana serkali ingeonekana imefanya!

Natoa rai kwa Serkali ijitahidi sana kusimamia miradi hii mahususi kwa taifa letu ikamilike!
 
Kwa uchunguzi wangu miradi mingi ya ujenzi ya serkali iko nyuma sana tokea utokea utawala hui wa mama Samia uingie! Natoa mifano ifatayo!
Ujenzi wa barabara ya Kumara mpaka kibaha ulikuwa umekamilika kwa zaidi ya asilimia 94 lakini mpaka sasa hakuna umaliziaji wa barabara hiyo.
Ujenziwa daraja mahususi la mto wami ukipita maeneo hayo unaona kabisa mwenendo wake wa ujenzi unasuasua sana.
Ujenzi wa barabara za mitaa hususani Dar kama umesimama kidogo mwendo kasi ya Mbagala wanajitahidi kujikongoja na pia ujenzi wa fly over za chang'ombe na uhasibu uko na kasi ndogo sana.
Ujenzi wa daraja la Busisi nao uko chibi na majuzi tumeona watu wakuhujumu pia tumemuona Mbarawa akiwa huko ila hali pia si shwari, Ujenzi wa meli ya MV mwanza nao polepole sana.
Ujenzi wa terminal airport ya mwanza umaliziaji haufanyiki!
Na mikoa mingine pia kasi ya ujenzi sio nzuri.
Hata barabara ya kuunganisha tabora kigoma naona mkandarasi anatukatuka tu vioande kadhaa havujakamilika! Upande wa kakonko kuja kasulu napo changamoyo Nyanza Roads Construction huko chini sana.
Lakini yote hayo sio tatizo ila serkali bado inatuamimisha kuwa inakusanya kodi zaidi ya kipindi cha awamu ya tank ikiwemo na tozo katika miamala!
Bila kuweoo kwa fedha za UVICO ambazo zimaifanya serkali ionekane kuna kitu inafanya kwa ujenzi wa madarasa na zahanati hakuna kit kinhine cha maana serkali ingeonekana imefanya!
Natoa rai kwa Serkali ijitahidi sana kusimamia miradi hii mahususi kwa taifa letu ikamilike!
Ina maana hujaona maana ya neno kazi iendelee. Sasa tuseme nini basi kama kazi imelala.
 
Kwa uchunguzi wangu miradi mingi ya ujenzi ya serkali iko nyuma sana tokea utawala huu wa mama Samia uingie! Natoa mifano ifatayo!
Ujenzi wa barabara ya Kumara mpaka kibaha ulikuwa umekamilika kwa zaidi ya asilimia 94 lakini mpaka sasa hakuna umaliziaji wa barabara hiyo.
Ujenziwa daraja mahususi la mto wami ukipita maeneo hayo unaona kabisa mwenendo wake wa ujenzi unasuasua sana.
Ujenzi wa barabara za mitaa hususani Dar kama umesimama kidogo mwendo kasi ya Mbagala wanajitahidi kujikongoja na pia ujenzi wa fly over za chang'ombe na uhasibu uko na kasi ndogo sana.
Ujenzi wa daraja la Busisi nao uko chini na majuzi tumeona watu wakihujumu pia tumemuona Mbarawa akiwa huko ila hali pia si shwari, Ujenzi wa meli ya MV mwanza nao polepole sana.
Ujenzi wa terminal airport ya mwanza umaliziaji haufanyiki!
na mikoa mingine pia kasi ya ujenzi sio nzuri.
Hata barabara ya kuunganisha tabora kigoma naona mkandarasi anaruruka tu vipande kadhaa havijakamilika! Upande wa kakonko kuja kasulu napo changamoto Nyanza Roads Construction huko chini sana.
Lakini yote hayo sio tatizo ila serkali bado inatuamimisha kuwa inakusanya kodi zaidi ya kipindi cha awamu ya tano ikiwemo na tozo katika miamala!
Bila kuweoo kwa fedha za UVICO ambazo zinaifanya serkali ionekane kuna kitu inafanya kwa ujenzi wa madarasa na zahanati hakuna kitu kingine cha maana serkali ingeonekana imefanya!
Natoa rai kwa Serkali ijitahidi sana kusimamia miradi hii mahususi kwa taifa letu ikamilike!
Hii miradi ilitakiwa iishe lini kila mmoja?
 
Tatizo ni awamu iliopita haikujua vipaumbele ni vipi.
Sie tunataka umaliziaji wa miradi kwani huyu mama si alikuwa makamu wa Rais kwani hakuyajua haya! Na kila siku inatuamimisha kuwa yeye na Magufuli ni kitu kimoja!
 
Kwa uchunguzi wangu miradi mingi ya ujenzi ya serkali iko nyuma sana tokea utawala huu wa mama Samia uingie! Natoa mifano ifatayo!
Ujenzi wa barabara ya Kumara mpaka kibaha ulikuwa umekamilika kwa zaidi ya asilimia 94 lakini mpaka sasa hakuna umaliziaji wa barabara hiyo.
Ujenziwa daraja mahususi la mto wami ukipita maeneo hayo unaona kabisa mwenendo wake wa ujenzi unasuasua sana.
Ujenzi wa barabara za mitaa hususani Dar kama umesimama kidogo mwendo kasi ya Mbagala wanajitahidi kujikongoja na pia ujenzi wa fly over za chang'ombe na uhasibu uko na kasi ndogo sana.
Ujenzi wa daraja la Busisi nao uko chini na majuzi tumeona watu wakihujumu pia tumemuona Mbarawa akiwa huko ila hali pia si shwari, Ujenzi wa meli ya MV mwanza nao polepole sana.
Ujenzi wa terminal airport ya mwanza umaliziaji haufanyiki!
na mikoa mingine pia kasi ya ujenzi sio nzuri.
Hata barabara ya kuunganisha tabora kigoma naona mkandarasi anaruruka tu vipande kadhaa havijakamilika! Upande wa kakonko kuja kasulu napo changamoto Nyanza Roads Construction huko chini sana.
Lakini yote hayo sio tatizo ila serkali bado inatuamimisha kuwa inakusanya kodi zaidi ya kipindi cha awamu ya tano ikiwemo na tozo katika miamala!
Bila kuweoo kwa fedha za UVICO ambazo zinaifanya serkali ionekane kuna kitu inafanya kwa ujenzi wa madarasa na zahanati hakuna kitu kingine cha maana serkali ingeonekana imefanya!
Natoa rai kwa Serkali ijitahidi sana kusimamia miradi hii mahususi kwa taifa letu ikamilike!
Huo uchunguzi wako haujafaniilkiwa kupata taarifa za maendeleo za Stiglers HEP?
Otherwise mambo hayaendi sawa, mtaani maisha yame kaza sana.
 
Huo uchunguzi wako haujafaniilkiwa kupata taarifa za maendeleo za Stiglers HEP?
Otherwise mambo hayaendi sawa, mtaani maisha yame kaza sana.
HEP wote tunajua hata waziri mwenyewe hataki ukamilike so hapo tayari ni magumashi na visingizio ndo vimetawala!
 
Back
Top Bottom