Mwaka mmoja ndani ya Merigos Fleury Prison

Mwaka mmoja ndani ya Merigos Fleury Prison

EPISODE 2.
Nipo mikononi mwa askari kitengo cha udhibiti wa custums(douane).
Nikishikiliwa kwa mahojiano.

Nakumbuka baada ya wale askari kunipiga bega na kunisimamisha,
Waliomba ticket yangu pamoja na passport yangu.

Lengo lao ni kuangalia route nzima ya safari yangu.
Do you have anything eligal things like drugs, Ashish, marijuana,dirty money nk.
La Chief aliuliza,
Nikamjibu mm sina chochote humo.
Wakati wao wapo busy na kukaguwa mabag yng nikapata wasaa wa kufuta namba pamoja na sms zote za watu wa ulaya ambao nilikuwa nawasiliana nao na wengine wapo ktk phone contact zng .
DK 5 nikawa nimefuta conservation zote za watu wangu muhimu,,
Maana hata Kama kuna jamaa alinibeep Tu,,ujuwe angetafutwa.

.nilifanya hivyo sababu nilijuwa nikipata tatizo lolote pale France wangewasumbuwa wote waliokuwa kwenye contact list zangu kwa waishio ulaya.

-A good captain always sink with his ship..

Niliamua kuzama na meli yngu ili nisimsababishie yeyote matatizo..

Jamaa walitoa nguo zote pale kwenye mabag yangu ,,
search ikaanza .

Jamaa walianza kwa kuliinuwa juu bag likiwa tupu.
Nina maana kulipima uzito kwa mkono.
Wakalichukuwa wakalipitisha kwenye snanner machine yao ndogo iliyopo pale chumbani,
Nadhani hawakuona kitu.

Wakalichukuwa bag tena, wakalisimamisha likiwa tupu.
Bag lilianguka upande mmoja..

Walihangaika kama nusu saa hivi bila kujuwa bag lina kitu cha ziada ndani.,,huku mm nawaangalia kwa jicho la wizi nisigundulike.

Namlaani Sana mmoja wa Askari wale ,,ambaye alikuwa mweusi.
Jamaa aliongoza mashambulizi ya kukaguwa bag,,bila kuchoka.,jamaa ni kama alitaka kunitoa nishai.
Jamaa aling'ang'ania bag langu kama katangaziwa zawadi.
Hatimae jamaa akatamka humu kuna kitu ndani ya bag.
Wht is inside the bag?
Jamaa aliuliza..
Nikawajibu .
My bag is empty...there is nothing inside.
Jamaa wakaja na tools box DK 5 bag limechanwa lote.
Hatimae kibunda chote hadharani.
Pale pale jamaa wakanitia Pingu..
Whts that? Drugs?
Nikawajibu mm sijuwi chochote kuhusu hicho kitu..

Pale pale chumbani waliongezeka Askari wengine ikawa kama nipo kwenye maonyesho.
Wengine wakinichukuwa video kwa simu zao,,
Huyu kaongea hivi,,mara vile..mradi tu ndy nimeshakamatwa,nikawa kama kituko.
Askari walijiridhisha ni pesa cash euros 35000 ,+ wallet yng nilikuwa na euros 1700 zikachanganywa.

Whose money are these?
Nikawajibu pesa mm sizijuwi,,Hilo bag nimepewa na rafiki yng niweke nguo..
Kilichopo humo mm sikitambui.
Jamaa wakachek passport yangu,,muda na days nilizokaa Europe,.
Date of entry.
Akasema.
Do you deal with drugs?
Nikawajibu no?
Akasema inaonekana hapa europe
Una kama mwezi mmoja hivi.
How did you get this amount?
Twambiye nani kakupa hizi pesa,,au twambiye una deal na nani?
Nikawajibu na deal nn?
Tunajuwa wewe unaishi Africa,,hapa Paris unakuja kwa nani?
Twambiye ,,tunajuwa wewe pesa sio zako..
Walihitaji nionyeshe ushirikiano ili niwamalize wengine.
Bado nikakomaa hilo bag nimepewa na jamaa uswis niweke vitu tu,,nipeleke Africa.
If you deny this bag you will be in Trouble my friend.
Accept the bag then let the judge decide.
Judge will let u go..or pay the penalt.
Yule mkubwa wa kitengo alinambiya nisisumbuwe mahakama,,nikubali bag.
Still nikasema sijuwi chochote kuhusu bag.
Nikaandika maelezo,,then nikakabidhiwa kwa police,
Kituo kikuu cha police Paris.

Itaendelea..
 
EPISODE 1.
Nina mwezi mmoja tangu nifungwe gerezani miezi 18.
Bado natafakari jinsi gani nitaijulisha family yangu kwa yaliyonikuta.

Nilitokea Zurich Swiss kupitia France. Nilipanda Swiss Air to Charles degal airport Paris France.

Nilikamatwa kwa kosa la Money trafficking na kufungwa miezi 18 jela. Nilikuwa na euros 35000.

Ilikuwa j mosi tulivu, nilipotua airport Charles de gaulle ,,

lsikuona shida yeyote wala usumbufu wowote kutoka kwa askari wale.

Kumbe bila kujua wana taarifa zangu ambazo walishatumiwa kutoka Zurich airport na askari wa uwanjani pale.
Nilikuja kugunduwa hilo baadae.

Nilikuwa na pesa kwenye bag langu ziliwekwa kwa ustadi mkubwa Sana,
Sio rahisi kugundulika kwa haraka,
nilishangaa niliposhikwa bega kwa kuitwa majina yangu yote kamili na huku wale customs wana picha ya passport yng .

Waliniweka kwenye chumba maalum,
Wakanihoji na kuanzia kunipekuwa mwilini hata kwnye mabag yangu.

Hawa jamaa wapo advance sn ktk kupekuwa, wakikutaka hawakukosi.

Walianza kunihoji nafata nini Paris, nikawaambiya mm napita njia nakwenda zangu nyumbani. Africa.

Still hawakukubaliana na Mimi.

Itaendelea..

Mwongo
 
EPISODE 2.
Nipo mikononi mwa askari kitengo cha udhibiti wa custums(douane).
Nikishikiliwa kwa mahojiano.

Nakumbuka baada ya wale askari kunipiga bega na kunisimamisha,
Waliomba ticket yangu pamoja na passport yangu.

Lengo lao ni kuangalia route nzima ya safari yangu.
Do you have anything eligal things like drugs, Ashish, marijuana,dirty money nk.
La Chief aliuliza,
Nikamjibu mm sina chochote humo.
Wakati wao wapo busy na kukaguwa mabag yng nikapata wasaa wa kufuta namba pamoja na sms zote za watu wa ulaya ambao nilikuwa nawasiliana nao na wengine wapo ktk phone contact zng .
DK 5 nikawa nimefuta conservation zote za watu wangu muhimu,,
Maana hata Kama kuna jamaa alinibeep Tu,,ujuwe angetafutwa.

.nilifanya hivyo sababu nilijuwa nikipata tatizo lolote pale France wangewasumbuwa wote waliokuwa kwenye contact list zangu kwa waishio ulaya.

-A good captain always sink with his ship..

Niliamua kuzama na meli yngu ili nisimsababishie yeyote matatizo..

Jamaa walitoa nguo zote pale kwenye mabag yangu ,,
search ikaanza .

Jamaa walianza kwa kuliinuwa juu bag likiwa tupu.
Nina maana kulipima uzito kwa mkono.
Wakalichukuwa wakalipitisha kwenye snanner machine yao ndogo iliyopo pale chumbani,
Nadhani hawakuona kitu.

Wakalichukuwa bag tena, wakalisimamisha likiwa tupu.
Bag lilianguka upande mmoja..

Walihangaika kama nusu saa hivi bila kujuwa bag lina kitu cha ziada ndani.,,huku mm nawaangalia kwa jicho la wizi nisigundulike.

Namlaani Sana mmoja wa Askari wale ,,ambaye alikuwa mweusi.
Jamaa aliongoza mashambulizi ya kukaguwa bag,,bila kuchoka.,jamaa ni kama alitaka kunitoa nishai.
Jamaa aling'ang'ania bag langu kama katangaziwa zawadi.
Hatimae jamaa akatamka humu kuna kitu ndani ya bag.
Wht is inside the bag?
Jamaa aliuliza..
Nikawajibu .
My bag is empty...there is nothing inside.
Jamaa wakaja na tools box DK 5 bag limechanwa lote.
Hatimae kibunda chote hadharani.
Pale pale jamaa wakanitia Pingu..
Whts that? Drugs?
Nikawajibu mm sijuwi chochote kuhusu hicho kitu..

Pale pale chumbani waliongezeka Askari wengine ikawa kama nipo kwenye maonyesho.
Wengine wakinichukuwa video kwa simu zao,,
Huyu kaongea hivi,,mara vile..mradi tu ndy nimeshakamatwa,nikawa kama kituko.
Askari walijiridhisha ni pesa cash euros 35000 ,+ wallet yng nilikuwa na euros 1700 zikachanganywa.

Whose money are these?
Nikawajibu pesa mm sizijuwi,,Hilo bag nimepewa na rafiki yng niweke nguo..
Kilichopo humo mm sikitambui.
Jamaa wakachek passport yangu,,muda na days nilizokaa Europe,.
Date of entry.
Akasema.
Do you deal with drugs?
Nikawajibu no?
Akasema inaonekana hapa europe
Una kama mwezi mmoja hivi.
How did you get this amount?
Twambiye nani kakupa hizi pesa,,au twambiye una deal na nani?
Nikawajibu na deal nn?
Tunajuwa wewe unaishi Africa,,hapa Paris unakuja kwa nani?
Twambiye ,,tunajuwa wewe pesa sio zako..
Walihitaji nionyeshe ushirikiano ili niwamalize wengine.
Bado nikakomaa hilo bag nimepewa na jamaa uswis niweke vitu tu,,nipeleke Africa.
If you deny this bag you will be in Trouble my friend.
Accept the bag then let the judge decide.
Judge will let u go..or pay the penalt.
Yule mkubwa wa kitengo alinambiya nisisumbuwe mahakama,,nikubali bag.
Still nikasema sijuwi chochote kuhusu bag.
Nikaandika maelezo,,then nikakabidhiwa kwa police,
Kituo kikuu cha police Paris.

Itaendelea..

Acha kuangalia vipindi vya border control ndo vinakusumbua; kukutwa na hela sio kosa, zikizidi you just declare
 
Mkuu huo ni mfumo ambao watu wengi huutumia kusafirisha pesa.

Tht was my bad luck day....
Ulaya pesa iliyozidi euros 9000 ukiwa nazo mfukoni bila maelezo ni suspect..

9000 ndy limit ya kuwa na cash mfukoni
Kama ni Italy tayari Una kesi ya kujibu umezitoa wp.

Hauna Kesi ya kujibu, una declare tu na unasema chanzo; hiyo sio kesi na wala wewe sio suspect
 
EPISODE 3.
Nimekabidhiwa kwa police baada ya doune(custom) kujiridhisha.
Wenzetu ukikamatwa kila kitu kinakuwa so fast..
Nilikabidhiwa kituoni saa 20:00 pm. usiku.
Nilichukuliwa alama za vidole,,picha na hadi mboni za macho.
The next day 08:00 am nikafuatwa na police wengine kwa maelezo zaidi.
Jamaa walikabidhiwa zile pesa pamoja na simu yngu na bags zangu zote.
Then wakakaguwa simu kwa muda huku wakinihojiwa pengine wanahisi najihusisha na madawa ya kulevya..au biashara chafu.
Your phone is clean...sign here.
Nikaweka sign nikatulia.

France wana Sheria ngumu Sana ktk masuala ya drugs,,au money trafficking,,au human trafficking unafungwa hata kwa kusikia unaongea na simu,,au wakisikia unauhisiano wowote na madawa.
Ndy kilichoniponza Mimi,,
Tena France wanamkono mrefu mno ktk kusaka wahalifu,,
Wakikutaka wanauwezo wa kukufata ulaya yeyote ulipo na kukukamata,
Na wana uwezo wa kukutega popote unapopita kwa kutumia Interpol police,
Tena France ameweka system ya kiusalama hata ktk makoloni yake Africa,,kwa kifupi wana share informations na makoloni yake.

Yeyote anayesafiri kutokea Africa especially makoloni ya France lazima details zitangulizwe France wakukaguwe hata kabla hujatuwa ardhi yao.

Kwa kifupi hawa jamaa wanapenda sn kesi na kuadhibu watu,, France ni tofauti Sana kwa tabia na wazungu wa mataifa mengine Mfano Norway Sweden,Switzerland,nk.

Pesa ni nyingi,,wapi nimepata kwa mwezi mmoja nililokaa ulaya?
Hilo ndy lililowasumbuwa na kunitia hatiani.

Kabla ya mahojiano wale police waliniuliza una haki ya kuhitaji
- lawyer.
-interpreter.(mkalimani)
Nilisign karatasi za kuletewa lawyer na interpreter..
Baada ya muda kupita alikuja interpreter lakini lawyer hakuwapo.
Nilikataa kutoa maelezo Ila yule interpreter akanambiya kwamba.,,lawyer atakusimamia tu Ila hawezi kuongeza neno sababu umekutwa na pesa na maelezo mazuri huna.
Inaonekana ni suspect wa drugs,,au human trafficking,,au money laundering ,,
pengine hizi pesa ni za haramu.
Kubali maelezo then utapelekwa mahakamani.
Ukibishana sn utawekwa kizuizini muda mrefu.
Ili wachunguze pesa zako na wewe uchunguzwe.

Nilikubali kuhojiwa na police bila uwepo wa lawyer.
police" umetokea wapi na pesa za nani?

Still nikazikataa,,kwamba nimepewa bag ila pesa 35000 sizijuwi..

Nikaweka sign karatasi fulani za maelezo,,
the next day mahakamani...

Nilipelekwa mahakamani ambapo ni kwenye jengo Hilo Hilo la pale police.
Nikawekwa selo tayari kwa kesi yangu.

Kabla ya kesi alikuja dada mmoja mrembo sn.
Mwandende?
Iam Madame Michel,,iam your lawyer.
Tell me everything.

Nikachukuliwa kuingia chumba fulani,nikawa Mimi na lawyer wangu nikamueleza kulikoni.
Nilimpa story ile ya pesa.,bila kumficha nilikwambiya pesa ni zangu.

Akasema France ni kosa kutembea na pesa nyingi zaidi ya euros 10000.

Mbaya zaidi ulizificha kwenye bag kama smugling..

Wewe ni suspect wa drugs..umekutwa na pesa ambazo ni chafu.
This is money laundering,,akasisitiza.
Adhabu yake ni 5 years in prisons na fine 375,000.euros.
Pesa zitataifishwa
Nitajaribu kusaidia..


Itaendelea..

Nyie msiojuwa lolote la ughaibuni endeleeni kushupaza shingo..
 
Hauna Kesi ya kujibu, una declare tu na unasema chanzo; hiyo sio kesi na wala wewe sio suspect
Mkuu wacha kushupaza shingo.ingia Google angalia Sheria za France ktk money trafficking,au smuggling..


Mimi nachukia kuona mtu hata mkanda wa ndege hajawahi kufunga halafu anabishana Mambo ya ulaya.

Money trafficking.
Inahusiana na Money smuggling,,,human trafficking,, terrorist,, money laundering,,drugs,,kwao wao hyo ni crimes.
France unafungwa..

Kumbuka kila inchi na Sheria zake.
Ikiwa south Africa bangi ni halali ,,Kenya mirungi halali lakini Tanzania unafungwa maisha.
 
Chanzo cha pesa ni nini ndo maana siku hizi kuna Nft hizi mtu akitaka kukulipa pesa zenye ugiza giza unaengeneza NFT Unai mint alafu unaiweka market place kwa dau kubwa uyo ambaye mmefanya biashara anainunua mnakua mshamalzana
 
Unajuwa chochote kuhusu money smuggling?
Unazijuwa Sheria za France?
Katika money smuggling?

Shemeji yako alikupa pesa za bandle ingia Google.
Utajuwa hujuwi.

Ungeona passport yangu usingethubutu kusema hayo, pale ambapo umesafiri Mara 2 na kuona wengine Ni hewa; we have traveled the world Dogo, na sio Kwa Kazi au kulipiwa; hapana, mke na watoto every year different country! And we carry cash, but follow the rules! Idiot!
 
EPISODE 4.
Nipo na lawyer wangu Madame Michel.
Ananichukulia maelezo,,baada ya kumpa story nzima.
I Will try to help..but if they find you gulty will be 5 years in prison.
Let's see.
Lawyer akanambiya hakimu akikwambiya tukuhukumu now au later ,,wewe kubali uhukumiwe now,,,
usikubali wakwambiye wakuhukumu siku ingine..
sikujuwa alimaanisha nn,,ila baadae nilimuelewa lawyer vzr.

Baada ya muda akaja dada mmoja ambaye anatoka ktk chama cha Mambo ya haki za binadamu na mambo ya ustawi wa jamii pamoja na haki za wafungwa.

Alinitaka nimpe history ya maisha yangu.
Nilijieleza vzr sn lakini nilidanganya ili niweze kupata huruma zake.
-Nilidanganya mahusiano yangu.
-Nilidanganya idadi ya watoto wangu.
-Nikadanganya na maisha yng kwa ujumla.
Lengo ni kupata huruma za yule dada.
Baada ya kuandika kila ninachomueleza mwishowe nikarudishwa mahabusu kusubiri kesi yangu.

Yapata 09.30 am nilikuja kuchukuliwa na security,,kupelekwa chumba cha mahakama.

Nilikuta watu wengi wakisikiliza kesi za jamaa zao.
Kukiwa na lawyer wangu Michel pamoja na yule interpreter wa siku ile pale police.

Kesi ilianza kwa lugha ya kifaransa huku yule mkalimani akitafsiri kwa kingereza.
Huku lawyer wangu akirusha maneno mawili matatu..

Kesi ilizungumzwa nikaulizwa maswali yale yale niliyoulizwa mara zote.

Pesa za nani.
Unazipeleka wp?
Na kwann ulizificha ndani ya bag ili zisigundulike.

Nikamjibu Mimi sikujuwa kama kuna pesa humo.
Hata wale customs walitumia muda mwingi kugunduwa kama kuna pesa.
Mm sihusiki..

Hakimu wakabishana sn na lawyer wangu.
Mwisho hakimu akasema inaonekana hizi pesa ni zako na umezipata kwa njia sio halali,,pengine unajihusisha na magenge ya uhalifu.either drugs au human trafficking.au any other crimes.
Akaeleza kwamba Sheria za France ukikutwa na pesa zaidi ya euros 10000 cash ambazo huna maelezo nazo mazuri unahesabika kama ni money laundering.

Umekutwa jumla ya euros 36700 bila maelezo.
Na inaonyesha una connection moja au nyingine na drugs dealing.
Lawyer akasema amepewa bag bila kujuwa.
Hakimu hakukubaliana na utetezi wa lawyer.
Sijuwi wale police waliandika nn? Maana kila kitu ni kifaransa kitupu.

Mwishoni hakimu akanambiya tukuhukumu now au tutoe maamuzi baadae.

Nikawajibu toweni maamuzi now.
Akanambiya jitetee,,

Nikamwambiya Nina watoto 4 na mke wng ni mjamzito,,Pia kuna wazee wng wananitegemea.
Pia still pesa sio zangu.

Nikatolewa nje ,,tena kusubiri maamuzi ya judge baada ya nusu saa.

Baada ya nusu saa niliitwa tena chumba cha hakimu,,
nikakuta tayari lawyer wangu ameshika karatasi ya hukumu.

This is your sentence document..they found you guilty,,they gave you 18 months in prison
,,but you will spend 9 months and get explosion to your country..

Hapo ndipo maisha yangu ya de Fleury -- Merogis yalipoanzia.

Itaendelea...
 
Ungeona passport yangu usingethubutu kusema hayo, pale ambapo umesafiri Mara 2 na kuona wengine Ni hewa; we have traveled the world Dogo, na sio Kwa Kazi au kulipiwa; hapana, mke na watoto every year different country! And we carry cash, but follow the rules! Idiot!
Ingia Google uliza sentence for money trafficking., France.
Au shemeji yako hajakupa pesa ya bandle.?

Wewe huna ujuwacho kuhusu safari.
Mimi ni baharia wa inchi kavu na majini.
Nimeshasafiri safari chafu na salama.
Hapo nakwenda jela passport yangu ina viza za ulaya 4
Italy.
Spain.
France..
Na hyo ni passport yangu mpya ya 5.
Nimeshakaa Greece,,Turky. Nk.
India nk.
 
Ingia Google uliza sentence for money trafficking., France.
Au shemeji yako hajakupa pesa ya bandle.?

Wewe huna ujuwacho kuhusu safari.
Mimi ni baharia wa inchi kavu na majini.
Nimeshasafiri safari chafu na salama.
Hapo nakwenda jela passport yangu ina viza za ulaya 4
Italy.
Spain.
France..
Na hyo ni passport yangu mpya ya 5.
Nimeshakaa Greece,,Turky. Nk.
India nk.
lete mwendelezo achana na Ma K
 
Back
Top Bottom