Jephta2003
JF-Expert Member
- Feb 27, 2008
- 6,505
- 6,205
Ukimaliza kifungo chako hela wanakurudishia au wanakudhurumu?
Kitabu chochote cha story huenda kikaanza mwisho halafu kinajielezea kwa ndani story ilivyokuwa.Jela za ulaya ni Royal Tour Hotels, hawakunyang'anyi kitu, ila huyu anasema mwaka mmoja ambao unageuka kuwa mwezi mmoja!
Hizo ni Africa.Wanaweka matakoni au
Umesahau kuwa kila kituo cha ndege kina body scanner, hasa kwa nchi za ulaya huwezi kupita kwa njia hii yako, lazima wakudake.Dawa ni kusimika tu noti za kutosha kwenye marinda nakuvukavnazo border
Wataalam wanadai marinda ya mtu mzima Yana weza kuhifadh kama Dollar elfu hamsini hivi zikisimkwa kwa ustadi.Umesahau kuwa kila kituo cha ndege kina body scanner.
Mkuu huo ni mfumo ambao watu wengi huutumia kusafirisha pesa.Mkuu hizo pesa ungeziweka katika mfumo wa crypto currency...
Kwisha habari ,unatembea na mabilion yamo kwenye trust wallet na hakuna ayejua ...
Sijui nature ya gereza hilo, kama anatupiga sound atajijua mwenyewe.
Kuna watu watabembeleza mwendelezoHii ni true story na sasa sipo jela nipo uraiani nafanya kazi za meli.
Hilo ni tukio limetokea 3 years ago.
Sababu ujuwaji ni mwingi basi story naishia hapa..
Halafu mtu akufanyie dhulma juu ya pesa uliyoivusha kwa taabu namna hiyo kweli?🦏Wataalam wanadai marinda ya mtu mzima Yana weza kuhifadh kama Dollar elfu hamsini hivi zikisimkwa kwa ustadi.
Hizo body scanner haziwezi detect kwasabab ya ile gesi ya Marinda carbon nitrate phosphate ina reaction flan hivi za atoms ambazo zinaproduce anti radioactive.
T14 Armata
Pole kamanda+naona hapo kuna mwamba anapasha push upHapo ni uwanjani( la promenade) hapo ndy watu hukutana na kuzungumza na hata kufanya biashara.
Na hapo ni hatari zaidi kama ukiwa na makundi au snitch.
Kipigo kitakuhusu.
Mergos Fleury.View attachment 2073359View attachment 2073360