Notorious thug
JF-Expert Member
- Dec 29, 2021
- 2,815
- 10,710
Bora wewe umefugwa nje mkuu mimi nimekaa jahanamu mbili kisongo na maweni
Tatzo BTC haipo stable, dakika moja ime rise dakka sfuri imeshuka.Katika swala kama hili, ndio umuhimu wa BTC huonekana.
Kwa ulimwengu wa sasa fedha hutolewa taifa moja kwenda lingine katika mfumo wa BTC
BTC ni kama mfano tu, lakini kwenye swala la ku_transfer fedha zipo crypto zilizo stable zaidi.dakika moja ime rise dakka sfuri imeshuka.
nitarudi kusomaNina mwezi mmoja tangu nifungwe gerezani miezi 18.
Bado natafakari jinsi gani nitaijulisha family yangu kwa yaliyonikuta.
Nilitokea Swiss kupitia France .
Nilipanda Swiss air to Charles degal airport Paris France.
Nilikamatwa kwa Money trafficking na kufungwa miezi 18 jela..
Nilikuwa na euros 35000,,
Ilikuwa j mosi tulivu,,nilipotua airport Charles degal sikuona shida yeyote wala usumbufu wowote kutoka kwa askari wale.
Kumbe bila kujuwa wana taarifa zangu ambazo walishatumiwa kutoka Zurich airport na askari wa uwanjani pale.
Nilikuja kugunduwa hilo baadae.
Nilikuwa na pesa kwenye bag langu ziliwekwa kwa ustadi mkubwa Sana,
Sio rahisi kugundulika kwa haraka,
nilishangaa niliposhikwa bega kwa kuitwa majina yangu yote kamili na huku wale customs wana picha ya passport yng .
Waliniweka kwenye chumba maalum,
Wakanihoji na kuanzia kunipekuwa mwilini hata kwnye mabag yangu.
Hawa jamaa wapo advance sn ktk kupekuwa,,
Wakikutaka hawakukosi.,
Walianza kunihoji nafata nn Paris,,nikawaambiya mm napita njia nakwenda zangu nyumbani.. Africa.
Still hawakukubaliana na Mimi.
Itaendelea..
Kasema ana mwezi mmoja sio mwakaAna mwaka mmoja so bado miezi6 so anaandika akiwa ndani ila familia hajaijulisha tunaanza sisi JF
Waambie hao tatzo wengi wanawaza cryptocurrency ni utapeli. Hzo pesa angeweza kuziweka sio BTC tu, angeweka kwny stable coin km USDT, BUSD, USDCoinBTC ni kama mfano tu, lakini kwenye swala la ku_transfer fedha zipo crypto zilizo stable zaidi.
Kumbuka lengo ni kuhamisha toka taifa moja kwenda taifa jingine kiusalama na sio kuhifadhi kwa muda mrefu.
so ana sim gerezani?Kasema ana mwezi mmoja sio mwaka
Wanaweka matakoni aumbona hata jela zetu hapa watu wana simu think ouside the box simu zinaingizwa kwa ujanja ujanja wanaita smuggled in
Sijui nature ya gereza hilo, kama anatupiga sound atajijua mwenyewe.so ana sim gerezani?
Mkuu kwa ulaya ukituma pesa nyingi bila maelezo yeyote wanai block .Tatzo BTC haipo stable, dakika moja ime rise dakka sfuri imeshuka.
Alafu pia ili kuweka pesa kwny wallet yako ya BTC ni lazma uwe na bank account then you transfer money from bank to ur BTC wallet,,,,sasa huyu angewezaje kufungua account bank kwny nchi ya watu? (I assumed he had no Id for the particular country)
Usishupaze shingo Kama kitu hukijuwi.Hapa tumepigwa!!
Jera na smartphone?
Hii ni true story na sasa sipo jela nipo uraiani nafanya kazi za meli.Ikiwa stori zako ni kweli, wewe jamaa usipoangalia na kubadili mfumo wa maisha utafia jela tena nchi za watu.
Uwape kazi ubalozi ya kukusafirisha.
Jela za ulaya ni Royal Tour Hotels, hawakunyang'anyi kitu, ila huyu anasema mwaka mmoja ambao unageuka kuwa mwezi mmoja!so hii ni story au huko wenzetu wanafungwa na simu zao?
Kisongo-Arusha, Maweni-Tanga. We jamaa uko na shida sio bureBora wewe umefugwa nje mkuu mimi nimekaa jahanamu mbili kisongo na maweni