Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,421
- 2,271
Hakuna kitu kama hicho... utapatiwa account na pesa utaipata kwa kufanya kazi(mshahara) na ukikaa bila kufanya kazi utalipwa vilevile ila ni kiwango kidogo sana!Mkuu nipe connection nikafungwe uko France na Mimi nipigie izo euro 100 kwa mwezi ..mwaka tu narud bongo na mtsji wa kutosha
Njia nyingine ni kuhamisha pesa yako toka kwenye account yako kwenda account ya jela, ili uweze kuitumia kwenye maduka hapo jela.....