Mwaka mmoja CCM kwisha

Mwaka mmoja CCM kwisha

Wana jamvi heri ya X-MASS,huku tukiwa tunasherehekea mwaka mmoja wa serikali mpya madarakani hali ya ccm inazidi kudhoofu na huku ikikizidi kupoteza mvuto na wafuasi wengi na upinzani ukizidi kujiimarisha kisayansi zaidi.nawashauri wana ccm wana endelea kuugulia maumivu tumboni wahamie upinzani tu kwani kuhama chama hutakiwi kumuaga mjumbe wa nyumba kumi wala haubebi masanduku
Tatizo wana mtandao mnadhani ndiyo wananchi walivyo mtaona chaguzi ndogo mtakavyolia. Ishara tosha 2020
 
4ee3dbd942a5acb6ffcf9e5062e18ddc.jpg
 
Ccm alikufa nayo baba wa taifa
Anayekutawala sasa na kukusomesha namba ni nani? Mwaka 2020 siyo mbali. Anzeni mikakati lakini hii ya kujifariji mitandaoni eti CCM ilishakufa 2020 itafika na mtapigwa tena; na mtaendelea kulalamika mitandaoni miaka na miaka. Mnakera!!!
 
Anayekutawala sasa na kukusomesha namba ni nani? Mwaka 2020 siyo mbali. Anzeni mikakati lakini hii ya kujifariji mitandaoni eti CCM ilishakufa 2020 itafika na mtapigwa tena; na mtaendelea kulalamika mitandaoni miaka na miaka. Mnakera!!!
Mnao kera ni nyinyi madebe
 
Toka 95 ilishashindwa.... Tume ya uchaguzi huru ndio mkombozi... Mambo ya ukuta kuchelewesha muda
 
Back
Top Bottom