Endelea kujipa moyoKati ya mbinu za ushindi 1000 ilizonazo CCM ni mbinu 1 tu iliyotumika tokea 1995.Kwa hiyo jipe jawabu mwenyewe.
Endelea kujipa moyoKati ya mbinu za ushindi 1000 ilizonazo CCM ni mbinu 1 tu iliyotumika tokea 1995.Kwa hiyo jipe jawabu mwenyewe.
Piga kiroba kingine ili uendelee kuleta burudani humu.Hujitambui
Je umewahi kufanya utafiti kwa watu wangapi?Watanzania walio wengi wana sema ccm ni jehanamu
.....wembe ni ule ule...upinzani lazima wanyooke!
Kuna mtu kapigwa kariakoo kwa kutamka neno la kizamani la " HAPA KAZI TU "Huu ni utafiti ?
......Ccm chama imara tunajiimalisha kimfumo , kiutendaji,na kiuwajibikaji tujipanga na hatuteteleki , nhi hii sijaona kilichokomaa kubeba madaraka ya nhi zaid ya ccm kama hutaki we ni mubishi tu
Huu utafiti mbona hukupita kwangu au vijijini hauji kufanya utafitiMamilioni ya watanzania
kwanini unasema x mass?Hiyo x ndiyo inakaa badala ya Christ? usitumie X kwa sababu huo ni mpango wa ibilisi kumfuta Bwana YesuWana jamvi heri ya X-MASS,huku tukiwa tunasherehekea mwaka mmoja wa serikali mpya madarakani hali ya ccm inazidi kudhoofu na huku ikikizidi kupoteza mvuto na wafuasi wengi na upinzani ukizidi kujiimarisha kisayansi zaidi.nawashauri wana ccm wana endelea kuugulia maumivu tumboni wahamie upinzani tu kwani kuhama chama hutakiwi kumuaga mjumbe wa nyumba kumi wala haubebi masanduku
Nazani walio mpiga wametimiza usemi wa mh pindaKuna mtu kapigwa kariakoo kwa kutamka neno la kizamani la " HAPA KAZI TU "
Ndoto za kipuuzi!!wanataka kukimbia na hawana break? what do they expect kama sio kupigwa kipigo kitakatifu 2020! we will be singing the new victory song called complty independence hureeeeee TANZANIA hureeee CHADEMA hureeeee LOWASA
Kwani Lowassa ndio Mgombea wa CDM tayari? Ikulu mtaisikia tu kama yeye ndiye Mgombea! CCM haiwezi kuondolewa na makapi yake hata siku moja na mazingira ya 2015 hayatakuwa sawa na 2020!wanataka kukimbia na hawana break? what do they expect kama sio kupigwa kipigo kitakatifu 2020! we will be singing the new victory song called complty independence hureeeeee TANZANIA hureeee CHADEMA hureeeee LOWASA