CCM ni CCM na Upinzani ni upinzani lakini maisha ya kipato cha wananchi wa chini yamezidi kuwa magumu tunaosafiri mikoani tunayaona mliopo dar hasa Lumumba hamwezi yaona.Ugumu wa maisha ndio picha halisi ya chama kupendwa au kutopendwa tutaijua mbeleni.Inaonekana wapinnzani wamechanganyikiwa vibaya hata wanaloongea halieweki.Hivi mwenye akili anaweza kulinganisha upinzani na CCM
Mkuu hiyo haipo mbali ili mradi ccm waamini bila kutumia mabavuCCM ni CCM na Upinzani ni upinzani lakini maisha ya kipato cha wananchi wa chini yamezidi kuwa magumu tunaosafiri mikoani tunayaona mliopo dar hasa Lumumba hamwezi yaona.Ugumu wa maisha ndio picha halisi ya chama kupendwa au kutopendwa tutaijua mbeleni.
Kweli...Siku ikifika mtaikabidhi tu
......Lhushindo lokwe lutale na halina akili na l.o.f.a lile!
Kwa goli la mkono aututawachapa kwenye uchaguzi mdogo,halafu tuwanyooshe 2019 na 2020 tuwazike kabisa!
sie vitendo tu,blah blah tumewaachia nyie!