Hapana, upinzani sio wazembe ila ccm kila kukicha inahakikisha kila aliyeko kwenye system kwa % nyingi kama sio zote anakua upande wao, na hata kama hawana mtu mwenye mvuto wanamtaji ambao wapinzani hawana,( majeshi yote ya ulinzi, wafanyakazi %kubwa, wafanyabiashara % kubwa wako upande wa ccm bila kupenda ndo maana tunasema ni kazi ngumu sana kuwaondoa madarakani.Siyo kwa uzembe huu wa Upinzani wa Tanzania!! Labda 2055
Shibe ya xmas imekulevya aisee, pole sanaWana jamvi heri ya X-MASS,huku tukiwa tunasherehekea mwaka mmoja wa serikali mpya madarakani hali ya ccm inazidi kudhoofu na huku ikikizidi kupoteza mvuto na wafuasi wengi na upinzani ukizidi kujiimarisha kisayansi zaidi.nawashauri wana ccm wana endelea kuugulia maumivu tumboni wahamie upinzani tu kwani kuhama chama hutakiwi kumuaga mjumbe wa nyumba kumi wala haubebi masanduku
Mbowe ni zaidi ya wabunge 100 wa ccmJuhudi za mheshimiwa mbowe zinaonekana waziwazi.
Maeneo yote ya Machame, Masama, Kibohehe roo yanapitikia vizuri mno kutokana na juhudi za mbunge Mh. Mbowe
View attachment 450786
View attachment 450787
View attachment 450788
Ccm yenyewe ni chama cha upinzaniHakuna mtu wa kuhama sasa hivi, ahame aende wapi? kuna chama tena cha upinzani.
Umeongea ukweli mtupu juu ya makundi ya wapiga kura lkn kwa sasa wafanyakazi,wakulima walio wengi ni adui no wa ccmHapana, upinzani sio wazembe ila ccm kila kukicha inahakikisha kila aliyeko kwenye system kwa % nyingi kama sio zote anakua upande wao, na hata kama hawana mtu mwenye mvuto wanamtaji ambao wapinzani hawana,( majeshi yote ya ulinzi, wafanyakazi %kubwa, wafanyabiashara % kubwa wako upande wa ccm bila kupenda ndo maana tunasema ni kazi ngumu sana kuwaondoa madarakani.
labda wapinzani wabuni njia mbadala sio hii ya kupitia kura
Umeongea ukweli mtupu juu ya makundi ya wapiga kura lkn kwa sasa wafanyakazi,wakulima walio wengi ni adui no wa ccmHapana, upinzani sio wazembe ila ccm kila kukicha inahakikisha kila aliyeko kwenye system kwa % nyingi kama sio zote anakua upande wao, na hata kama hawana mtu mwenye mvuto wanamtaji ambao wapinzani hawana,( majeshi yote ya ulinzi, wafanyakazi %kubwa, wafanyabiashara % kubwa wako upande wa ccm bila kupenda ndo maana tunasema ni kazi ngumu sana kuwaondoa madarakani.
labda wapinzani wabuni njia mbadala sio hii ya kupitia kura
Basi kaa kimya wanaume wafanye kazi l.o.f.a we!Hakuna kuhama
Nchi yetu sote
Ona ulivyo f.a.l.a sasa debe la mahindi linahusianaje na CCM?! L.o.f.a!.......
.......Nabado debe la mahindi halishikiki
Mkuu kwema? Tangu enzi za uchaguzi hujapunguza spidi. Kweli wewe ni kamanda! Wakati ule wa uchaguzi 2015 tulikuwa na mihemko ya ajabu na kama niliwahi kukutukana nisamehe mkuu. Sasa niko tofauti kidogo kifikra, kimtazamo na hata kiimani. Kutofautiana ni jambo la kawaida na tunaweza kuhitilafiana kiitikadi lakini bado tukasemeshana na kuhojiana kwa heshima bila kutukanana. Nakutakia Mwaka mpya (2017) wenye heri kwako pamoja na wapendwa wako.Na muungwana huwa hatukani licha ya hiyo sheria ya makosa ya mtandao
Lhushindo lokwe lutale na halina akili na l.o.f.a lile!....
......acha ukabila chini ya kiwango J4 nyanoko sana onyelilee ...Mkuu jifunze sikutegemea
Mkuu salute sana maana siasa ni sehemu ya maisha nawe nakutakia kila la kheri kwenye mwaka unaokuja wa 2017Mkuu kwema? Tangu enzi za uchaguzi hujapunguza spidi. Kweli wewe ni kamanda! Wakati ule wa uchaguzi 2015 tulikuwa na mihemko ya ajabu na kama niliwahi kukutukana nisamehe mkuu. Sasa niko tofauti kidogo kifikra, kimtazamo na hata kiimani. Kutofautiana ni jambo la kawaida na tunaweza kuhitilafiana kiitikadi lakini bado tukasemeshana na kuhojiana kwa heshima bila kutukanana. Nakutakia Mwaka mpya (2017) wenye heri kwako pamoja na wapendwa wako.
CCM ndo chama baba usipolipenda kufa l.o.f.a!So what