Mh angekuwepo msomi najua Tanzania isingekuwa hivi ilivyoYupo msomi mmoja wa lumumba
Basi kwa mbalii naona Giza nene maana utafiti wenu ni hewaHuo ndiyo usomi
Kweli nimegundua kuwa wewe in mtu wa dharura kwenye maisha ya watanzania na sio mkomboziJambo la msingi hapa ni kifo cha ccmView attachment 450653
Hapo ndo nimekwelewaUtajaza mwenyewe
Me nataka nimuulize M.a.M yako ila aje kinyume nyumeMuulize m.a.m. yako
Mnao kera ni nyinyi madebe
blah blah blah staki kusikiaKwani Lowassa ndio Mgombea wa CDM tayari? Ikulu mtaisikia tu kama yeye ndiye Mgombea! CCM haiwezi kuondolewa na makapi yake hata siku moja na mazingira ya 2015 hayatakuwa sawa na 2020!
kwani inaitwaga christ mass au chris mass?kwanini unasema x mass?Hiyo x ndiyo inakaa badala ya Christ? usitumie X kwa sababu huo ni mpango wa ibilisi kumfuta Bwana Yesu