Akili ile ile ya zidumu fikra sahihi za Mwenyekiti wa KUDUMU wa CHADEMAAkili ile ile ya zidumu fikra sahihi za Mwenyekiti
poor you,unaanzaje ku judge kitu pasipo kukipa nafasi......hata JPM kila mtu alijua atakuwa presidaa wa ukweli mwisho wa siku hata Mwaka hajamaliza amisha fanya madudu ya kutosha-walio sema usijaji kitabu kwa muonekano wa nje hawakuwa wajingaTatizo ni kwamba hakuna chama mbadala. Ikiondoka CCM chama gani kitatawala? Kutakuwa na ombwe la uongozi na nchi itaingia katika misukosuko. Watanzania siyo wajinga. Wakiona chama mbadala bila shaka watakipa madaraka mara moja. Tuweni na subira!
Ukilinganisha upinzani na ccm utakuwa unatenda madhambi makubwa sana kwani wapinzani hapa Tanzania ndio tegemeo la mamilioni ya watanzania na ccm inawakumbatia kundi dogo la mafisadiInaonekana wapinnzani wamechanganyikiwa vibaya hata wanaloongea halieweki.Hivi mwenye akili anaweza kulinganisha upinzani na CCM
Wapinzani wanapaswa kujiimalisha kisiasa sio kisayansi.Wana jamvi heri ya X-MASS,huku tukiwa tunasherehekea mwaka mmoja wa serikali mpya madarakani hali ya ccm inazidi kudhoofu na huku ikikizidi kupoteza mvuto na wafuasi wengi na upinzani ukizidi kujiimarisha kisayansi zaidi.nawashauri wana ccm wana endelea kuugulia maumivu tumboni wahamie upinzani tu kwani kuhama chama hutakiwi kumuaga mjumbe wa nyumba kumi wala haubebi masanduku
poor you,unaanzaje ku judge kitu pasipo kukipa nafasi......hata JPM kila mtu alijua atakuwa presidaa wa ukweli mwisho wa siku hata Mwaka hajamaliza amisha fanya madudu ya kutosha-walio sema usijaji kitabu kwa muonekano wa nje hawakuwa wajinga
CCM KWISHA , CHADEMA OUT AND KUOZAAAAWana jamvi heri ya X-MASS,huku tukiwa tunasherehekea mwaka mmoja wa serikali mpya madarakani hali ya ccm inazidi kudhoofu na huku ikikizidi kupoteza mvuto na wafuasi wengi na upinzani ukizidi kujiimarisha kisayansi zaidi.nawashauri wana ccm wana endelea kuugulia maumivu tumboni wahamie upinzani tu kwani kuhama chama hutakiwi kumuaga mjumbe wa nyumba kumi wala haubebi masanduku
Je we unasifia kuimalika kwa ukawa kwa maslahi ya nan?Lumumba wao kila kitu ni kusifia tu
Ulishiba pilau la sikukuu kwa jirani na ukalala usingizi ndio ukaota ndoto baada ya hapo unatuletea uharo hapa.Wana jamvi heri ya X-MASS,huku tukiwa tunasherehekea mwaka mmoja wa serikali mpya madarakani hali ya ccm inazidi kudhoofu na huku ikikizidi kupoteza mvuto na wafuasi wengi na upinzani ukizidi kujiimarisha kisayansi zaidi.nawashauri wana ccm wana endelea kuugulia maumivu tumboni wahamie upinzani tu kwani kuhama chama hutakiwi kumuaga mjumbe wa nyumba kumi wala haubebi masanduku