Unataka tuanze kutukanana Kisukuma hapa tena kwa ajili ya katuni ya mwanasiasa? Bahati nzuri sana nimeshaachana na ujinga/utoto huu wa kuporomosha matusi mtandaoni tena kwa watu nisiowajua. Hakuna faida wala haja ya kufanya hivyo na kuwa mtu mwema na mwenye subira zaidi ni mojawapo ya resolutions zangu za mwaka mpya (2017). We umetukana tena matusi mazito basi fanya sherehe au kama uko mahali accessible kamata sprite moja baridi nakuja kulipa



...Na ukumbuke kwamba sasa kuna sheria ya makosa ya mtandao. Mtu akikukomalia unaweza kujikuta unatema milioni saba hivi hivi. Wabeja!