Samia atosha tukutane2030
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 17,169
- 48,681
Sababu nambari 1 kwanini nimeamua kuwa upande wa Samia hata kama ana ubaya ni Watanzania kumwabudu Jiwe. Jiwe mtu mwovu sana .
Yote kwa yote katika kipindi cha utawala wake wananchi waliishi maisha magumu mno ila wananchi wenyewe wapo kama kuku, dk mbili mbele wameshasahau..
Sababu ya pili kwanini nimeamua kuwa upande wa Samia ni pale Watanzania na wapinzani kumwona Polepole ni shujaa huku huyo Polepole ni muhuni kabisa, fisadi mkubwa, Mzee wa fursa. Yaani huyu Polepole huyuhuyu aliyeweza kununua nyumba ya bilion na ushehe kwa mshahara wa laki 8 leo hii awe shujaa.
Polepole ndiye muasisi wa uvunjaji wa kanuni na Sheria za CCM kwa manufaa ya Jiwe na yeye mwenyewe leo analalamika kuwa utamaduni wa CCM umepindishwa .
Mtu mwenye interest ya siasa hawezi kukaa katikati , lazima akae upande mmoja. Siwezi kukaa idle, nimetoka upande wa wapinzani wasio na sera, wazee wa kufuata mkumbo.
Niko na Rais Samia mpaka pale wapinzani watakapokuwa na akili timamu.
Yote kwa yote katika kipindi cha utawala wake wananchi waliishi maisha magumu mno ila wananchi wenyewe wapo kama kuku, dk mbili mbele wameshasahau..
Sababu ya pili kwanini nimeamua kuwa upande wa Samia ni pale Watanzania na wapinzani kumwona Polepole ni shujaa huku huyo Polepole ni muhuni kabisa, fisadi mkubwa, Mzee wa fursa. Yaani huyu Polepole huyuhuyu aliyeweza kununua nyumba ya bilion na ushehe kwa mshahara wa laki 8 leo hii awe shujaa.
Polepole ndiye muasisi wa uvunjaji wa kanuni na Sheria za CCM kwa manufaa ya Jiwe na yeye mwenyewe leo analalamika kuwa utamaduni wa CCM umepindishwa .
Mtu mwenye interest ya siasa hawezi kukaa katikati , lazima akae upande mmoja. Siwezi kukaa idle, nimetoka upande wa wapinzani wasio na sera, wazee wa kufuata mkumbo.
Niko na Rais Samia mpaka pale wapinzani watakapokuwa na akili timamu.