Mungu nisifikie kukata tamaa

Mungu nisifikie kukata tamaa

Mi nakupa hongera sababu una assets ndani TV,sofa n.k.
Dogo malezi nayo uliyokulia yanakuharibu coz nikikuambia husle tulizopitia sisi watoto wa familia za kipato cha chini utapagawa.
Cha kufanya cheza na hesabu kimoja kife kiokoe vingine,hifadhi kwa mfanyakazi mwenzio,rudi hom kajipange au anzisha mishe nyingine mjini.
Watu wako tight mi naona ww sawa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mbeya hom iringa

Sent using Jamii Forums mobile app
Please nitumie namba yako PM
Usikate tamaa..
Mimi niliachishwa kazi ghafla na nilikuwa na deni benki marejesho 159.500 kwa mwezi, nililima matikiti eka moja yakaoza yote shambani (vyote hv vilitokea kwa wakati mmoja) hapo naishi nyumba ya kupanga kuna kulipa kodi na umeme na maji....kilikuwa kipindi kigumu mno katika maisha yangu lkn sikukata tamaa.
Nilipambana hivyo hvyo wakati mwingine nakosa hela ya kula nakula kwa baba mwenye nyumba. Sikutafuta ndg wala kuenda nyumbani ( wazazi wangu walishafariki so sina nyumbani) Lakini nilivuka. Nilikuwa namchotea mchanga mama mmoja jirani, alikuwa anajenga ndo alikuwa ananipa hela kidogo napeleka benki mpaka deni likaisha
You are the fighter and you will make it through, mark my words
 
never give up mkuu,kuna watu tunapitia mapito na nyakati ngumu mkuu mbona wewe una nafuu,
shukuru hata unapa kukimbilia(wazazi) wengine hatuna,tunapambana na kumlilia Mungu na kwa wakati wake atajibu
Dogo kanikunbusha mbali sana, nilikutwa na iyo hali na sina wazazi na kwa ndugu mimi ndie kaka ilikuwa hatari sana ilibidi niuze vyombo vyote vya ndani nikatafuta chumba cha bei poa zaidi na nikaanza upya. Kwy dg usirudi nyumbani pambana vyovyote mpaka ushinde iyo hal

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dogo kanikunbusha mbali sana, nilikutwa na iyo hali na sina wazazi na kwa ndugu mimi ndie kaka ilikuwa hatari sana ilibidi niuze vyombo vyote vya ndani nikatafuta chumba cha bei poa zaidi na nikaanza upya. Kwy dg usirudi nyumbani pambana vyovyote mpaka ushinde iyo hal

Sent using Jamii Forums mobile app
hongera kwa kupambn bila kukata tamaa
 
Pole mkuu... Usiuzunike..Kuna mdau humu aliandika ivi

Ana miaka zaidi ya 30, ana shahada, lkn haoni hatima yake.


Wee unamiaka 24 mkuu kweli unajilaum kiasi iki??.


Wakuu, mshaurin kijana huyu, mkitilia maanani umri wake, wengi wa umri huuu huwa wanaishia kujiua sababu tu Mawazo yao bado yanaendeshwa na Miili nakile wanachokiona.

Si mshaurin kwa Userious wa kiwango cha juu nasio kdhihaki ... Kwa 24 yake, kile mnachomshaur hapa. Ndicho atakachokifanya.

'A bad peace is better than a good quarrel '
 
Rudisha mpira kwa kipa, nakumbuka kipindi hiki kilinikuta nilimpoteza mchumba wangu hivihivi nikarudi home wazazi wakanitia nguvu nikarudi town tena kupanga mashambulizi huwa ni nyakati za mpito tu kuna neema yaja mbele usikate tamaa.Kuna wimbo wa Psquare (jina siukumbuki) ulikuwa unanifariji sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ameimba na jamaa mzungu, ule wimbo unanifarijigi sana

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Wewe ungekaa dar ungeolewa nakwambia

Huku chumba 50000 , umeme 10000-20000 kwa mwezi, bado watu wataka na ulinzi shirikishi kila mwez wanapita lazima ikutoke 5000,

Yaani huko mikoani chumba mnalipa 25000 , umeme 5000 unalialia ,dah

Mwana hebu piga kazi acha kulialia ,Mimi home iringa, watu wa iringa ni wapambanaji,

Huku dar chumba unalipa 50000 na wanataka kwa miez 6,

Yaan mm nikirud kuishi mkoa ,kwa chumba cha 25k, nalipa mwaka, halafu napambana kwa maendeleo maana nitasahau kama nadaiwa kodi,

Huku dar ukilipa kodi, hujakaa sawa unakuta mkataba umeisha, lakin watu tunakomaa na tuna umri rika lako ,




'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
kodi ni 180000

nusu ni 9000


sina hata 5000 ya umeme kaka


matatizo mengine hadi raha coz naona kabisa kichwa kinachemka

Sent using Jamii Forums mobile app
Ungekuwa dar ungeolewa nakwambia

Huku ukilipa kod inabid akili ianze kuandaa kodi ijayo

Usisubir mpaka uje utupiwe vyombo nje

'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
 
Hiki kipindi napitia maisha magumu sana

Nimefukuzwa kazi

Nadaiwa kodi ya miezi mitatu

A 5000 ya umeme

Sina hela

Ndani nina unga tu mboga na hata mchele sina

Nipo mikoa ya mbali na nyumbani

Nimejifungia ndani nashindwa kutoka coz mama mwenye nyumba ni kivuruge na ananidai 5000

Nina mpenzi ambaye anajitahidi kufahamu kipindi ninachopitia ila bado hapati jibu coz i act as if sina matatizo

Nina siku mbili sijala kwa ridhaa yangu yaani nakula kwa kuibia

Natamani kurudi home nauli sina na naona ni udhaifu mkubwa kurudi kukaa na mama na am 24yrs old

Akili inachoka nahisi kuanguka

EEE MUNGU PAMOJA NA MAPITO HAYA NISIFIKIE KUKATA TAMAA

HAYA NI MADOGO KULINGANISHA NA WENZANGU

NISITAMANI KUJIUA

KWA AKILI YA KIBINADAMU UWEZO UNANISHINDA

NAKUOMBA MUNGU UTIMIZE HAJA ZA MOYO WANGUView attachment 1062423
Duuh! Pole mkuu mimi nimepitia ila sijawahi rudi nyuma..!
%E2%80%AA%2B255%20784%20321%20716%E2%80%AC%2020171220_182704.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki kipindi napitia maisha magumu sana

Nimefukuzwa kazi

Nadaiwa kodi ya miezi mitatu

A 5000 ya umeme

Sina hela

Ndani nina unga tu mboga na hata mchele sina

Nipo mikoa ya mbali na nyumbani

Nimejifungia ndani nashindwa kutoka coz mama mwenye nyumba ni kivuruge na ananidai 5000

Nina mpenzi ambaye anajitahidi kufahamu kipindi ninachopitia ila bado hapati jibu coz i act as if sina matatizo

Nina siku mbili sijala kwa ridhaa yangu yaani nakula kwa kuibia

Natamani kurudi home nauli sina na naona ni udhaifu mkubwa kurudi kukaa na mama na am 24yrs old

Akili inachoka nahisi kuanguka

EEE MUNGU PAMOJA NA MAPITO HAYA NISIFIKIE KUKATA TAMAA

HAYA NI MADOGO KULINGANISHA NA WENZANGU

NISITAMANI KUJIUA

KWA AKILI YA KIBINADAMU UWEZO UNANISHINDA

NAKUOMBA MUNGU UTIMIZE HAJA ZA MOYO WANGUView attachment 1062423
Kama upo mbeya nitafute bwana mdogo upate japo bando ni pm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rudisha mpira kwa kipa, nakumbuka kipindi hiki kilinikuta nilimpoteza mchumba wangu hivihivi nikarudi home wazazi wakanitia nguvu nikarudi town tena kupanga mashambulizi huwa ni nyakati za mpito tu kuna neema yaja mbele usikate tamaa.Kuna wimbo wa Psquare (jina siukumbuki) ulikuwa unanifariji sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bring it on.
 
Hiki kipindi napitia maisha magumu sana

Nimefukuzwa kazi

Nadaiwa kodi ya miezi mitatu

A 5000 ya umeme

Sina hela

Ndani nina unga tu mboga na hata mchele sina

Nipo mikoa ya mbali na nyumbani

Nimejifungia ndani nashindwa kutoka coz mama mwenye nyumba ni kivuruge na ananidai 5000

Nina mpenzi ambaye anajitahidi kufahamu kipindi ninachopitia ila bado hapati jibu coz i act as if sina matatizo

Nina siku mbili sijala kwa ridhaa yangu yaani nakula kwa kuibia

Natamani kurudi home nauli sina na naona ni udhaifu mkubwa kurudi kukaa na mama na am 24yrs old

Akili inachoka nahisi kuanguka

EEE MUNGU PAMOJA NA MAPITO HAYA NISIFIKIE KUKATA TAMAA

HAYA NI MADOGO KULINGANISHA NA WENZANGU

NISITAMANI KUJIUA

KWA AKILI YA KIBINADAMU UWEZO UNANISHINDA

NAKUOMBA MUNGU UTIMIZE HAJA ZA MOYO WANGUView attachment 1062423
matukio sawa ila wahusika tofauti,,,, miaka 2 baada ya kumaliza chuo nilikuwa kwenye hali hiyo na mawazo kama yako Thanks Almighty God leo kinaeleweka ninachofanya
Usikate tamaa brother,, usikate tamaa brother ni dhambi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usijifungie ndani, fursa hazikufuati inabidi uzifuate. Huo ndio wakati haupaswi kuchagua cha kufanya.
Mtembea bure si sawa na mkaa bure.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom