Mungu nisifikie kukata tamaa

Mungu nisifikie kukata tamaa

Hiki kipindi napitia maisha magumu sana

Nimefukuzwa kazi

Nadaiwa kodi ya miezi mitatu

A 5000 ya umeme

Sina hela

Ndani nina unga tu mboga na hata mchele sina

Nipo mikoa ya mbali na nyumbani

Nimejifungia ndani nashindwa kutoka coz mama mwenye nyumba ni kivuruge na ananidai 5000

Nina mpenzi ambaye anajitahidi kufahamu kipindi ninachopitia ila bado hapati jibu coz i act as if sina matatizo

Nina siku mbili sijala kwa ridhaa yangu yaani nakula kwa kuibia

Natamani kurudi home nauli sina na naona ni udhaifu mkubwa kurudi kukaa na mama na am 24yrs old

Akili inachoka nahisi kuanguka

EEE MUNGU PAMOJA NA MAPITO HAYA NISIFIKIE KUKATA TAMAA

HAYA NI MADOGO KULINGANISHA NA WENZANGU

NISITAMANI KUJIUA

KWA AKILI YA KIBINADAMU UWEZO UNANISHINDA

NAKUOMBA MUNGU UTIMIZE HAJA ZA MOYO WANGUView attachment 1062423
Duh, uskate tamaa, wengi wanapitia magumu zaidi ya yKo
 
Wewe ungekaa dar ungeolewa nakwambia

Huku chumba 50000 , umeme 10000-20000 kwa mwezi, bado watu wataka na ulinzi shirikishi kila mwez wanapita lazima ikutoke 5000,

Yaani huko mikoani chumba mnalipa 25000 , umeme 5000 unalialia ,dah

Mwana hebu piga kazi acha kulialia ,Mimi home iringa, watu wa iringa ni wapambanaji,

Huku dar chumba unalipa 50000 na wanataka kwa miez 6,

Yaan mm nikirud kuishi mkoa ,kwa chumba cha 25k, nalipa mwaka, halafu napambana kwa maendeleo maana nitasahau kama nadaiwa kodi,

Huku dar ukilipa kodi, hujakaa sawa unakuta mkataba umeisha, lakin watu tunakomaa na tuna umri rika lako ,




'When you’ve been an Arsenal fan as a kid, you will be one your whole life in some way.” David Alaba
mkuu mi chumba 60000 umeme 10000 ko ni yale yale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si bora we 24yrs mi may natimiza 26 na tokea Feb niliamua kurudisha majeshi nyumbani japo sikupenda kbsa,,, now najipanga kurudi mchezoni upya June the bad thing naonekana nna hela kumbe holaaa.....

The good thing Mungu yupo tumtangulize yeye sikia hii hivi majuzi saa kumi alfajiri niliamka nikaanza kuandika mipango yangu ya muda mfupi na mrefu baadae ya kumaliza kuandika vzr nikajisemea sasa nisome neno la uzima kufungua biblia paap macho yanatua mithali 16:1- kulitafakari hilo fungu na la pili na la tatu nikagundua kuna hana ya kuomba kwanza idhini maana huwa tunapanga tu kama kesho tunaijua,,, kikubwa tumuweke Mungu kwanza mengine atayafanya kwa ajili yetu
 
Mimi sikushauri kurudi nyumbani...hapo hapo kwenye ugumu ndio yalipojificha mafanikio, ni dhahiri unaona aibu kufanya baadhi ya kazi kwa kuhofia watu watakuonaje, huwezi kuitwa mshindi Kama hujashindana. Kushindana ni Nini? Ni hizo changamoto unazopitia kubali kuzishinda. Ukiweza kupita hapo wewe ni shujaa. Jitahidi kumuahidi hata kama unampango wa kupata hela hv karibuni, ila pambana na umuombe sana Mungu hakika utaona njia, maana Mungu hawezi kukusaidia ukiwa umelala kitandani. Hata mimi ninaekushauri hapo nimewahi pitia hayo...Tena zaidi ila sikukata tamaa na steal bado changamoto zipo, ila nakomaa kiume. Toka katafute kibarua chochote ufanye Mungu atakuangazia nuru...amini hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
tafuta partiner wa kushare nae kodi ya geto,na kwa vile sasa uko vibaya yeye ndo afoot the bill,kwa maana kuna watu wanatafuta vyumba,mtu ambae mnaweza kushare,
 
... Nakumbuka na mm niliwahi kupitia hali kama yako, nilikuwa nakunywa uji tu then nalala, siku nzima hauli kitu.

... Ikitokea umekula ni kutokana na kugongea kwa mtu, inafika kipindi unachokwa kabisa.

... Maisha ni safari ndefu, mno, Imani yako iweke thabiti mbele za Mungu.

... UNGEKUWA UPO DAR NINGEKUAMBIA UTAFUTE NAULI UENDE MUHIMBILI AU AMANA HOSPITAL, HAKIKA UNGERUDI HAPA NA KUMSHKURU MUNGU.

... WAPO WATU WANATAMANI MNO HIYO AFYA YAKO NA UZIMA ULIONAO.

... Tumshkuru Mungu kwa kila jambo.

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
 
Hapa hakuna lolote, ila ninaamini masikitiko yako ni kwamba unaogopa kumpoteza huyo mwanamke wako wa chuo.

Fahamu kwamba ALIKUPENDA KWA SABABU ULIKUW NA UWEZO WA KUPROVIDE KILA KITU KWAKE, na sasa usifikiri anakupenda kama zamani, na hata bando amekutumia tu ili usione kwamba anakutenga,ila deep inside HAYUPO NA WEWE...!!

Mpenzi, ambaye sio mke, huyo ni kama MZIGO WA BEGANI TU, ukikuchosha unauweka chini. Kama yeye ulimpata, ni bora ukafanya maamuzi ya kumuacha, kuliko kusubiri yeye ndo akuache, kwa sababu UTAUMIA SANA MOYO na usipokuw makini UTAJIUA. Elewa kwa sasa hata asipopokea simu yako, utaanza kujiuliza "au kwa sababu sina hela?". Jifanye msela tu, achana nae, huyo sio wako tena. Watu wanaachwa na wake zao wa ndoa, sembuse girlfriend...!!!

BINADAMU PEKEE WA JINSIA YA KIKE ATAKAYEKUPENDA MAISHA YAKO YOTE NA KWAHALI YAKO YOYOTE, NI MAMA TU..!! So rudi nyumbani mdogo wangu. We bado mtoto sana. Rudi home, ongea na wazazi, jipange. Wazazi especially mama, hawezi kukuchoka...!! Kinamama ni viumbe wa ajabu sana. Atakuw na wewe through thick and thin.

Neno langu sio sheria kaka...!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si bora we 24yrs mi may natimiza 26 na tokea Feb niliamua kurudisha majeshi nyumbani japo sikupenda kbsa,,, now najipanga kurudi mchezoni upya June the bad thing naonekana nna hela kumbe holaaa.....

The good thing Mungu yupo tumtangulize yeye sikia hii hivi majuzi saa kumi alfajiri niliamka nikaanza kuandika mipango yangu ya muda mfupi na mrefu baadae ya kumaliza kuandika vzr nikajisemea sasa nisome neno la uzima kufungua biblia paap macho yanatua mithali 16:1- kulitafakari hilo fungu na la pili na la tatu nikagundua kuna hana ya kuomba kwanza idhini maana huwa tunapanga tu kama kesho tunaijua,,, kikubwa tumuweke Mungu kwanza mengine atayafanya kwa ajili yetu
shukrani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi sikushauri kurudi nyumbani...hapo hapo kwenye ugumu ndio yalipojificha mafanikio, ni dhahiri unaona aibu kufanya baadhi ya kazi kwa kuhofia watu watakuonaje, huwezi kuitwa mshindi Kama hujashindana. Kushindana ni Nini? Ni hizo changamoto unazopitia kubali kuzishinda. Ukiweza kupita hapo wewe ni shujaa. Jitahidi kumuahidi hata kama unampango wa kupata hela hv karibuni, ila pambana na umuombe sana Mungu hakika utaona njia, maana Mungu hawezi kukusaidia ukiwa umelala kitandani. Hata mimi ninaekushauri hapo nimewahi pitia hayo...Tena zaidi ila sikukata tamaa na steal bado changamoto zipo, ila nakomaa kiume. Toka katafute kibarua chochote ufanye Mungu atakuangazia nuru...amini hivyo.

Sent using Jamii Forums mobile app
asante

Sent using Jamii Forums mobile app
 
... Nakumbuka na mm niliwahi kupitia hali kama yako, nilikuwa nakunywa uji tu then nalala, siku nzima hauli kitu.

... Ikitokea umekula ni kutokana na kugongea kwa mtu, inafika kipindi unachokwa kabisa.

... Maisha ni safari ndefu, mno, Imani yako iweke thabiti mbele za Mungu.

... UNGEKUWA UPO DAR NINGEKUAMBIA UTAFUTE NAULI UENDE MUHIMBILI AU AMANA HOSPITAL, HAKIKA UNGERUDI HAPA NA KUMSHKURU MUNGU.

... WAPO WATU WANATAMANI MNO HIYO AFYA YAKO NA UZIMA ULIONAO.

... Tumshkuru Mungu kwa kila jambo.

Sent from my GT-I9300 using Tapatalk
salute mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom