Mungu nisifikie kukata tamaa

Mungu nisifikie kukata tamaa

Pole hayo ni mapito ya kila mwanadamu,yanatofautiana ukubwa tu lakini ni kawaida ya kibinadamu,yawezekana kabisa Mungu anakuandaa kwa jambo jema zaidi,maana dhahabu iliobora mara zote ni ile iliopitia kwenye moto mkali...
 
Rudisha mpira kwa kipa, nakumbuka kipindi hiki kilinikuta nilimpoteza mchumba wangu hivihivi nikarudi home wazazi wakanitia nguvu nikarudi town tena kupanga mashambulizi huwa ni nyakati za mpito tu kuna neema yaja mbele usikate tamaa.Kuna wimbo wa Psquare (jina siukumbuki) ulikuwa unanifariji sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
itakua bring it on

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: a45
Pole.sana mkuu, usijitese kula uwe strong you still have a very bright future. Kipindi unachopitia ni sehemu ya changamoto za maisha, nakutia moyo urudi nyumbani tafadhali kwa muda huu unahitaji watu wako wa karibu watakupa joto na faraja. Wewe ni kijana mdogo sana bado una nafasi ya kwenda kujipanga upya na kuanza fresh. Kila la kheri mkuu
asante dada naul sina n hich kipind nime survive almoast miez miwili hapa akili ya kibinadamu imegoma namuomba mungu nisifikie ku give up

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom