Mungu nisifikie kukata tamaa

Mungu nisifikie kukata tamaa

So nini ambacho unaona kitakufaa kwa sasa?

Kodi ya nyumba,
Nauli kurudi nyumbani
Hela ya umeme au ni nini?

Kodi ni kiasi gani na unadaiwa ya miezi mingapi?

Ushauri wangu:
Lipa kodi hata nusu tu alafu upate na kidogo ya kununua chakula ndani kisha ingia mtaani uhangaike, wakati huu usione aibu hata kupiga debe piga mradi unatafuta kwa halali. Kujifungia ndani na kusononeka sio suluhu mkuu.


Namshangaa mtu una mikono miwili na miguu mi2 huna mtoto huna mke...!yaan dah...!
 
So nini ambacho unaona kitakufaa kwa sasa?

Kodi ya nyumba,
Nauli kurudi nyumbani
Hela ya umeme au ni nini?

Kodi ni kiasi gani na unadaiwa ya miezi mingapi?

Ushauri wangu:
Lipa kodi hata nusu tu alafu upate na kidogo ya kununua chakula ndani kisha ingia mtaani uhangaike, wakati huu usione aibu hata kupiga debe piga mradi unatafuta kwa halali. Kujifungia ndani na kusononeka sio suluhu mkuu.
kodi ni 180000

nusu ni 9000


sina hata 5000 ya umeme kaka


matatizo mengine hadi raha coz naona kabisa kichwa kinachemka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah..bila kumung'unya maneno huo Ni ujinga Mkubwa...Mimi nikiwa na pesa za kutosha nakunywa chai ya maziwa na keki Kisha naenda kupiga kazi...nikiwa nazo kidogo nakunywa chai na mihogo Kisha naenda kupiga ....nikiwa nazo kidogo zaidi nakula muhogo mkavu Kisha naenda kupiga kazi...nikiwa SINA nakunywa maji tu kisha naenda kupiga kazi....Acha kulialia mtoto wa kiume...utaolewa

Sent using Beretta ARX 160
 
Hiki kipindi napitia maisha magumu sana
Nimefukuzwa kazi
Nadaiwa kodi ya miezi mitatu
A 5000 ya umeme
Sina hela
Ndani nina unga tu mboga na hata mchele sina
Nipo mikoa ya mbali na nyumbani
Nimejifungia ndani nashindwa kutoka coz mama mwenye nyumba ni kivuruge na ananidai 5000
Nina mpenzi ambaye anajitahidi kufahamu kipindi ninachopitia ila bado hapati jibu coz i act as if sina matatizo
Nina siku mbili sijala kwa ridhaa yangu yaani nakula kwa kuibia
Natamani kurudi home nauli sina na naona ni udhaifu mkubwa kurudi kukaa na mama na am 24yrs old
Akili inachoka nahisi kuanguka
EEE MUNGU PAMOJA NA MAPITO HAYA NISIFIKIE KUKATA TAMAA
HAYA NI MADOGO KULINGANISHA NA WENZANGU
NISITAMANI KUJIUA
KWA AKILI YA KIBINADAMU UWEZO UNANISHINDA
NAKUOMBA MUNGU UTIMIZE HAJA ZA MOYO WANGUView attachment 1062423
mkuu pole sana sio wewe tu ata sisi uku tunakula maindi ya kuchoma tunalal sik zinaenda haya mapito tu
 
Hiki kipindi napitia maisha magumu sana

Nimefukuzwa kazi

Nadaiwa kodi ya miezi mitatu

A 5000 ya umeme

Sina hela

Ndani nina unga tu mboga na hata mchele sina

Nipo mikoa ya mbali na nyumbani

Nimejifungia ndani nashindwa kutoka coz mama mwenye nyumba ni kivuruge na ananidai 5000

Nina mpenzi ambaye anajitahidi kufahamu kipindi ninachopitia ila bado hapati jibu coz i act as if sina matatizo

Nina siku mbili sijala kwa ridhaa yangu yaani nakula kwa kuibia

Natamani kurudi home nauli sina na naona ni udhaifu mkubwa kurudi kukaa na mama na am 24yrs old

Akili inachoka nahisi kuanguka

EEE MUNGU PAMOJA NA MAPITO HAYA NISIFIKIE KUKATA TAMAA

HAYA NI MADOGO KULINGANISHA NA WENZANGU

NISITAMANI KUJIUA

KWA AKILI YA KIBINADAMU UWEZO UNANISHINDA

NAKUOMBA MUNGU UTIMIZE HAJA ZA MOYO WANGUView attachment 1062423
Kama kweli, bas download application ya Premise kwenye simu then kuna kazi kibao za kujibu questionnaire na kupiga picha, ndani ya 24 wanakulipa,
 
Kwanini umefukuzwa kazi kijana?

Sent using Jamii Forums mobile app
sababu nilimchoka meneja



alikua anaforce niwe namtongozea wanawake kazi ambayo kiukwel nilimfanyia...lakin huyu jamaa alikua hawez kukaa na mwanamke hata siku 3...amekua akiwanyanyasa kingono n wengi wao walinitupia lawama mimi...roho ilikua inaniuma...kuna dada alimuumiza sana n nilikua namuheshimu sana huyo bibie nilimchukulia as my sister...ikafika time niligoma kufanya hio kazi n haya ndo matokeo yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki kipindi napitia maisha magumu sana
Nimefukuzwa kazi
Nadaiwa kodi ya miezi mitatu
A 5000 ya umeme
Sina hela
Ndani nina unga tu mboga na hata mchele sina
Nipo mikoa ya mbali na nyumbani
Nimejifungia ndani nashindwa kutoka coz mama mwenye nyumba ni kivuruge na ananidai 5000
Nina mpenzi ambaye anajitahidi kufahamu kipindi ninachopitia ila bado hapati jibu coz i act as if sina matatizo
Nina siku mbili sijala kwa ridhaa yangu yaani nakula kwa kuibia
Natamani kurudi home nauli sina na naona ni udhaifu mkubwa kurudi kukaa na mama na am 24yrs old
Akili inachoka nahisi kuanguka
EEE MUNGU PAMOJA NA MAPITO HAYA NISIFIKIE KUKATA TAMAA
HAYA NI MADOGO KULINGANISHA NA WENZANGU
NISITAMANI KUJIUA
KWA AKILI YA KIBINADAMU UWEZO UNANISHINDA
NAKUOMBA MUNGU UTIMIZE HAJA ZA MOYO WANGUView attachment 1062423
mkuu mimi sikushauri urudi hom ni bora ukakae kwa mshikaji aku escoti siku mbili tatu ila ukisema urudi hom kama una wadogo zako watakuona fala
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom