Mungu nisifikie kukata tamaa

Mungu nisifikie kukata tamaa

Hapa hakuna lolote, ila ninaamini masikitiko yako ni kwamba unaogopa kumpoteza huyo mwanamke wako wa chuo.

Fahamu kwamba ALIKUPENDA KWA SABABU ULIKUW NA UWEZO WA KUPROVIDE KILA KITU KWAKE, na sasa usifikiri anakupenda kama zamani, na hata bando amekutumia tu ili usione kwamba anakutenga,ila deep inside HAYUPO NA WEWE...!!

Mpenzi, ambaye sio mke, huyo ni kama MZIGO WA BEGANI TU, ukikuchosha unauweka chini. Kama yeye ulimpata, ni bora ukafanya maamuzi ya kumuacha, kuliko kusubiri yeye ndo akuache, kwa sababu UTAUMIA SANA MOYO na usipokuw makini UTAJIUA. Elewa kwa sasa hata asipopokea simu yako, utaanza kujiuliza "au kwa sababu sina hela?". Jifanye msela tu, achana nae, huyo sio wako tena. Watu wanaachwa na wake zao wa ndoa, sembuse girlfriend...!!!

BINADAMU PEKEE WA JINSIA YA KIKE ATAKAYEKUPENDA MAISHA YAKO YOTE NA KWAHALI YAKO YOYOTE, NI MAMA TU..!! So rudi nyumbani mdogo wangu. We bado mtoto sana. Rudi home, ongea na wazazi, jipange. Wazazi especially mama, hawezi kukuchoka...!! Kinamama ni viumbe wa ajabu sana. Atakuw na wewe through thick and thin.

Neno langu sio sheria kaka...!!

Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu hua sifagilii mapenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mkuu hua sifagilii mapenzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Rudi home sasa...!!! Watu na ndevu zetu, tulipitia situation ngumu zaidi yko, tukaanza moja. Sembuse wewe 24yrs bana. Kwny familia wewe ni wa ngapi kuzaliwa?? Kma sio wa kwanza, kaka au dada zako wana hali gan kimaisha? Wazazi je, hali yao kimaisha ipoje?? Kuomba msaada sio ujinga, omba wakusaidie. You are too young to handle everything by yourself.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uanaume sio kukaza kwenye kila kitu, kuna mambo yanahitaji ushauri na kupewa faraja kutoka kwa wengine. Nimemkubali member kwa ujasiri wa kuja jamvini na kuomba faraja na mawazo mbadala pia nimeupenda moyo wa wanaJF kwa kumfariji kwa chochote MUNGU AWABARIKI.

Tusichojua au kuelewa ni jambo moja TUNALELEWA AU KUKULIA KATIKA MAZINGIRA TOFAUTI, binafsi anayopitia member yamenikuta miezi mi3 iliyopita na sahivi nauguza majeraha.Niko age sawa na jamaa na mazingira niliyokulia hayakuniruhusu kujifunza kuhustle japo napenda hustlering nikiwa Kama mwanaume.
Baada yakumaliza chuo niliamua kupambana binafsi japo niondokane na Hali ya kuombaomba ajira(Declare interest SIPENDI KUAJIRIWA) but home wakakataa mimi kufanya shughuli nyingine zaidi ya kuajiriwa,so nilichoamua ni kupotezeana na home na wao wakafika mbali zaidi na kusema mimi sio mtoto wao na hawatanisaidia kwa chochote (inaumiza kuambiwa maneno hayo na mtu umpendae, Yote kwa yote nilishasamehe) kutokana na mazingira hayo niliamua kuuza kila kitu ili kufidia Deni la chumba nikaenda kwa uncle japo kujipanga duuh yaliyonikuta yanaumiza zaidi...Nilifikia hali ya ndugu yangu huyu(Depression in first stage) sina nauli kusema nitaondoka niende mahali pengine, sina wakumuomba chochote zaidi yakupata sehemu yakulala, Kuna siku nilisingiziwa nimeiba na huyo uncle wangu kitu ambacho sikukifanya, niliamua kuondoka na kwenda kukaa msituni japo sio sana kwa wenyeji wa dar (Madale kata ya Mbopo) nililala siku mbili huku naokota makopo mchana mpaka usiku "Mbalamwezi ilihusika" Mungu Ni mwema nilipata kijinauli nikasepa mkoani kwa masela japo maisha sio mazuri ila Mungu Ni Mwema.
Kuna watu wanapitia mengi tena magumu lakini usiwaseme vibaya kuwa ni wanaume dhaifu au hawajitambui, hii inatokana na mazingira tuliyonayo na tuliokulia pia uwezo wa mtu kujichanganya na jamii, Mazingira tuliyokulia yanachangia sana hali anayopitia mtu.

Pia nimejifunza kitu, watu waliokulia Iringa wanaspirit ya kuhustler sana ila kinachowafelisha ni kwamba hatujafundishwa kujichanganya na jamii na hii ndio inachangia wengi tunapopitia magumu tukishindwa kwa akili zetu na kama mtu yuko mbali na Mungu hukimbilia kujiua.

Mbarikiwe wanaJF


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uanaume sio kukaza kwenye kila kitu, kuna mambo yanahitaji ushauri na kupewa faraja kutoka kwa wengine. Nimemkubali member kwa ujasiri wa kuja jamvini na kuomba faraja na mawazo mbadala pia nimeupenda moyo wa wanaJF kwa kumfariji kwa chochote MUNGU AWABARIKI.

Tusichojua au kuelewa ni jambo moja TUNALELEWA AU KUKULIA KATIKA MAZINGIRA TOFAUTI, binafsi anayopitia member yamenikuta miezi mi3 iliyopita na sahivi nauguza majeraha.Niko age sawa na jamaa na mazingira niliyokulia hayakuniruhusu kujifunza kuhustle japo napenda hustlering nikiwa Kama mwanaume.
Baada yakumaliza chuo niliamua kupambana binafsi japo niondokane na Hali ya kuombaomba ajira(Declare interest SIPENDI KUAJIRIWA) but home wakakataa mimi kufanya shughuli nyingine zaidi ya kuajiriwa,so nilichoamua ni kupotezeana na home na wao wakafika mbali zaidi na kusema mimi sio mtoto wao na hawatanisaidia kwa chochote (inaumiza kuambiwa maneno hayo na mtu umpendae, Yote kwa yote nilishasamehe) kutokana na mazingira hayo niliamua kuuza kila kitu ili kufidia Deni la chumba nikaenda kwa uncle japo kujipanga duuh yaliyonikuta yanaumiza zaidi...Nilifikia hali ya ndugu yangu huyu(Depression in first stage) sina nauli kusema nitaondoka niende mahali pengine, sina wakumuomba chochote zaidi yakupata sehemu yakulala, Kuna siku nilisingiziwa nimeiba na huyo uncle wangu kitu ambacho sikukifanya, niliamua kuondoka na kwenda kukaa msituni japo sio sana kwa wenyeji wa dar (Madale kata ya Mbopo) nililala siku mbili huku naokota makopo mchana mpaka usiku "Mbalamwezi ilihusika" Mungu Ni mwema nilipata kijinauli nikasepa mkoani kwa masela japo maisha sio mazuri ila Mungu Ni Mwema.
Kuna watu wanapitia mengi tena magumu lakini usiwaseme vibaya kuwa ni wanaume dhaifu au hawajitambui, hii inatokana na mazingira tuliyonayo na tuliokulia pia uwezo wa mtu kujichanganya na jamii, Mazingira tuliyokulia yanachangia sana hali anayopitia mtu.

Pia nimejifunza kitu, watu waliokulia Iringa wanaspirit ya kuhustler sana ila kinachowafelisha ni kwamba hatujafundishwa kujichanganya na jamii na hii ndio inachangia wengi tunapopitia magumu tukishindwa kwa akili zetu na kama mtu yuko mbali na Mungu hukimbilia kujiua.

Mbarikiwe wanaJF


Sent using Jamii Forums mobile app
vipi hali yako kaka nimejikuta nalia as if yalinikuta mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
vipi hali yako kaka nimejikuta nalia as if yalinikuta mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi nipo karibu kiasi fulani na Mungu japo anayonipitisha nayo huwa yananipa ugumu kuendelea nae, Yote kwa yote simuachi Mungu na sitakuja kumuacha...Nikushauri kitu usikate tamaa na pia jaribu kukaa karibu na Mungu tutashinda haya yote.
Mkuu kuna kipindi ilifikia hatua nalia pekeangu sina mtu wakaribu wakumwambia yanayonisibu zaidi ya Mimi na Mungu wangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa hakuna lolote, ila ninaamini masikitiko yako ni kwamba unaogopa kumpoteza huyo mwanamke wako wa chuo.

Fahamu kwamba ALIKUPENDA KWA SABABU ULIKUW NA UWEZO WA KUPROVIDE KILA KITU KWAKE, na sasa usifikiri anakupenda kama zamani, na hata bando amekutumia tu ili usione kwamba anakutenga,ila deep inside HAYUPO NA WEWE...!!

Mpenzi, ambaye sio mke, huyo ni kama MZIGO WA BEGANI TU, ukikuchosha unauweka chini. Kama yeye ulimpata, ni bora ukafanya maamuzi ya kumuacha, kuliko kusubiri yeye ndo akuache, kwa sababu UTAUMIA SANA MOYO na usipokuw makini UTAJIUA. Elewa kwa sasa hata asipopokea simu yako, utaanza kujiuliza "au kwa sababu sina hela?". Jifanye msela tu, achana nae, huyo sio wako tena. Watu wanaachwa na wake zao wa ndoa, sembuse girlfriend...!!!

BINADAMU PEKEE WA JINSIA YA KIKE ATAKAYEKUPENDA MAISHA YAKO YOTE NA KWAHALI YAKO YOYOTE, NI MAMA TU..!! So rudi nyumbani mdogo wangu. We bado mtoto sana. Rudi home, ongea na wazazi, jipange. Wazazi especially mama, hawezi kukuchoka...!! Kinamama ni viumbe wa ajabu sana. Atakuw na wewe through thick and thin.

Neno langu sio sheria kaka...!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Bro sio kila kitu Ni mapenzi, wengine wanapitia magumu zaidi na wanatamani wangekua na hata huyo mpenzi wakinafki.

Tuwe tunapima mambo kwa ukubwa zaidi na mazingira tunayopitia,Kama ingekua mapenzi nadhani jamaa asingefikiria kuleta uzi coz Leo au kesho mrembo atakuja kuona huu uzi.
Nimekubali uliposema neno lako sio Sheria.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
vipi hali yako kaka nimejikuta nalia as if yalinikuta mimi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasasa nipo tuu,nikipata vidili vidogo vidogo nafanya lakini imekuja baada yakusamehe yote na kuamua kuanza upya, usiangalie uwezo uliopo nyumbani, usiangalie watu watakuonaje just toka nje, ongea na watu utapata japo mia mbili au buku ambayo unaweza kufanya Jambo fulani.
Hata Mimi nilikua kwenye Hali Kama yako, lakini nilifikia hatua nikaokota makopo, waliokuwa wananiona walikua wanashangaa sifananii na kuokota makopo changanya na kejeli za watoto "Shikamoo Kaka muokota makopo" Ila sikuangalia nyuma japo inaumiza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro sio kila kitu Ni mapenzi, wengine wanapitia magumu zaidi na wanatamani wangekua na hata huyo mpenzi wakinafki.

Tuwe tunapima mambo kwa ukubwa zaidi na mazingira tunayopitia,Kama ingekua mapenzi nadhani jamaa asingefikiria kuleta uzi coz Leo au kesho mrembo atakuja kuona huu uzi.
Nimekubali uliposema neno lako sio Sheria.

Sent using Jamii Forums mobile app
Brother naamin kabisa you misunderstood my comment. Nakubaliana kabisa na wewe kwamba SIO KILA MATATIZO BASI YAKAHUSIANISHWA NA MAPENZI.

Naamini wewe ni mtu mzima, but piga picha mtoto wa 24 yrs mwenye demu wa chuo. Hiyo age kwa mapenzi huwa kuna ulimbukeni wa ajabu sana. Na ikitokea ukawa na hela na mwanamke at that age, bata lake sio la kipolepole. Na ikitokea mzigo ukakata, lazima utataka kuendelea kuvimba kwake na kujionesha "everything is fine", hata kama mwili unaliwa.

Ni vigumu sana kufanya maamuzi ya kimahusiano kwa mtoto wa 24yrs. Believe me, kuna siku ataleta uzi wa kutamani kujiua kwa sababu huyo mpenzi kamkimbia, au kamsaliti, MARK MY WORDS...!!

Simuombei mabaya, ila umri wake, hali yake kimaisha kwa sasa, na level ya mwanamke wake aliyenaye, ndo vinanipa mashaka.

SORRY KAMA COMMENT YNG ILIKUKWAZA, BUT WATOTO WA MIAKA 24 kuvumilia machungu ya maisha, ni mapema sn, na kuja kuvumilia machungu ya kimahusiano ndo mapema zaidi, na wengi wanaishia kuwa wakatili sn kwa wanawake au kujidhuru.

Neno langu sio sheria...!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom