Mungu nisifikie kukata tamaa

Mungu nisifikie kukata tamaa

Hiki kipindi napitia maisha magumu sana

Nimefukuzwa kazi

Nadaiwa kodi ya miezi mitatu

A 5000 ya umeme

Sina hela

Ndani nina unga tu mboga na hata mchele sina

Nipo mikoa ya mbali na nyumbani

Nimejifungia ndani nashindwa kutoka coz mama mwenye nyumba ni kivuruge na ananidai 5000

Nina mpenzi ambaye anajitahidi kufahamu kipindi ninachopitia ila bado hapati jibu coz i act as if sina matatizo

Nina siku mbili sijala kwa ridhaa yangu yaani nakula kwa kuibia

Natamani kurudi home nauli sina na naona ni udhaifu mkubwa kurudi kukaa na mama na am 24yrs old

Akili inachoka nahisi kuanguka

EEE MUNGU PAMOJA NA MAPITO HAYA NISIFIKIE KUKATA TAMAA

HAYA NI MADOGO KULINGANISHA NA WENZANGU

NISITAMANI KUJIUA

KWA AKILI YA KIBINADAMU UWEZO UNANISHINDA

NAKUOMBA MUNGU UTIMIZE HAJA ZA MOYO WANGUView attachment 1062423
Uza smartphone Hio utatue ttz lako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana kijana. Ila usikate tamaa....kikubwa endelea kuomba Mungu akufanyie wepesi. Vilevile nakushauri utoke hapo ndani, nenda kajichanganye mitaani....i hope utapata mwangaza wa kuona mbele. USIENDELEE KUKAA NDANI TAFADHARI

Nakutakia kila la kheri ndugu yangu...
Hiki kipindi napitia maisha magumu sana

Nimefukuzwa kazi

Nadaiwa kodi ya miezi mitatu

A 5000 ya umeme

Sina hela

Ndani nina unga tu mboga na hata mchele sina

Nipo mikoa ya mbali na nyumbani

Nimejifungia ndani nashindwa kutoka coz mama mwenye nyumba ni kivuruge na ananidai 5000

Nina mpenzi ambaye anajitahidi kufahamu kipindi ninachopitia ila bado hapati jibu coz i act as if sina matatizo

Nina siku mbili sijala kwa ridhaa yangu yaani nakula kwa kuibia

Natamani kurudi home nauli sina na naona ni udhaifu mkubwa kurudi kukaa na mama na am 24yrs old

Akili inachoka nahisi kuanguka

EEE MUNGU PAMOJA NA MAPITO HAYA NISIFIKIE KUKATA TAMAA

HAYA NI MADOGO KULINGANISHA NA WENZANGU

NISITAMANI KUJIUA

KWA AKILI YA KIBINADAMU UWEZO UNANISHINDA

NAKUOMBA MUNGU UTIMIZE HAJA ZA MOYO WANGUView attachment 1062423

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu hata nauli sina



hadi huruma hela ya bando kanitumia mwanamke

Sent using Jamii Forums mobile app
Uza simu hii unayotumia! Uza godoro au kitanda nenda home kasalimie. Upande wangu hali hiyo iliwahi nitokea nashukuru Mungu nilienda kanisani nikakumbana na walokole wakanisaidia kuomba tangia hapo mdogo mdogo nikapasua! Uamuzi ni wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbeya na Songwe ukishidwa kupambana ujue ukienda sehemu nyingine Utajuta.Uza Baadhi ya vitu vya ndani ata cm ikibidi njoo nikupe mbinu ya kupata hela ,Mtaji waSh 350,000 Unaishi mjini vizuri tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tupe hiyo mbinu apa mkuu.wengi wana shida sema hawawezi andika hapa
 
Kijana acha kuendelea kulia lia, just toka nje jichanganye na watu....huu sio muda wa kuendelea kuwaza, kulia lia, kuchagua kazi etc

Nyanyuka, pambana...usiseme ooh sina rafiki sijui nini!!! Wewe toka nje jichanganye.....ukijifungia ndani na hela umeingia hivyo.
kodi ni 180000

nusu ni 9000


sina hata 5000 ya umeme kaka


matatizo mengine hadi raha coz naona kabisa kichwa kinachemka

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuwa broke at 24yrs sio kitu cha ajabu sana kwa sababu kwa standard zetu za kiafrika bado wewe ni mdogo na upo kwenye stage ya kutafuta, huenda bado haujapata mwelekeo kamili. Nakupongeza kwa kuwa muwazi na kutafuta misaada wa mawazo. Wapo watu 30++ huko na maisha yao bado hayaeleweki.

Sote/wengi tumewahi kupitia hali hizo na kila mtu ana namna yake ya kutoka. Wanaokubeza waendelee tu...
 
Nakumbuka mwaka 2013 mwishoni baada ya kuzinguana sana sana na CEO wa banki moja yenye asili ya kikoloni.

Mwaka 2014 niliishi bila kazi ya maana na kibaya zaid december 2014 wakat nimeenda likizo kijijini waka wezi waliiba kila kitu ndani mwangu mpaka boxer walichukua...majirani walijua nahama na walinitumia msg kuuliza kwa nn nahama bila kuwaaga, bahati mbaya kijijini kwetu network ni ya shida nilikuja soma msg siku 2 baada ya tukio.
Thus 2016 nikiwa above 35yrs of age nimarudisha mpira kwa kipa nikajipanga upya ndani ya miezi 6 nikasimama tena nasongesha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom