witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,839
- 47,747
Like serious?...we ndo ulipambana hivoo?Mimi ni dada![]()
Hongera shost!
Sent using Jamii Forums mobile app
Like serious?...we ndo ulipambana hivoo?Mimi ni dada![]()
usjal mkuu now najiskia amani kwa wote walonipa moyoMkuu pole sana!
Wanaokukebehi humu ni hayajawakuta, hata usijali kabisa....amini yanapita haya!
Sent using Jamii Forums mobile app
majibu hayo yote nimeyajibu ndani ya hii threadhauna 5000 ya umeme na nnje hautoki lakini simu yako ina bundle na charge ya kuingia jamii forum
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikikusimulia story ya maisha yangu unaweza baki mdomo wazi

inshaAllah utapata faraja soon !!
Santeemweeenimekupenda zaidi
tatizo sio kuwahi kuamka, unakwenda wapi??Kodi sasa itakuwaje..si vyombo vitataifishwa na maza hausi...mie nadhan akaze tu..asijifungie ndan..ukijifungia ndan na hela inajifungìa hukooo
mkuu hii thread sio ya kuomba mchango nliitaj kutiwa moyo zaid n nmeshukuru coz wengi wamenitia moyoinshaAllah utapata faraja soon !!
Sema ngapi itakutosha...?
Ukipataga kanafasi tushee chalenji ili tupate kauzoefu!Nikikusimulia story ya maisha yangu unaweza baki mdomo wazi![]()
ngoja nifanye hii na mm
Mimi ni dada![]()
I heart it!Usikate tamaa..
Mimi niliachishwa kazi ghafla na nilikuwa na deni benki marejesho 159.500 kwa mwezi, nililima matikiti eka moja yakaoza yote shambani (vyote hv vilitokea kwa wakati mmoja) hapo naishi nyumba ya kupanga kuna kulipa kodi na umeme na maji....kilikuwa kipindi kigumu mno katika maisha yangu lkn sikukata tamaa.
Nilipambana hivyo hvyo wakati mwingine nakosa hela ya kula nakula kwa baba mwenye nyumba. Sikutafuta ndg wala kuenda nyumbani ( wazazi wangu walishafariki so sina nyumbani) Lakini nilivuka. Nilikuwa namchotea mchanga mama mmoja jirani, alikuwa anajenga ndo alikuwa ananipa hela kidogo napeleka benki mpaka deni likaisha
Sawa ila umekataa kunisaidia. fanya hivyo inasaidia pia
aisee..kweli tumetofautianatatizo sio kuwahi kuamka, unakwenda wapi??