Mungu ibariki Algeria kesho dhidi ya CCM

Mungu ibariki Algeria kesho dhidi ya CCM

na kile kithembe chake sipati picha hiyo mvua ya mate atakayotoa ndg bashite baada ya kufungwa na algeria hiyo kesho.
 
inafurahisha hata mataifa tuliyodhani yana matatizo ya kisiasa na kikabila kama vile algeria na kenya kutumia yanayoendelea huko misri kuleta umoja wa kitaifa na kuwa kitu kimoja ila hali hiyo ni tofauti hapa kwetu ambapo tusio wana ccm tumetangaziwa wazi kwamba ile team ya CCM ambao kila mtu anajifunzia kunyoa haituhusu
kesho CCM hao wanaenda kukutana na mbweha the fox wa jangwani toka algeria,mara ya mwisho CCM hao wa lumumba walipigwa 7-0
Naomba nichukue nafasi kumuomba Mungu awabariki Algeria wapige goals 9-0 hapo kesho.Amen.
CCM Stars ni dhaifu.
 
Hata kama ndani ya familia mmegombana sana, siyo vizuri kakaa kijiweni na kuanza kutangaza ugomvi wenu hadharani.
Mkiwa nje mnatakiwa muwe wamoja japo kwa ndani mligombana.
Hata kama ni kweli Stars ingekuwa ni ya CCM, still, kizalendo, Watz wote tungepaswa kuwapa sapoti Watz wenzetu, maana hana CCM nao ni Watz.
Kama huna mapenzi na Stars bora ubaki kimya ila usitangaze ubaya kwa majirani na mataifa mengine maana huko ni kujichora tu.
Kuna wabunge wanatuwakilisha Bunge la EAC, SADC, na Pan African Parliament, na baadhi yao ni wanaCCM, lakini bado tunawapa sapoti maana wanaiwakilisha nchi.
Sasa leo hii, iweje, mfano, kama Stars wangekuwa wanaCCM, tusiwape sapoti?
Kama huwasapoti, ni kwanini usikae kimya kuficha aibu na upumbavu wako?
Mwerevu hukaa kimya ila mpumbavu hunena hovyo na kudhihirisha upumbavu wake
Punda sio mjinga kiasi unachofikiri!
Si unaona amegoma kunywa maji!!

Mbweha hunasia kama anasiavyo mmbwa!!! Shughuli mnayo ccm wahedi nyie.
 
nimegundua nafsi yako inahuzunika sana kwa hofu na hasira kuhusu kipigo cha mbwa mwitu ambacho timu yenu ya mpira ya ccm itapata kesho kutoka kwa wa-algeria.

Hata ikipigwa na wewe umo as long as wewe n Mtanzania.

Kama hutaki kipigo kikuhusu basi hama uraia
 
Hata kama ndani ya familia mmegombana sana, siyo vizuri kakaa kijiweni na kuanza kutangaza ugomvi wenu hadharani.
Mkiwa nje mnatakiwa muwe wamoja japo kwa ndani mligombana.
Hata kama ni kweli Stars ingekuwa ni ya CCM, still, kizalendo, Watz wote tungepaswa kuwapa sapoti Watz wenzetu, maana hana CCM nao ni Watz.
Kama huna mapenzi na Stars bora ubaki kimya ila usitangaze ubaya kwa majirani na mataifa mengine maana huko ni kujichora tu.
Kuna wabunge wanatuwakilisha Bunge la EAC, SADC, na Pan African Parliament, na baadhi yao ni wanaCCM, lakini bado tunawapa sapoti maana wanaiwakilisha nchi.
Sasa leo hii, iweje, mfano, kama Stars wangekuwa wanaCCM, tusiwape sapoti?
Kama huwasapoti, ni kwanini usikae kimya kuficha aibu na upumbavu wako?
Mwerevu hukaa kimya ila mpumbavu hunena hovyo na kudhihirisha upumbavu wake
Usitupangie mwehu wewe!

Apigweee ccm stars wenu 7 bila
 
Back
Top Bottom