Mume wangu anatafuta kazi

Mume wangu anatafuta kazi

Wana JF please please nawaomba sana mnisaidie mume wangu amesoma mpaka post degree na Hana ajira nifanyeje? Yaani mi ndo nalisha nyumba na kulipia mahitaji yote, sasa inaniumiza! Binafsi sijamtenga ila namwonea huruma sana hajawahi kuajiriwa since 2011 na kila miradi anao anzisha unaishia njiani, sasa yupo tu home-nimewaza sana kuweka thread hii jamvini coz siko sure sana Kama yuko humu.
kwanini wasisome kozi zenye ajira kama udaktari, ualimu?tatizo mabishoo sana hao wakiwa chuoni,madhara ndio haya sasa mnalia lia umu,hatari sana híi ndoto zote zinakufa za kuitwa maboss
 
Wewe sio bure una inferiority complex!

inaonekana hujui maana ya inferiority complex. hata hivyo sikulaumu manake elimu uliyopata ni ya kukuandaa kuajiriwa na si kujitegemea/kupambana na maisha na mazingira unamoishi.

....wapo wa.pu.mbavu na mapunguani wengi kama wewe wamejaa mitaani wanatafuta kazi miaka mingi wanazunguka na vyeti mikononi kila siku huku miaka inazidi kusonga wanasubiri kuajiriwa ilhali kaz za kufanya zimejaa tele.
 
Atapata kazi kabla mwaka huu 2014 haujaisha. Bonge la kazi....wala hutaamini.

Mtakua na mahela sana....mtajenga nyumba nne na magari ya kifahari mawili mazuri sana. Mtapata mtoto wa kiume. Na mtamwita Yeremia.


Trust me!!!
ha ha ha ha ha ha so funy....pray da lord Amen....u knw yan nmesoma huku na imagne dahhhh so waamini tu itatokeaa??
 
Pole sana dada yangu . Kwanza nikupongeze kwa kushikilia kiapo cha ndoa hapo umethibitisha upendo wako kwake si katika nyakati za vyuku na mazagazaga ya kila namna kwenye freji, yaan hata katika pito hilo bado unampenda na kuwajibika maana ndoa ni kusaidiana .

Pia kuhusu kutopata ajira tangu 2011 hiyo isikuvunje moyo kabisa hata mm binafsi bado sijapata ajira na nimemaliza chuo 2011 na nina professional kozi za IT zenyewe si hiz za vicollege vyetu ILA bado nina imani ipo siku mambo yatakuwa sawa tena mwezi huu huu.

NINI UFANYE KATIKA PITO HILO .

1. Kwanza Mtangulizeni sana Mungu katika mambo yenu na kuweni na imani kuwa ni Mungu tu awezae kuwatoa katika jaribu hilo.

2. usioneshe au kumuonesha kuwa unaumia na hiyo hali yake bali wewe fanyika faraja kwake kwani wewe ndio mtu wa karibu sana kwake baada ya MUNGU.

3. Kuhusu kilimo ninacho washauri jaribuni kufuata kanuni za kilimo kitaalam zaid hapa angalieni mbegu mnazotumia , mbolea, na aina ya udongo mlipandia hayo mazao.

4. Kubwa zaidi ongea na Mumeo kama anaweza kufundisha hata shule binafsi za sekondari basi afanye hivyo naamini atapata tu . ( LA KUZINGATIA ASIDEMAND MSHAHARA MKUBWA SANA ILA UWE MZURI KWA KUENDANA NA HALI HALISI.)

Na pia kama anaweza aombee kujitolea kufanya kazi kwenye ofisi hata hizi za serikali au watu binafsi. ( MWAMININI MUNGU ATAFUNGUA MILANGO NA KAZI ATAPATA MZURI NA YA MAANA.)

NB: USIKATE TAMAA NA MUMEO NI WAKO HUYU NA HILO NI PITO LA MUDA MDOGO SANAAAA KUMBUKA KILA SIKU MUNGU YUPO ONTIME.

MUNGU AWAONEKANIE NDANI YA MWEZI HUU MUMEO APATE KAZI NZURI SANA. KAMA UNAAMINI SEMA " AMENI "
 
Mkuu eazy900 Nawote wenye mawazo km hayo fikirieni vzr! Yaani m2 kuabudu Mizimu ya kwao tena yenyeNasaba nae mnaona dhambi lkn Kuabudu mizimu ya kiGENI mnaona ni sawa wacheni utumwa! Mleta mada ni muhimu huyo ndg kurudi kwa Wazee! pia mwambie ajiunge JF atembelee sana kule BZ na UCHUMI akiwa Serious na KILIMO atafanikiwa waliokwenye AJIRA wanatafuta namna yakutoka mwambie MAISHA hayana FOMLA,,,!
 
ma PHD asingesoma. apige ile mitihani ya board inaweza kumsaidia.
Cha msingi atafute kazi tuu maana elimu bila uzoefu inasumbua
 
Wana JF please please nawaomba sana mnisaidie mume wangu amesoma mpaka post degree na Hana ajira nifanyeje? Yaani mi ndo nalisha nyumba na kulipia mahitaji yote, sasa inaniumiza! Binafsi sijamtenga ila namwonea huruma sana hajawahi kuajiriwa since 2011 na kila miradi anao anzisha unaishia njiani, sasa yupo tu home-nimewaza sana kuweka thread hii jamvini coz siko sure sana Kama yuko humu.
Umesikika mama, ila muda mwingine umshauri aje mwenyewe maaa hapa kuna kila ushauri unatolewa pia kuna hoja za moja kwa moja zinazo muhusu yeye alitakiwa ajibu ili ushauri ukolee zaidi na pia itamsaidia afanye uamuzi gani mana anakuwa napata taarifa kutoka kwenye chanzo, kubwa zaidi itaonesha kuwa ni kweli yupo serious sana kwenye hili tatizo.
 
Morning glory, kwanini kazi binafsi anazoanzisha zinaishia njiani? Tatizo ni kazi anazofanya au yeye hana mvuto nazo?
 
Last edited by a moderator:
Pole sana dada yangu . Kwanza nikupongeze kwa kushikilia kiapo cha ndoa hapo umethibitisha upendo wako kwake si katika nyakati za vyuku na mazagazaga ya kila namna kwenye freji, yaan hata katika pito hilo bado unampenda na kuwajibika maana ndoa ni kusaidiana .

Pia kuhusu kutopata ajira tangu 2011 hiyo isikuvunje moyo kabisa hata mm binafsi bado sijapata ajira na nimemaliza chuo 2011 na nina professional kozi za IT zenyewe si hiz za vicollege vyetu ILA bado nina imani ipo siku mambo yatakuwa sawa tena mwezi huu huu.

NINI UFANYE KATIKA PITO HILO .

1. Kwanza Mtangulizeni sana Mungu katika mambo yenu na kuweni na imani kuwa ni Mungu tu awezae kuwatoa katika jaribu hilo.

2. usioneshe au kumuonesha kuwa unaumia na hiyo hali yake bali wewe fanyika faraja kwake kwani wewe ndio mtu wa karibu sana kwake baada ya MUNGU.

3. Kuhusu kilimo ninacho washauri jaribuni kufuata kanuni za kilimo kitaalam zaid hapa angalieni mbegu mnazotumia , mbolea, na aina ya udongo mlipandia hayo mazao.

4. Kubwa zaidi ongea na Mumeo kama anaweza kufundisha hata shule binafsi za sekondari basi afanye hivyo naamini atapata tu . ( LA KUZINGATIA ASIDEMAND MSHAHARA MKUBWA SANA ILA UWE MZURI KWA KUENDANA NA HALI HALISI.)

Na pia kama anaweza aombee kujitolea kufanya kazi kwenye ofisi hata hizi za serikali au watu binafsi. ( MWAMININI MUNGU ATAFUNGUA MILANGO NA KAZI ATAPATA MZURI NA YA MAANA.)

NB: USIKATE TAMAA NA MUMEO NI WAKO HUYU NA HILO NI PITO LA MUDA MDOGO SANAAAA KUMBUKA KILA SIKU MUNGU YUPO ONTIME.

MUNGU AWAONEKANIE NDANI YA MWEZI HUU MUMEO APATE KAZI NZURI SANA. KAMA UNAAMINI SEMA " AMENI "
Tnamwamini Mungu atafungua njia kaka,barikiwa
 
Mshauri aishi kile alichokisoma wengi hatutumii kile tulichokiweka tukiwa shuleni hapa ndo utaona tunavyorudi nyuma kimaendeleo utakuta daktari familia yake ndo wanaugua typhoid amoeba Engineer miundombinu hata ya nyumbani kwake inakatisha tamaa Accountant hajui kutunza pesa yee ni ku spend tu Lawyer wanyumbani kwake ndo wavunja sheria yaani Elimu zetu hazina faida na sisi kabisa imebaki tu pride I have mastera I have bch or phd. Ila ukija kwenye maisha tuonyeshe tofauti ya phd na form 4 hamna tofauti saa nyingine tutamlaumu Mungu buree ila kuna uwezekano mkubwa akili zetu hazijajengwa kukabili changamoto na hali halisi tuliyonayo. Mimi cha kukuasa dada shem ni Procurement hao ni watu wa mahesabu hao. Huko kwenye kulima huwa anatumia vipi hiyo elimu yake na kwenye maisha yake ya kila siku. Msihi awe free minded person na pale ambapo anapata kitu out of expectation ndo pawe mwanzo wa kutafuta suruhu ya hapo na kwenda mbele. Kubadilika badilika hakusaidii kama alilima leo vitunguu havikulipa anapaswa apate sababu iliyomfanya vitunguu visimlipe. Akiipata anajaribu tena mimi naimani atakutana na kikwazo kingine ila tofauti na kile cha mwanzo na kadri atavyo endelea ndivyo atavyo kuwa na experience na ku improve kuanguka mara moja kusimkatishe tamaa aka shift kwenda kwenye zao au shughuli nyingine atapoteza muda mwingi bila mafanikio yeyote
 
Mshauri aishi kile alichokisoma wengi hatutumii kile tulichokiweka tukiwa shuleni hapa ndo utaona tunavyorudi nyuma kimaendeleo utakuta daktari familia yake ndo wanaugua typhoid amoeba Engineer miundombinu hata ya nyumbani kwake inakatisha tamaa Accountant hajui kutunza pesa yee ni ku spend tu Lawyer wanyumbani kwake ndo wavunja sheria yaani Elimu zetu hazina faida na sisi kabisa imebaki tu pride I have mastera I have bch or phd. Ila ukija kwenye maisha tuonyeshe tofauti ya phd na form 4 hamna tofauti saa nyingine tutamlaumu Mungu buree ila kuna uwezekano mkubwa akili zetu hazijajengwa kukabili changamoto na hali halisi tuliyonayo. Mimi cha kukuasa dada shem ni Procurement hao ni watu wa mahesabu hao. Huko kwenye kulima huwa anatumia vipi hiyo elimu yake na kwenye maisha yake ya kila siku. Msihi awe free minded person na pale ambapo anapata kitu out of expectation ndo pawe mwanzo wa kutafuta suruhu ya hapo na kwenda mbele. Kubadilika badilika hakusaidii kama alilima leo vitunguu havikulipa anapaswa apate sababu iliyomfanya vitunguu visimlipe. Akiipata anajaribu tena mimi naimani atakutana na kikwazo kingine ila tofauti na kile cha mwanzo na kadri atavyo endelea ndivyo atavyo kuwa na experience na ku improve kuanguka mara moja kusimkatishe tamaa aka shift kwenda kwenye zao au shughuli nyingine atapoteza muda mwingi bila mafanikio yeyote

Thanks Major ushauri wako is of essence,we will act upon it,tunaongea Mengi he listens a lot na he's humble,coz meseji yoyote yangu humfikia haraka
 
kwanini wasisome kozi zenye ajira kama udaktari, ualimu?tatizo mabishoo sana hao wakiwa chuoni,madhara ndio haya sasa mnalia lia umu,hatari sana híi ndoto zote zinakufa za kuitwa maboss
Ndugu temea mate chini. Halafu hivi hizo kozi zisizokua na ajira kwa ninni bado wanazifundisha humu mavyuoni? hivi hawaoni wanawapotezea watoto wa wenzao muda?
 
Back
Top Bottom