Mume wangu anatafuta kazi

Mume wangu anatafuta kazi

kwa hilo la wazee sikushauri na sikuungi mkono solution ni yeye kumuomba mungu kwa moyo na kweli first then tafuten watumish wenye nguvu kama mwakasege atengue hayo mambo ambayo unashauriwa na wakina crocodile, maana hio ndio laana kubwa inayotutafuna waafrica wengi unakuta hio mizimu ambayo mababu zake walikua wanaitolea sadaka ndio inamuafect na yeye mpaka sasa hivi maana maandiko ya bible yanasema kafara inayotolewa na mmoja katika familia ina affect mpaka kizazi cha nne so nenda kaachane na hayo mizimu ili uwe huru, na kwa huyo husband wako huwezi husisha na mambo ya giza ni hali tu ya kawaida sasa hivi hapa tanzania kazi zinasumbua na wako wengi tu humu Jf wamekaa miaka mnne na tano na wamepata kazi, sasa ni yeye tu kumuomba mungu zaidi na kujituma zaidi kutuma application na kujituma zaidi kwenye business atatoka, na watu wa namna hio wakitoka hua hakuna kurudi nyuma, jaribu kununua na CD za mwakasege za jins[/QOUTE]WE ARE AFRICAN WE HAVE OUR~OWN TRADITiON
 
kwa hilo la wazee sikushauri na sikuungi mkono solution ni yeye kumuomba mungu kwa moyo na kweli first then tafuten watumish wenye nguvu kama mwakasege atengue hayo mambo ambayo unashauriwa na wakina crocodile, maana hio ndio laana kubwa inayotutafuna waafrica wengi unakuta hio mizimu ambayo mababu zake walikua wanaitolea sadaka ndio inamuafect na yeye mpaka sasa hivi maana maandiko ya bible yanasema kafara inayotolewa na mmoja katika familia ina affect mpaka kizazi cha nne so nenda kaachane na hayo mizimu ili uwe huru, na kwa huyo husband wako huwezi husisha na mambo ya giza ni hali tu ya kawaida sasa hivi hapa tanzania kazi zinasumbua na wako wengi tu humu Jf wamekaa miaka mnne na tano na wamepata kazi, sasa ni yeye tu kumuomba mungu zaidi na kujituma zaidi kutuma application na kujituma zaidi kwenye business atatoka, na watu wa namna hio wakitoka hua hakuna kurudi nyuma, jaribu kununua na CD za mwakasege za jinsi ya kujinasua kutoka kwa kafara ambazo haukushirikishwa haukuzijua na ambazo umefanya na unazijua,
all the best.
jina la Yesu liinuliwe, na ubarikiwe wewe na familia yako, say Amen.

Barikiwa sana kaka easy
 
tatizo ni kwamba watu wengi tanzania mnadhani kuwa na postgraduate degree ndiyo kufanikiwa. Hata miradi yake anayoanzisha inakufa ni kwa sababu anaona kwa elimu yake anastahili kuwa kwenye office yenye kiyoyozi, na salary slip. Tena ofisi isiyo yake ya kuajiriwa. Hii ni akili mgando. Post degree ni scholarstic degree unapaswa kujiajiri. Hata mabilionea walianzia chini hukohuko anakodharau na anaharibu miradi kwa sababu ya slavery mindset aliyonayo.

tupo wengi wenye postgraduate degree na tumeachana na kukimbia mitaani na vyeti tumejiajiri wengine kwa kazi zinazoonekana za fedheha kama ufugaji wa kuku na vipato ni vya juu na hatukatwi kodi.

mshauri aface realities kuwa hii ni karne ya 21 na si karne ya 19 ya kutegemea kuajiriwa. Tunasoma ili tupambane na mazingira kwa namna yo yote ile. Ulishawahi kutembelea vistudio vya kurekodi miziki hapa nchini. Wamiliki wake wote ni university graduates....they have learned to accept, change and adapt the reality.

Wewe sio bure una inferiority complex!
 
ndoa ndoano hapo panataka maombi! pia arudi kwa nyumbani akae na wazee ale nao mbuzi na pombe, wazee na mizimu ya nyumbani hufunga njia kabisa! then arudi dar he will see wonder! within 3 weeks

Maombi gani ya kula mbuzi kunywa pombe na mizimu !!!!!

Amua kufanya maombi au ambatana na shetani na mizimu yake, lakini cha moto utakiona.
 
Kuwa na mwanamke kama Mleta mada nayo ni mafanikio makubwa,maana kuna wanaume pamoja na kazi nzuri na mshahara mnono lakini hawana furaha na kazi zao.Nashauri ajenge tabia ya kujichanganya na watu mbalimbali,naamini kuna kitu kikubwa M'Mungu amemwandalia.
 
Kuwa na mwanamke kama Mleta mada nayo ni mafanikio makubwa,maana kuna wanaume pamoja na kazi nzuri na mshahara mnono lakini hawana furaha na kazi zao.Nashauri ajenge tabia ya kujichanganya na watu mbalimbali,naamini kuna kitu kikubwa M'Mungu amemwandalia.

Thanks Mkuu
 
Wana JF please please nawaomba sana mnisaidie mume wangu amesoma mpaka post degree na Hana ajira nifanyeje?Yaani mi ndo nalisha nyumba na kulipia mahitaji yote,sasa inaniumiza!Binafsi sijamtenga ila namwonea huruma sana hajawahi kuajiriwa since 2011 na kila miradi anao anzisha unaishia njiani,sasa yupo tu home-nimewaza sana kuweka thread hii jamvini coz siko sure sana Kama yuko humu


Mke wangu niwie radhi mwenzio n ninakupenda sana kwa yote unifanyiayo, ila mwenzio nimefikia kusema ama kuhisi nimerogwa. Nahitaji maombi haraka sana. Tutaongea kiundani zaidi nikirudi nyumbani leo.
 
Mke wangu niwie radhi mwenzio n ninakupenda sana kwa yote unifanyiayo, ila mwenzio nimefikia kusema ama kuhisi nimerogwa. Nahitaji maombi haraka sana. Tutaongea kiundani zaidi nikirudi nyumbani leo.

Sio wewe Lolz wangu niko Naye tayari na simu yake iko pembeni so umechelewa
 
Mungu akuongoze dada mume wako apate kazi . Nadhani wewe ni mke mwema kwake mana unajli moyo wa mwenzako Mungu awabariki
 
Hiyo huwa ni kitu gani?




Sent from Nokla using Jf app

Kufunguliwa kwa kiswahili
Kufunguliwa kutoka kwenye vifungo vya kifamilia ambavyo humfuatilia mtu asifanikiwe

Ni wazo langu binafsi maana km kila anachofanya hakifanyiki nn cha ziada zaidi ya kumrudia muumba
 
Kufunguliwa kwa kiswahili
Kufunguliwa kutoka kwenye vifungo vya kifamilia ambavyo humfuatilia mtu asifanikiwe

Ni wazo langu binafsi maana km kila anachofanya hakifanyiki nn cha ziada zaidi ya kumrudia muumba

Ok ok ni kama vile kuondoa mikosi eh au laana? Labda aende Tanga au swanga




Sent from Nokla using Jf app
 
Back
Top Bottom