Mume wangu anatafuta kazi

Mume wangu anatafuta kazi

Karibu sana dada, hilo ni jaribu tu time will tek care! Pia ajitahidi kumtafuta Fumbo today maana jana ndio kapost hilo tangazo, mwambie tu umetoa ukurasa wa Facebook! All the best


Sent from Mchina

Be blessed bro
 
Mwambie aje huku visiwani ajira huku ziko kedekede yanini apate taabu, na miye nitajitolea niwe mwenyeji wake.
Huko bara mna shida kweli yaani tangu mwaka 2011 mtu anashindwa hata kwenda baharini kuvua samaki! Kwani hajui kwamba mgaa gaa na upwa hali wali mkavu

huko Zenji ni pazuri hivyo ?nitajipanga nipatembelee!!
 
lakini pamoja na yote ana post degree angeliweza kujisitiri ktk "teachings" ktk vyuo mbalimbali hata pale chanika akisubiri "its right target"
 
Nakushauri umpende usimnyanyase wala kumnyima hakiyake ya ndani nakushauri kama yupo dar aendekwanza nyumbani akamuone babu bibi na wengine wanaomzunguka atafanikiwa tu kingine degre sikuizi kama form
 
Ila mimi niliona sio Sawa kuweka hoja ya mume humu ili bidi uongee na familia yani baba,mama na kaka zake au dada zake au wewe mwenyewe mana una marafiki huko kazini kwako than humu mana nimep anaweza kuona au kujisikia vibaya akiona. Fanya kumuona wadhamini wenu wa harusi waliowasimamia, ila amini kwa mungu ndio ajengae ndoa na kuwapa yote mtakacho taka alisema yeye. Yeremia 33:3, kuwa karibu na mungu. mama simama kwa maombi, fikiri kama baba angekuwa anafanya kazi wewe upo home ingekuwaje? Na amini ukiweka juhudi na mungu lazima mumeo atapata kazi tuu.

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums
 
Mwambie aje huku visiwani ajira huku ziko kedekede yanini apate taabu, na miye nitajitolea niwe mwenyeji wake.
Huko bara mna shida kweli yaani tangu mwaka 2011 mtu anashindwa hata kwenda baharini kuvua samaki! Kwani hajui kwamba mgaa gaa na upwa hali wali mkavu

Visiwa gani hivyo? Si utamke? Ni Visiwa vya Ukerewe na Ukara? Au ni vile Visiwa maarufu kwa kuwa malishio ya Popo Bawa? Kama ni huko, unataka aje umlengeshe aliwe "live" na Popo Bawa? Acha hizo!
 
Ila mimi niliona sio Sawa kuweka hoja ya mume humu ili bidi uongee na familia yani baba,mama na kaka zake au dada zake au wewe mwenyewe mana una marafiki huko kazini kwako than humu mana nimep anaweza kuona au kujisikia vibaya akiona. Fanya kumuona wadhamini wenu wa harusi waliowasimamia, ila amini kwa mungu ndio ajengae ndoa na kuwapa yote mtakacho taka alisema yeye. Yeremia 33:3, kuwa karibu na mungu. mama simama kwa maombi, fikiri kama baba angekuwa anafanya kazi wewe upo home ingekuwaje? Na amini ukiweka juhudi na mungu lazima mumeo atapata kazi tuu.

Sent from my BlackBerry 9380 using JamiiForums

Sikuwahi na nia mbaya wazazi wake wote Hawaii hai Ana kaka mmoja tu Naye si wa uhakika sana,ila Asante kwa ushauri ntaufanyia kazi
 
Wana JF please please nawaomba sana mnisaidie mume wangu amesoma mpaka post degree na Hana ajira nifanyeje?Yaani mi ndo nalisha nyumba na kulipia mahitaji yote,sasa inaniumiza!Binafsi sijamtenga ila namwonea huruma sana hajawahi kuajiriwa since 2011 na kila miradi anao anzisha unaishia njiani,sasa yupo tu home-nimewaza sana kuweka thread hii jamvini coz siko sure sana Kama yuko humu

tatizo ni kwamba watu wengi tanzania mnadhani kuwa na postgraduate degree ndiyo kufanikiwa. Hata miradi yake anayoanzisha inakufa ni kwa sababu anaona kwa elimu yake anastahili kuwa kwenye office yenye kiyoyozi, na salary slip. Tena ofisi isiyo yake ya kuajiriwa. Hii ni akili mgando. Post degree ni scholarstic degree unapaswa kujiajiri. Hata mabilionea walianzia chini hukohuko anakodharau na anaharibu miradi kwa sababu ya slavery mindset aliyonayo.

tupo wengi wenye postgraduate degree na tumeachana na kukimbia mitaani na vyeti tumejiajiri wengine kwa kazi zinazoonekana za fedheha kama ufugaji wa kuku na vipato ni vya juu na hatukatwi kodi.

mshauri aface realities kuwa hii ni karne ya 21 na si karne ya 19 ya kutegemea kuajiriwa. Tunasoma ili tupambane na mazingira kwa namna yo yote ile. Ulishawahi kutembelea vistudio vya kurekodi miziki hapa nchini. Wamiliki wake wote ni university graduates....they have learned to accept, change and adapt the reality.
 
tatizo ni kwamba watu wengi tanzania mnadhani kuwa na postgraduate degree ndiyo kufanikiwa. Hata miradi yake anayoanzisha inakufa ni kwa sababu anaona kwa elimu yake anastahili kuwa kwenye office yenye kiyoyozi, na salary slip.

tupo wengi wenye postgraduate degree na tumeachana na kukimbia mitaani na vyeti tumejiajiri wengine kwa kazi zinazoonekana za fedheha kama ufugaji wa kuku na vipato ni vya juu na hatukatwi kodi.

mshauri aface realities kuwa hii ni karne ya 21 na si karne ya 19 ya kutegemea kuajiriwa. Tunasoma ili tupambane na mazingira kwa namna yo yote ile. Ulishawahi kutembelea vistudio vya kurekodi miziki hapa nchini. Wamiliki wake wote ni university graduates....they have learned to accept, change and adapt the reality.

Noted mkuu
 
Ntamweleza hili kwa undani zaidi

kwa hilo la wazee sikushauri na sikuungi mkono solution ni yeye kumuomba mungu kwa moyo na kweli first then tafuten watumish wenye nguvu kama mwakasege atengue hayo mambo ambayo unashauriwa na wakina crocodile, maana hio ndio laana kubwa inayotutafuna waafrica wengi unakuta hio mizimu ambayo mababu zake walikua wanaitolea sadaka ndio inamuafect na yeye mpaka sasa hivi maana maandiko ya bible yanasema kafara inayotolewa na mmoja katika familia ina affect mpaka kizazi cha nne so nenda kaachane na hayo mizimu ili uwe huru, na kwa huyo husband wako huwezi husisha na mambo ya giza ni hali tu ya kawaida sasa hivi hapa tanzania kazi zinasumbua na wako wengi tu humu Jf wamekaa miaka mnne na tano na wamepata kazi, sasa ni yeye tu kumuomba mungu zaidi na kujituma zaidi kutuma application na kujituma zaidi kwenye business atatoka, na watu wa namna hio wakitoka hua hakuna kurudi nyuma, jaribu kununua na CD za mwakasege za jinsi ya kujinasua kutoka kwa kafara ambazo haukushirikishwa haukuzijua na ambazo umefanya na unazijua,
all the best.
jina la Yesu liinuliwe, na ubarikiwe wewe na familia yako, say Amen.
 
Back
Top Bottom