angekuwa MCHAGGA angeshaanza kuuza mkaa na vitunguu/nyanya.....2 year to come anahamia Kkooo kula madil na masaweee/kimaro/etc
Amesoma postgraduate ya kozi gani kama ni business cha msingi kama ni business unaweza ukanipm nikupe good business nazani unaweza ukawa umewah kusikia forever living its good business ambayo mume tunaweza kufanya
Huwa anajaribu Kilimo na huwa havuni kitu cha maana Kama vitunguu,mahindi etc amesoma post ya procurement
Namkaribisha mume wako kwenye business ya forever living ambayo in potential kubwa ambayo mume wako hatashindwa if uko interested unaweza kuncheki my numer 0717115421
Morning glory usithubutu kumkaribisha mumeo kwenye huo upu...z hapo juu
Acha kumtia uchizi jamaa,,,,!!!
Kwa kweli bora umemjibu wewe
Hehehe, Forever Living, GNLD etc....zote hizo ni Pyramid Schemes na wala usipoteze muda. Heri aendele na Kilimo. But chamsingi ni kwamba your husband awe persistent na anacho Kifanya. Kuna watu wengi ambao wamefanikiwa sana but wali-feli several times before they finally succeeded. Kama he believes in being employed, basi atume maombi ya kazi several times on anything that he believes he can do. Kama ni kilimo au self employment yeyote ile, ajaribu kuangalia where and what he did wrong, then arekebishe! That way, naamini atafanikiwa kwa sana tu. Sio mambo ya wazee sjui kunywa supu ya mbuzi nini na nini.
Naku PM tuone tunasaidianaje....
i really promise you kama yuko humble mtakuwa na mafanikio mbeleni wanaume tupo wabishi na wababe hasa katika kusikiliza ushauri wenu. mimi nina uhakika there must be something somewhere ambapo anaenda wrong(hafuati principles za mafanikio kwa kitu anachokifanya) kumbuka unaweza kuwa unalima ila jiulize unalima kwa uhakika au ndo kutegemea majaaliwa ya Mungu waafrika tunamfanya Mungu kuwa busy ili hali yeye katupa uwezo wa kutawala vyote viijazavyo dunia vyote ni vyetu. ila inahitaji akili na mbinu ili na vyenyewe vikukubali wewe uwe bosi wao. WE HOLD OUR DESTINY IN OUR HANDS. huwezi panda mchicha ukavuna mpunga maisha ni uhalisia sio kuigiza. fateni principle msifanye ilimradi watu wengi wanafanya hivyo wengi wameiga ila wameshindwa kwasababu hawakujua au hawakufuata principle ili wafanikiwe jambo hili ndilo lina tutofautisha maskini, Middle class economy, na matajiri. na ndio maana matajiri ni wachache sana mimi nina matumaini makubwa coz ninamuona mke mwema na mume mwema hakuna litakalo halibika ni suala la wakati tu.Thanks Major ushauri wako is of essence,we will act upon it,tunaongea Mengi he listens a lot na he's humble,coz meseji yoyote yangu humfikia haraka
i really promise you kama yuko humble mtakuwa na mafanikio mbeleni wanaume tupo wabishi na wababe hasa katika kusikiliza ushauri wenu. mimi nina uhakika there must be something somewhere ambapo anaenda wrong(hafuati principles za mafanikio kwa kitu anachokifanya) kumbuka unaweza kuwa unalima ila jiulize unalima kwa uhakika au ndo kutegemea majaaliwa ya Mungu waafrika tunamfanya Mungu kuwa busy ili hali yeye katupa uwezo wa kutawala vyote viijazavyo dunia vyote ni vyetu. ila inahitaji akili na mbinu ili na vyenyewe vikukubali wewe uwe bosi wao. WE HOLD OUR DESTINY IN OUR HANDS. huwezi panda mchicha ukavuna mpunga maisha ni uhalisia sio kuigiza. fateni principle msifanye ilimradi watu wengi wanafanya hivyo wengi wameiga ila wameshindwa kwasababu hawakujua au hawakufuata principle ili wafanikiwe jambo hili ndilo lina tutofautisha maskini, Middle class economy, na matajiri. na ndio maana matajiri ni wachache sana mimi nina matumaini makubwa coz ninamuona mke mwema na mume mwema hakuna litakalo halibika ni suala la wakati tu.