Rich Woman
JF-Expert Member
- Dec 18, 2012
- 867
- 558
Kabisa maana kuna laana za kifamiliaOk ok ni kama vile kuondoa mikosi eh au laana? Labda aende Tanga au swanga
Sent from Nokla using Jf app
Ila vifungo haviondolewi kwa waganga maana huko unaweza ukaenda kuongezea vifungo vingine
Ninavyoamini mimi vifungo huondolewa na Mungu pekee no shortcut