Leah ninakusihi,km mwanandoa, hayo mabo yote mwachie, Mungu, kuna leo na kesho, pia husdiriki, kumwambia mdogo wako atoe mimba eti kisa kulinda soni yako na mmeo, mnajua mtakaye mmua angekuwa nani?na ni kwambie mdgo wako akifa wakati anatoa mimba, utajikisiaje? je wewe huspo zaa? na mtt wa mdogo wako yupo itakuaje? hacheni hizo, Leha mrudie mmeo, nendenei kanisani kaomba kumuona padri, nina imani mtashauriwa vizuri, sjui kwa nini naiona ndoa yenu km yakikatoliki lakini nakusihi, mrudie mmeo, huyo ndochaguo lako, ebu rejea ushauri wangu hapo juu, km nilizo zitaja ni weekneszao, work on it mamy!