TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

Kossa lake ni mkewe kuwaua watanganyika MO29.
Mkewe nayeye wapiwapi
Akili zenu zimelala wapi ndugu

Tumesema kwa akili yako kitokee kifo cha mke wa Warioba au mume wa Tibaijuka sasa tushangilie kipi mana wao wamejiweka mbali na Matamko ya wenza wao

Sasa mzee Hafidh Ameir yeye lini katoa tamko lolote kwako upate Sababu ya kumchukia

Watu weusi ndiomana Wazungu wanatuona wanyama wamwituni

Tunauweza ukumu pasipo na Haki.
 
Mkewe nayeye wapiwapi
Akili zenu zimelala wapi ndugu

Tumesema kwa akili yako kitokee kifo cha mke wa Warioba au mume wa Tibaijuka sasa tushangilie kipi mana wao wamejiweka mbali na Matamko ya wenza wao

Sasa mzee Hafidh Ameir yeye lini katoa tamko lolote kwako upate Sababu ya kumchukia

Watu weusi ndiomana Wazungu wanatuona wanyama wamwituni

Tunauweza ukumu pasipo na Haki.
Unyani umetujaa.
 
Zanzibar wana Mzena na wenyewe !

Wameiita Mzena ili kila dawa na kifaa tiba kitakachopatikama Mzena Tanganyika kinunuliwe na cha Mzena Zanzibar. Ukiagiza MRI machine kwa hela ya Hazina Dodoma utaulizwa na Zanzibar je ?

Tanganyika inahudumia nchi mbili kwa hela inayolingana. Zanzibar ndogo sana kwa hiyo hela inapitiliza. Ndo maana Zanzibar matibabu bure. Dialysis ya laki 3 unusu kwa sessesion moja Zanzibar bure!

Kila barabara, kila.jengo, kila mtambo mtakaojenga itakuwa lazima mpeleke hela kama hiyo hiyo Zanzibar.

Tanganyika tunaenda kuvaa viraka na midabwada na ma chachacha na chupi za VIP kama 1982, kwa mliokuwepo.
 
Back
Top Bottom