Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,930
- 3,981
Nuksi huwa tunazitengeneza wenyewe.. Hivi kweeeli nishindwe kumwambia laazizi leo nina appetite???? Hata kumpapasa tuu jamanii nijue kama yaliyomo yaamoo????!!!
Ni maajabu ya penzi lao...me nahisi huyu kaja kutuwashia mziki sasa twaucheza pekeetu angekuwa kweli anauhitaji ushauri wetu tungemuona ana pay attention hapaNuksi huwa tunazitengeneza wenyewe.. Hivi kweeeli nishindwe kumwambia laazizi leo nina appetite???? Hata kumpapasa tuu jamanii nijue kama yaliyomo yaamoo????!!!
Mwanaume rijali kabisa uamue tu kutofanya tendo la ndoa? Labda kama ana mchepuko nje ila kama hana sio rahisi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ofcourse mapumziko muhimu ila namaanisha ile pull closer tu ya kupata lile joto adimu ndo iwe daily![]()
![]()
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisaa mkuu...yaani Mimi bila ya hiyo pull closer basi napataga tabu sana hasa nikiwa safariniRaha sana mume akikumbatia hivyo hata mengine yasipoendela poa tu.
Kwani kwa mara ya mwisho nani aliomba game??Wadada mnaoishi na waume. Unajisikiaje pale mumeo/mchumba wako anarudi home na kajitupa tu kitandani hadi asubuhi bila kukugusa wala nini na hali hii inaendelea hivi kwa wiki au miezi kadhaa ila anatoa huduma zingine kama kawaida.
Kifupi haoneshi shauku yyte ya "kula asali" na wala hamjanuniana wala nini mnachati na mambo mengne yanaenda kama kawaida.
Unamchukualiaje mume/mchumba kama huyu. Je kuna sababu ya kuhisi hakupendi na labda anakidhi mahitaji yake mengine huko nje?
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeonaee..... Ngoja niondoke hapaNi maajabu ya penzi lao...me nahisi huyu kaja kutuwashia mziki sasa twaucheza pekeetu angekuwa kweli anauhitaji ushauri wetu tungemuona ana pay attention hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nishausoma ukimya wake huu saa nyingi....me pia nasepa zanguUmeonaee..... Ngoja niondoke hapa
Sasa k.koo siku hizi ndo mwaiita YIYU CITY?woii saivi nipo k.koo napambana na hali yangu hahahah
siyo YIYU ni YIWU CITY banaa..hee nilisahau kubadilisha location khaa!
Mliofika huko ndo itamibidi mtufundishe teh teh tehesiyo YIYU ni YIWU CITY banaa..hee nilisahau kubadilisha location khaa!
Mmh. Ngumu kumeza aisee.
Kaa naye mzungumze ujue shida iko wapi kama ana tatizo mkatafute wataalamu wa Afya. Kusubiri kwa kipindi chote hicho ni kupalilia tatizo.
Inamana we nawe hata kumgusa humgusi akilala na wewe unalalakama ni hivyo we pia una shida sehemu.
Mchezo mchafu ni upi huo luckyline?Ana mchepuko au anafanya nchezo mchafu
