Mume poa lakini hatoi unyumba

Mume poa lakini hatoi unyumba

Sasa kama mwanamke unanuka nuka tu mijasho kama zizi la mbuzi, kwapa jeusi kama uchafu wa vocha unategemea huyo mumeo apate wapi mzuka!!!

Halafu kitu kingine, we mwanamke kwani huwezi kumpokea mumeo kwa bashasha na kuonesha mazingira kwamba wataka kudinyana!!! Mnataka mtongozwe hadi kwenye ndoa???

Sasa we endelea kushangaa shangaa hapo kama unasubiri lifti ya treni vile...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama mwanamke unanuka nuka tu mijasho kama zizi la mbuzi, kwapa jeusi kama uchafu wa vocha unategemea huyo mumeo apate wapi mzuka!!!

Halafu kitu kingine, we mwanamke kwani huwezi kumpokea mumeo kwa bashasha na kuonesha mazingira kwamba wataka kudinyana!!! Mnataka mtongozwe hadi kwenye ndoa???

Sasa we endelea kushangaa shangaa hapo kama unasubiri lifti ya treni vile...

Mmh. Haya mkuu nadhani kakuelewa.
 
Mi nakushauri uwe unaomba mchezo mwenyewe mvutie kitandani taratibu umvue boxer alafu anza kuchezea korodani hzo mdogomdogo huku wewe ushamkabidhi maziwa anayanyonya taratibu..hebu changamka mama unajua hakuna kitu kizuri kama mwanamke kuomba mgegedo
Hakika mwanamke akiomba tunajihakikishia kwamba hisia zake high na ni rahisi kumfikisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanaume rijali kabisa uamue tu kutofanya tendo la ndoa? Labda kama ana mchepuko nje ila kama hana sio rahisi

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna nyakati zingine wanaume tunakuwa na Mawazo Mengi sana so huwezi kufiria tendo so ni vema mama naye akaplay nafasi yake ya kumwomba ama kumwonesha kuwa anahitaji nayo inakuwa poa sana. Wakati mwingine mke yuko bize kavaa mikhanga yake yake hata kale kaumbo kazuri hukaoni unategemea Mzee atainuka?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wadada mnaoishi na waume. Unajisikiaje pale mumeo/mchumba wako anarudi home na kajitupa tu kitandani hadi asbh bila kukugusa wala nini na hali hii inaendelea hivi kwa wiki au miezi kadhaa ila anatoa huduma zingine kama kawaida.

Kifupi haoneshi shauku yyte ya "kula asali" na wala hamjanuniana wala nini mnachati na mambo mengne yanaenda kama kawaida.

Unamchukualiaje mume/mchumba kama huyu. Je kuna sababu ya kuhisi hakupendi na labda anakidhi mahitaji yake mengine huko nje?

Karibuni.

Sent using Jamii Forums mobile app


Kuna matatu hapa:
1. Huenda huyu mbongo fleva wako ni dume suruali, maana kwamba akiwa na wewe anajifanya mwanaume kumbe huko nje anashikishwa ukuta.
2. Kama hahikishwi nch ya kitanda na wanaume wenzake huko nje, basi pengine anatimiza majukumu yake kwa nyumba ndogo yake na wewe anakufanya pazia tu.
3. Hii iko very common kwa wanawake wetu wa kiafrika....unakuta mtu anaroga mume wa mtu na kumfanya msukule wake ili amchune tu na kumtumia vile atakavyo. Utakuta mwanamme anasusa kabisa mkewe bila hata sababu na wakati mwingine anampiga na kumfukuza nyumbani ili abaki peke. Kama moja ya haya niliyotaja yanakugusa, pole sana dada yangu.
 
Wadada mnaoishi na waume. Unajisikiaje pale mumeo/mchumba wako anarudi home na kajitupa tu kitandani hadi asbh bila kukugusa wala nini na hali hii inaendelea hivi kwa wiki au miezi kadhaa ila anatoa huduma zingine kama kawaida.

Kifupi haoneshi shauku yyte ya "kula asali" na wala hamjanuniana wala nini mnachati na mambo mengne yanaenda kama kawaida.

Unamchukualiaje mume/mchumba kama huyu. Je kuna sababu ya kuhisi hakupendi na labda anakidhi mahitaji yake mengine huko nje?

Karibuni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa ndo huwezi kulianzisha gemu mwenyewe au ndo vipii?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fanya haraka kumchunguza huenda mashine imezimika kabisa anaogopa kusema. Haiwezekani kwa mwanaume mzima, hata kama anapita nnje inabidi ale hata ndizi moja. Unachoma ndizi hali hata moja!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom