Mume poa lakini hatoi unyumba

Mume poa lakini hatoi unyumba

Hakuna mwanaume anayelala na mwanamke asile penzi,huyo atakuwa ana shida kubwa.Inashauriwa kiafya mtu lazima afanye sex 3 times a week ili kuufanya mfumo wa mwili kufanya kazi vizuri.
 
TATIZO WANAWAKE WA KIBONGO AU WAAFRIKA KWA UJUMLA NI WASHAMBA WA MAPENZI,,, MNATAKA KILA MCHEZO MWANAUME NDO AANZISHE GAME,, KWA NN MNASHINDWA KUJIONGEZA,, WE LIANZISHE GAME ALAFU UONE KM ATAKATAA,,
AKILI ZENU ZILIVYOMBIVU ETI MNAANZA KUHISI KM MNASALITIWA,, UNAHISI KM HUPENDWI,, KELELE ZITAKUA NYINGI, ACHENI UJINGA,,
UKIONA HIVYO,, UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KUANZISHE GAME TU,, HAKUNA KINGINE,,
SOMETIME TUNARUDI TUMECHOKA NA MIZUNGUKO NA HAMU YA TENDO HAUNA..
SO JIONGEZENIIIIIII.......................
 
Kuna nyakati zingine wanaume tunakuwa na Mawazo Mengi sana so huwezi kufiria tendo so ni vema mama naye akaplay nafasi yake ya kumwomba ama kumwonesha kuwa anahitaji nayo inakuwa poa sana. Wakati mwingine mke yuko bize kavaa mikhanga yake yake hata kale kaumbo kazuri hukaoni unategemea Mzee atainuka?

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakubaliana na wewe ila sio kwa mwezi mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ok Thats good mkuu, but not everyday bana.

Mana ikizidi nayo saa nyingine inakuwa kero.
Ofcourse mapumziko muhimu ila namaanisha ile pull closer tu ya kupata lile joto adimu ndo iwe daily
4116b47c5a72840da281e3a85d0f0ea4.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ofcourse mapumziko muhimu ila namaanisha ile pull closer tu ya kupata lile joto adimu ndo iwe daily
4116b47c5a72840da281e3a85d0f0ea4.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
Mmh. Hata hiyo mkuu haiwezekani ikawa kila siku na hata kama ni daily itakuwa ni kitendo cha muda mana kuna saa usingizi ukikolea lazima kila mmoja ageukie kwake.

Ila kama mnaweza daily hongera zenu
 
Mmh. Hata hiyo mkuu haiwezekani ikawa kila siku na hata kama ni daily itakuwa ni kitendo cha muda mana kuna saa usingizi ukikolea lazima kila mmoja ageukie kwake.

Ila kama mnaweza daily hongera zenu
Yeah ni kiasi cha kuupata usingizi kwenye safe mood....yaani zile tabu zote za mihangaiko ya kimaisha unazisahau hapo kwenye hiyo hug

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada ,
Tambua kuwa palipo na penzi halisi na la kweli hakuna kutegeana katika jambo lolote lile hata iwe kitandani.
Kwa wapenzi , wanandoa waaminifu wanashirikishana kila jambo bila aibu yoyote akizingatia huyo mwenzi wake ni mwili mmoja naye.
Lazima ujue bila kuwa na aibu namna ya kujiudumia kwa mwenzi wako ikiwa ni pamoja na kumuanza kumuandaa mwenzi wako kwaajili ya kujamiiiana.
Na ni lazima uwe unamjua mwenzi wako ni sehemu gani ya mwili wake ambayo inahisia kali ya kuamsha penzi, na yeye vivyo hivyo lazima ajue sehemu zako zenye hisia ambazo akifika hapo tu lazima utakuwa katika " point of no return" , yaani hapo lazima mechi ichezwe tu hata iweje.
Mawasiliano yenu katika mahusiano ya wapenzi au wanandoa ni muhimu sana bila kuoneana aibu , muelekezane kama una nyege akufanyeje hata kama mwili ulikuwa hauko tayari kwa penzi.
Lugha ya vitendo inahusika sana kwa wakati kama huo ulio uulizia na sauti ya kubembeleza ya taratibu , kwa kufanya hivyo lazima mwenzako atalainika na kuungana na wewe na kujikuta mnamaliza hamu zenu....
Ongea kwa upendo huku mikono ikionyesha upendo pia kila kitu kitakuwa sawa , nawe utamfurahia...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ningechukua dildo na kuanza shughuli mbele yake.

Hapo itakuwa Tusi kubwa kwa mumeo na badala ya kutatua tatizo wewe utakuwa umelizidisha. Imagine na yeye akiwa anapiga Puli mbele yako, utajisikiaje?
 
  • ni haki yako ila huyo atakuwa kaanza mchezo mbaya huko nje ...
  • au wewe umekuwa wakuombwa ubembelezwe kama vile anakutongoza
  • wewe uonyeshi kupata utamu wakati wa tendo anakuona kimya tu kama gogo..
  • kumuudhi wakati wa tendo mfano mnafanya halafu labda anakuumiza unaropoka unaniumiza na mguu wako . badala umwambie baby embu tubadili style ...
  • badilisha namna utamu unautegesha kila siku akija anasagura maguo kibao.. siku nyingine kuwa huna kitu fanya umevaa nguo fanya kwenye kochi chumbani kuwa mbunifu...
  • style ya kula tunda badili si mpaka kila saa yeye mama naniliii embu inama ooh inachosha...
  • labda akimaliza kukojoa lazima akajisafishe mwenyewe msafishe wengine wavivu anaona mmh nikimaliza nikanawe wahiii...
  • anza kupapasa mdude huo , kama anapenda kushikwa mike shika kuwa mbunifu mama..
  • ikishindikana nakuruhusu MBAKE NASEMA MBAKE .. weka hata mkuyati kwenye chakula
  • nb: kama unamtoto mdogo mbembeleze mapema alale ili mpate nafasi nyie si anafika mara unaangaka na kunyonyesha mtoto hajalala huku yeye kachoka anahitaji kupumzika hapo inaweza leta shida... kama vipi uwe unaliamsha dude sa nane usiku mtoto akiwa amelala
 
Hakuna mwanaume anayelala na mwanamke asile penzi,huyo atakuwa ana shida kubwa.Inashauriwa kiafya mtu lazima afanye sex 3 times a week ili kuufanya mfumo wa mwili kufanya kazi vizuri.

Inategemea na umri bhana,Mkuu.
 
Kwani ukimuanza anakataa? Au mpaka uanzwe wewe? Amechoka kukuomba labda
 
Sasa kama mwanamke unanuka nuka tu mijasho kama zizi la mbuzi, kwapa jeusi kama uchafu wa vocha unategemea huyo mumeo apate wapi mzuka!!!

Halafu kitu kingine, we mwanamke kwani huwezi kumpokea mumeo kwa bashasha na kuonesha mazingira kwamba wataka kudinyana!!! Mnataka mtongozwe hadi kwenye ndoa???

Sasa we endelea kushangaa shangaa hapo kama unasubiri lifti ya treni vile...
Kichambo on fleek..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom