Teh teh hiyo kwa mwenye akili anaweza akaumwa mpaka homa! Maana ni dharau kiwango cha lamiNingechukua dildo na kuanza shughuli mbele yake.
Ni mshangao wa mwaka....aisee nawasifu wa aina hiyo ila wapo ambao damu zao baridi sana hata sensation yao ni 0Sasa nyodo kwenye haki ya msingi kweeeli... Tatizo watu wanaishi maisha ya tamthilia
Hili nalo ni tatizo la wanawake wengi.Wanawake wengi mkishaolewa tu basi hamjali tena kujipendezesha, mwanamke unatakiwa ujipende oga vzr nukia, vzr, vaa nguo za kumtamanisha, tatizo mnajiachia unamalizabkula ucku, unajitupa kitandan, hujaoga, hujapiga mswaki, mambo mengine mtatulaumu yu, tatizo mnajipenda pale tu ukiwa unatafuta, ukishawekwa ndan tu bas unasahau kila kitu, bas wacha ajilie vya inje vinavyotia hamasa.
Angekuwa na akili asingelala na tunda mwezi mzima bila ya kulilaTeh teh hiyo kwa mwenye akili anaweza akaumwa mpaka homa! Maana ni dharau kiwango cha lami
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli mkuu ila usisahau kuwa wanandoa wanapaswa kuambiana kwa kasoro yoyote ambayo haimpendezei mmoja wao..why umchunie mwenzio badala ya kumueleza ili ajirekebishe..mke ni kioo cha mumewe na mume ni kioo cha mkeweWanawake wengi mkishaolewa tu basi hamjali tena kujipendezesha, mwanamke unatakiwa ujipende oga vzr nukia, vzr, vaa nguo za kumtamanisha, tatizo mnajiachia unamalizabkula ucku, unajitupa kitandan, hujaoga, hujapiga mswaki, mambo mengine mtatulaumu yu, tatizo mnajipenda pale tu ukiwa unatafuta, ukishawekwa ndan tu bas unasahau kila kitu, bas wacha ajilie vya inje vinavyotia hamasa.
Hata simu inahitaji kurefresh... Sembuse kichwa cha binadamu.... Huyo mgonjwa tu usimtetee.atakuwa anawaza kujenga kiwanda na kuteneneza ajira.. akili inawaza kiwanda mashine itasimama vipi... maana anawaza mtambo ataununuaje na atakaefunga kiwandani fundi gani na je ajira awape vijana wangapi ? kichwa kiko busy na kiwanda huku kichwa cha ke kipo busy kuwaza malavidavi
Sawa kabisaNi kweli mkuu ila usisahau kuwa wanandoa wanapaswa kuambiana kwa kasoro yoyote ambayo haimpendezei mmoja wao..why umchunie mwenzio badala ya kumueleza ili ajirekebishe..mke ni kioo cha mumewe na mume ni kioo cha mkewe
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahaNi mshangao wa mwaka....aisee nawasifu wa aina hiyo ila wapo ambao damu zao baridi sana hata sensation yao ni 0
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtihani wanao na sio bure huyo mumewe ana ganzi balaa na mke nae kabakia kula kwa macho....nahisi anaplan foundation ya smelteratakuwa anawaza kujenga kiwanda na kuteneneza ajira.. akili inawaza kiwanda mashine itasimama vipi... maana anawaza mtambo ataununuaje na atakaefunga kiwandani fundi gani na je ajira awape vijana wangapi ? kichwa kiko busy na kiwanda huku kichwa cha ke kipo busy kuwaza malavidavi
Mmh.mkuu hilo pia halitabadilisha ukweli..hapo kuna mchezo unachezwa na huyo mumewe akiwa out..na huyu mke nae ana moyo wa kipekee hata Jealous hana...Daah yaani couples nyingine kumbe wapo hiviHahaha
Pole yao... Wajaribu kulamo na supu ya pweza
Kuna familia zina changamotoo balaa... Ifike wakati wanandoa wawe wanasemezana jamanii...Mmh.mkuu hilo pia halitabadilisha ukweli..hapo kuna mchezo unachezwa na huyo mumewe akiwa out..na huyu mke nae ana moyo wa kipekee hata Jealous hana...Daah yaani couples nyingine kumbe wapo hivi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaaa haya bibie...china wanasemaje hukoo?Yaani kwakweli sitoweza nitamparamia haswaa hatoamini hahahah...vinginevyo ataniambia kwa marefu na mapana anampaga nani hiyo kitu yake lol.
Ningechukua dildo na kuanza shughuli mbele yake.
woii saivi nipo k.koo napambana na hali yangu hahahah
Jaza UjazweMh!! Ushauri huu siyo!! Mshaurini mwenzenu nae awe mchokozi!! Usikute analala na jeans halafu analalamikia unyumba
Tuepushiwe na hayoKuna familia zina changamotoo balaa... Ifike wakati wanandoa wawe wanasemezana jamanii...
..ndoa yao kama iliyoingia nuks