mzeewakungoa
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 4,969
- 13,920
Na mkipata mume mkiranga mnavyodengua!!!!! Kama hamtaki vile Ha ha ha ha ha haHahahaaaa. Ndio imeshawezekana eti. Ila huo mchezo haufai aisee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na mkipata mume mkiranga mnavyodengua!!!!! Kama hamtaki vile Ha ha ha ha ha haHahahaaaa. Ndio imeshawezekana eti. Ila huo mchezo haufai aisee.
Viwanda havinihusu mie
Usongo wa alfajiri ni real gameMi huwa namuambia tutafute mtoto basi,,,akiwa kachoka namuacha lakin asubuhi lazima
Huyo mwanamme mwenzetu ana tatizo..... Kama mwanamke hajui mapenzi kamshitaki Kwa bibi yake... Bibi yake atamuelekeza.... Sasa ukijifanya unasusa wenzio wakija kula usipige kelele.Sasa kama mwanamke unanuka nuka tu mijasho kama zizi la mbuzi, kwapa jeusi kama uchafu wa vocha unategemea huyo mumeo apate wapi mzuka!!!
Halafu kitu kingine, we mwanamke kwani huwezi kumpokea mumeo kwa bashasha na kuonesha mazingira kwamba wataka kudinyana!!! Mnataka mtongozwe hadi kwenye ndoa???
Sasa we endelea kushangaa shangaa hapo kama unasubiri lifti ya treni vile...
Acha kuzoazoa. Tulia na isiyonukaWakati mwingine papuchi huwa hazihamasishi, inanuka balaa.
Wewe unahusika na kiwanda chako tu cha kusaga na kukoboa. Ha ha ha ha ha.Viwanda havinihusu mie
Yap,viwanda nimmuachia magu avilete ndio kazi yakeWewe unahusika na kiwanda chako tu cha kusaga na kukoboa. Ha ha ha ha ha.
Haaaaa nikabu mpaka ndani ya nyumba...mume kama mume...ana haki ya kumwambia mkewe amvalie vazi lolote linalompendezea ili kuleta hamasaTatzo haumpi ashki mbele yeke amerud kutoka ofcn anakukuta umekula nikabu sasa hpo matamanío yatoke wap
Sent using Jamii Forums mobile app
Ile msome vizuri mwelewe .mwanaume hata kama hajisikii kufanya lakini ukaishika mashine yake lazima itasimama mikono yenu nilaini sana nainajito lazima hisia zimpande .so nyie mnalala eti mnasubiri kila siku sisi ndo tuanzishe ..pambaneni nahali zenu so mnakuja kulialia hapa.
Hahaaa. Wanajua haja ipo kwa upande wao pekee.Ungejua............Kuna midume enzetu wala haijui kama nyie nanyi mna haja
Msikariri sana maisha, kwani ni sheria kwamba ni lazima yeye aanze kuonyesha kukutaka, wewe huwezi kumuanza na kumchokoza.. Huko nje kuna anaemvua nguo mwenyewe tena anaitafuta mwenyewe... Hakuna raha kama mke wako akitaka dudu na kuitafuta mwenyewe, mwanaume anajisikia poa sana... kalagabaho..Wadada mnaoishi na waume. Unajisikiaje pale mumeo/mchumba wako anarudi home na kajitupa tu kitandani hadi asubuhi bila kukugusa wala nini na hali hii inaendelea hivi kwa wiki au miezi kadhaa ila anatoa huduma zingine kama kawaida.
Kifupi haoneshi shauku yyte ya "kula asali" na wala hamjanuniana wala nini mnachati na mambo mengne yanaenda kama kawaida.
Unamchukualiaje mume/mchumba kama huyu. Je kuna sababu ya kuhisi hakupendi na labda anakidhi mahitaji yake mengine huko nje?
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninaye mwenzangu sio lazima nimtaje.... Lakini sisi wenyewe watoto... Mambo hayo hatutaki.
Sasa nyodo kwenye haki ya msingi kweeeli... Tatizo watu wanaishi maisha ya tamthilia
HawajitambuiHahaaa. Wanajua haja ipo kwa upande wao pekee.
Wa hivyo mungu anawaona
Eboh!watoto huwa mnaishiaga kurushiana mito tu teh tehNinaye mwenzangu sio lazima nimtaje.... Lakini sisi wenyewe watoto... Mambo hayo hatutaki.
Kweli kabisa