Mume poa lakini hatoi unyumba

Mume poa lakini hatoi unyumba

Wanaume wa kizungu ndiyo wanahitaji starter sijui uvae see me through. Ninachowapenda black men akitoka kazini kile kitendo tu cha kuwa za nyumbani kuna mtu kinatosha kuliamsha dude.
 
Tatizo wanawake huwa tunasubiri mpaka mwanaume akuchokoze... Kuna muda mwenziooo atakuwa kachoka, hana appetite kabisaa..... Jiongeze ndugu, hamna mwanaume mjanja pale walau upate kamoja ka usingiziii tuu...

Mie ataamka tu kwa kweeeli...
 
Tatizo wanawake huwa tunasubiri mpaka mwanaume akuchokoze... Kuna muda mwenziooo atakuwa kachoka, hana appetite kabisaa..... Jiongeze ndugu, hamna mwanaume mjanja pale walau upate kamoja ka usingiziii tuu...

Mie ataamka tu kwa kweeeli...
hongera mama hata sa nane usiku
 
TATIZO WANAWAKE WA KIBONGO AU WAAFRIKA KWA UJUMLA NI WASHAMBA WA MAPENZI,,, MNATAKA KILA MCHEZO MWANAUME NDO AANZISHE GAME,, KWA NN MNASHINDWA KUJIONGEZA,, WE LIANZISHE GAME ALAFU UONE KM ATAKATAA,,
AKILI ZENU ZILIVYOMBIVU ETI MNAANZA KUHISI KM MNASALITIWA,, UNAHISI KM HUPENDWI,, KELELE ZITAKUA NYINGI, ACHENI UJINGA,,
UKIONA HIVYO,, UNACHOTAKIWA KUFANYA NI KUANZISHE GAME TU,, HAKUNA KINGINE,,
SOMETIME TUNARUDI TUMECHOKA NA MIZUNGUKO NA HAMU YA TENDO HAUNA..
SO JIONGEZENIIIIIII.......................
Sasa ndiyo nini kutuandika kwa herufi kubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada ,
Tambua kuwa palipo na penzi halisi na la kweli hakuna kutegeana katika jambo lolote lile hata iwe kitandani.
Kwa wapenzi , wanandoa waaminifu wanashirikishana kila jambo bila aibu yoyote akizingatia huyo mwenzi wake ni mwili mmoja naye.
Lazima ujue bila kuwa na aibu namna ya kujiudumia kwa mwenzi wako ikiwa ni pamoja na kumuanza kumuandaa mwenzi wako kwaajili ya kujamiiiana.
Na ni lazima uwe unamjua mwenzi wako ni sehemu gani ya mwili wake ambayo inahisia kali ya kuamsha penzi, na yeye vivyo hivyo lazima ajue sehemu zako zenye hisia ambazo akifika hapo tu lazima utakuwa katika " point of no return" , yaani hapo lazima mechi ichezwe tu hata iweje.
Mawasiliano yenu katika mahusiano ya wapenzi au wanandoa ni muhimu sana bila kuoneana aibu , muelekezane kama una nyege akufanyeje hata kama mwili ulikuwa hauko tayari kwa penzi.
Lugha ya vitendo inahusika sana kwa wakati kama huo ulio uulizia na sauti ya kubembeleza ya taratibu , kwa kufanya hivyo lazima mwenzako atalainika na kuungana na wewe na kujikuta mnamaliza hamu zenu....
Ongea kwa upendo huku mikono ikionyesha upendo pia kila kitu kitakuwa sawa , nawe utamfurahia...


Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekupenda Bureeeeeee!

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom