Mume poa lakini hatoi unyumba

Mume poa lakini hatoi unyumba

Kama kuna mwanamke anaweza kujipitisha mbele ya mme na kanga tu au bila nguo chumban bila kumsisimua mmewe basi ajue kiujumla havutii au hajui matumizi ya Viungo byake. Hii sekta waachie watanga na wazaramo. Fanya vitu vinavyomuingiza mmeo matatani ataamka tu....ukisubiri "niangushage tu" ....utakesha
 
Mmh. Ngumu kumeza aisee.

Kaa naye mzungumze ujue shida iko wapi kama ana tatizo mkatafute wataalamu wa Afya. Kusubiri kwa kipindi chote hicho ni kupalilia tatizo.

Inamana we nawe hata kumgusa humgusi akilala na wewe unalala kama ni hivyo we pia una shida sehemu.
Emmy nakuona Ha ha ha ha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom