Mume poa lakini hatoi unyumba

Mume poa lakini hatoi unyumba

Mmh. Hata hiyo mkuu haiwezekani ikawa kila siku na hata kama ni daily itakuwa ni kitendo cha muda mana kuna saa usingizi ukikolea lazima kila mmoja ageukie kwake. [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Ila kama mnaweza daily hongera zenu
me bila hivyo usingizi haukuji kabisa napenda kukumbatiwa mnooo yani ni raha sana
 
Kama kuna mwanamke anaweza kujipitisha mbele ya mme na kanga tu au bila nguo chumban bila kumsisimua mmewe basi ajue kiujumla havutii au hajui matumizi ya Viungo byake. Hii sekta waachie watanga na wazaramo. Fanya vitu vinavyomuingiza mmeo matatani ataamka tu....ukisubiri "niangushage tu" ....utakesha
 
Mmh. Ngumu kumeza aisee.

Kaa naye mzungumze ujue shida iko wapi kama ana tatizo mkatafute wataalamu wa Afya. Kusubiri kwa kipindi chote hicho ni kupalilia tatizo.

Inamana we nawe hata kumgusa humgusi akilala na wewe unalala [emoji15] kama ni hivyo we pia una shida sehemu.
Emmy nakuona Ha ha ha ha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom