M
MegaPyne
Guest
25/06/2007
Afisa kutoka Tume ya kudhibiti Madawa ya Kuevya nchini Bwana Yovin Ivo akimpa Rais Jakaya Kikwete maelezo kuhusu kete ya madawa ya kulevya ambayo ilikuwa imemezwa na mmoja wa watuhumiwa wa kusafirisha mihadarati wakati Rais Kikwete alipotembelea mabanda ya Maonyesho ya vitengo mbalimbali vinavyohusika kudhibiti mihadarati nchini katika viwanja vya Tangamano,mjini Tanga ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya umoja wa Mataifa ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya duniani(photo by Freddy Maro)
Date Picture Taken - 6/25/2007 - 5:45PM
Afisa kutoka Tume ya kudhibiti Madawa ya Kuevya nchini Bwana Yovin Ivo akimpa Rais Jakaya Kikwete maelezo kuhusu kete ya madawa ya kulevya ambayo ilikuwa imemezwa na mmoja wa watuhumiwa wa kusafirisha mihadarati wakati Rais Kikwete alipotembelea mabanda ya Maonyesho ya vitengo mbalimbali vinavyohusika kudhibiti mihadarati nchini katika viwanja vya Tangamano,mjini Tanga ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Siku ya umoja wa Mataifa ya Kudhibiti Madawa ya Kulevya duniani(photo by Freddy Maro)
Date Picture Taken - 6/25/2007 - 5:45PM